Wito: Tanzania ivunje uhusiano na Angola kwa kuzuia viongozi wa Vyama vya siasa akiwemo Makamu wa Rais wa Zanzibar

Wito: Tanzania ivunje uhusiano na Angola kwa kuzuia viongozi wa Vyama vya siasa akiwemo Makamu wa Rais wa Zanzibar

Angola wamefanya sawa tu kuwatimua vibaraka wa itikadi za kiliberali kukutana Angola. Kuna DA chama cha makaburu, kuna huyu Mondlane aliyepata asilimia 24 ya kura uchaguzi wa juzi Mdumbiji. Huyu eti anadai ndiye mshindi na anahimiza maandamano ya umwagaji damu dhidi ya Frelimo. Kumetokea uharibifu sana wa mali Msumbiji.
Hiyo asilimia 24 ndiyo matokeo yake ya kweli? Hizi nchi zetu za Africa zisikie kwa mbali tu!
 
Balozi wa Tanzania Nchini Angola arejeshwe Nyumbani na Balozi wao afukuzwe haraka.

Nchi yetu haiwezi kukubali jambo hili la kijinga.

UBAYA UBWELA

=============
View attachment 3269427View attachment 3269430View attachment 3269431
zingatieni sheria za kimataifa, mila, desturi, utamaduni na ustaarabu wa kidiplimasia katika kuimarisha demokrasia Africa na duniani kote.

Kimataifa,
mambo hayafanyiki kienyeji kama vile walivyolazimisha kwenda kumtembelea Mzee Warioba au kufanya retreat za kifahari za kula bata huko bagamoyo.

Ni vizuri kuheshimu sheria za nchi husika na kufuata utaratibu katika kushiriki mambo ambayo huenda yakawa hayana afya kwa ustawi na usalama wa Taifa husika.🐒
 
Balozi wa Tanzania Nchini Angola arejeshwe Nyumbani na Balozi wao afukuzwe haraka.

Nchi yetu haiwezi kukubali jambo hili la kijinga.

UBAYA UBWELA

=============
View attachment 3269427View attachment 3269430View attachment 3269431
Labda tukumbushane. Hao MPLA ni vile vyama vya kijamaa.

Hapo aliyewaponza ni Lisu labda na rais mstaafu wa Botswana ambaye baada ya kustaafu amekuwa mpinzani na kuanzisha chama chake.

Hao Angola wamejifunza kilichotokea Uganda ambapo Lisu alikuwa anawaamsha hadi Waganda kwenye kongamano Makelele University.

Lisu ajiandae kukataliwa nchi mbalimbali za Kiafrika zenye mrengo wa siasa za kijamaa
 
Labda tukumbushane. Hao MPLA ni vile vyama vya kijamaa.

Hapo aliyewaponza ni Lisu labda na rais mstaafu wa Botswana ambaye baada ya kustaafu amekuwa mpinzani na kuanzisha chama chake.

Hao Angola wamejifunza kilichotokea Uganda ambapo Lisu alikuwa anawaamsha hadi Waganda kwenye kongamano Makelele University.

Lisu ajiandae kukataliwa nchi mbalimbali za Kiafrika zenye mrengo wa siasa za kijamaa
Ukikataliwa na Nchi za kiafrica ambazo ni wakala wa Shetani ni Baraka kuu kwa Mungu
 
Uhusiano wa Tanzania na Angola is just "ploy"... Hakuna ambacho uhusiano huu unafaidisha upande wowote.... uhusiano huu wa Augustino na Nyerere uliwafaidisha Warusi na Wachina mpaka leo... Hii ni Kwaresima
Huo ndio ukweli japo waweza kuwa mchungu
....
 
screenshot_2025-03-13-19-25-38-1-png.3269427

☝🏿 kwa uvaaji wa kihuni wa namna hiyo, walitakiwa wazuiwe na warejeshwe na pingu tu.
Ati ndiyo viongozi waliokuwa wakienda mkutanoni

ma CHADEMA yamejaa manafiki.

Mungu awabariki wa Angola.
 
Mamlaka za serikali ya Angola zinatoa sababu gani za kuzuia viongozi hao ?
angalia picha kwanza. Kwa uvaaji wao wana tofauti gani na wauza mihadarati?

Aliacha wapi lile lisuti lake refu😌 si bora angevaa hilo aonekane kama Mwenyekiti wa chama🧐

halafu wanajitambulisha kama Viongozi wanaohudhuria mkutano unaoenda kuleta taharuki Angola.
 
Balozi wa Tanzania Nchini Angola arejeshwe Nyumbani na Balozi wao afukuzwe haraka.

Nchi yetu haiwezi kukubali jambo hili la kijinga.

UBAYA UBWELA

=============
View attachment 3269427View attachment 3269430View attachment 3269431
wangelikuwa wamewababua watz pekee ningesema kuna shida, ila kama na wa mataifa mengine wamesimamishwa, kwa nini ulalamike?panga si limepita kwa wote? au ulitaka wakupendelee wewe mtz tu afu wengine warudishwe, wangeelewekaje? na si ukute mlengwa hata hakuwa mtz yeyote. mmeambulia tu.
 
screenshot_2025-03-13-19-25-38-1-png.3269427

☝🏿 kwa uvaaji wa kihuni wa namna hiyo, walitakiwa wazuiwe na warejeshwe na pingu tu.
Ati ndiyo viongozi waliokuwa wakienda mkutanoni

ma CHADEMA yamejaa manafiki.

Mungu awabariki wa Angola.
Huna akili
 
Huna akili
unaumia ukiwa wapi? unampaka mafuta na kumchua Dikteta mbowe halafu ubakie kuwa na akili wewe?

kama unafikiri uzi wako usio na akili ndio umeaneika kwa akili, basi umenishinda.

ongeza baby losheni bwashe
 
unaumia ukiwa wapi? unampaka mafuta na kumchua Dikteta mbowe halafu ubakie kuwa na akili wewe?

kama unafikiri uzi wako usio na akili ndio umeaneika kwa akili, basi umenishinda.

ongeza baby losheni bwashe
Mkuu ulichoandikaa hata wewe ukirudia kusoma unaelewa??.
 
Siku akizuiwa hangaya usimlilie mtu
Hangaya anakwenda kwa mwaliko rasmi tena unaokuwa ukijulikana miezi kadhaa kabla. Hao waheshimiwa walikuwa na mwaliko wowote wenye kutambuliwa na mamlaka za huko Angola?.

Tunasikia habari hii kutokea upande mmoja wa huku TZ hatujapata habari ya kina kutoka upande wa huko Angola.
 
Back
Top Bottom