pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Kimewaka na hivi karibuni kitaeleweka. Mgogoro kati ya Naibu rais William Kipchirchir Samoei Arap Ruto na Rt. Honorable Raila Amollo Odinga kuhusu kura ya maamuzi mwakani umeanza kuibua hisia chungu nzima. Hii ni baada ya mswada ulotayarishwa na mbunge wa Ndia George Kariuki kuhusu kura ya maamuzi ya kurekebisha katiba ili County zipunguzwe hadi 12 na maseneta wapunguzwe hadi 24 na baadhi ya marekebisho mengine kwenye bunge. Raila anaunga mkono kura ya maamuzi mwakani kama walivokubaliana na rais Uhuru baada ya ile 'handshake' yao. Naibu rais naye anapinga vikali kura hiyo ya maamuzi, mawazo yenu wakuu. https://www.standardmedia.co.ke/art...rendum-calls-jolt-the-2022-political-equation