Wito wa Maandamano makubwa kulaani Serikali kushindwa kuleta maji ya uhakika kwa miaka 60

Wito wa Maandamano makubwa kulaani Serikali kushindwa kuleta maji ya uhakika kwa miaka 60

Zaidi ya 79% ni vijana ambao wamezaliwa hovyo na hawana kipato chichote cha kulipa kodi.
Hapo sasa ndio juhudi kubwa zilikuwa zinahitajika kuwaandaa na kuwawezesha ili wawe nguvu kazi ya Taifa na waweze kuwa productivity force badala ya kuwa kizazi cha kuzagaa zagaa mijini bila kuwa na shughuli ya maana ya kufanya kwa ajili yao na Taifa lao.

Nanukuu maneno aliyosema Mwalimu- ili tuendelee tunahitaji Ardhi - watu- siasa safi na uongozi bora !! Sasa tujiulize je tumepungukiwa na nini ?!!
 
Sisi Watanzania bado akili na uthubutu vimelala. Subiri kwanza dumu la maji liuzwe kwa sh. 5000/- hapo ndipo akili zitatukaa sawa.
Na baada ya muda watu wa fursa haramu watagundua kuwa kumbe maji nayo yakikosekana tutapiga pesa za kutosha !!
 
Yote hayo ni ukweli mtupu,tunaumizwa bila sababu za msingi.CCM wamekosa ubunifu wa kuiletea nchi yetu maendeleo.
 
Itakuwa vema, majitu hayawezi kuongoza yanalazimisha uongozi
 
Tatizo la Tz sio uongozi bali ni wananchi kuweka uongozi wa kipuuzi na kisha hawawezi kuwawajibisha
Inasababishwa na katiba ambayo ilitengenezwa kipindi cha utawala wa chama kimoja ambayo haikuzingatia masuala mengi yanayohusu mfumo wa demokrasia ya vyama vingi !!
 
Inasababishwa na katiba ambayo ilitengenezwa kipindi cha utawala wa chama kimoja ambayo haikuzingatia masuala mengi yanayohusu mfumo wa demokrasia ya vyama vingi !!
Kwa hiyo hao wananchi wanasubiri nani awaletee katiba kwenye kisosi?
 
Umempa mtaji?.
Mtaji kipimo cha akili uwezo na maarifa.
Huhitaji mtaju wa fedha kulienda jambo ila unahitaji mtaji wa akili kwenda kuuza mawazo yako kwa watu ili wakupe fedha wakijiridhisha kuwa watapata faida mna kurudisha chao nawe kupata chako.
Akina Diamond hawakuwa na mitaji walivyoanza ila walikuwa na vipaji na mawazo na uwezo wa kufanya walichofanya leo wamefika pale walipo.
 
Hivi hii serikali ya CCM iko madarakani kwa Uhalali upi?

Miaka 60 ya Uhuru imepiga marktime na kufanya mambo mengi yasiyo ya maana na kuacha mengi ya maana.

1. Hivi Wakati Serikali ya CCM inavumilia ufisadi wa EPA , Rada Meremeta, Kagoda, Richmondi Ndege ya Rais, hizo pesa zisingeweza kusaidia kuondoa kero ya maji kwa wananchi?

2. Hivi ma V8, Mamisafara makubwa, maposho manene wanayolipana yasingeweza kisaidia kuondoa shida ya maji kwa wananchi?

3. Wanakimbiza Mwenge, Wanalipa wastaafu hadi asilimia 80% ya mishahara ya viongozi walioko madarakani, hizo pesa zisingeweza kuondoa kero ya maji ya wananchi?

4. Tumezunguukwa na maziwa makubwa, tuna mito mikubwa, tuna bahari. Hizi serikali za CCM toka mwaka 1961 zimeshindwaje kutatua kero ya maji kwa wananchi?

5. Wanafanya mamiradi makubwa kabla ya kusolve matatizo ya maji, wanajenga uwanja wa ndege Chato, Daraja la kupita baharini Dar, Wakati wananchi hawana maji

6. Wanawalipa Syimbion, shilingi bilioni 300 kwa mkataba wa kihuni ulioingiwa tena kiujanjaujanja wakati mkataba wa awali ulikuwa umeshaisha!

7. Walihonga watu waunge mkono juhudi, ili majimbo yao yawe wazi kisha zitumike pesa za umma kurudia tena chaguzi. Mapesa haya ya wananchi yangesaidia kuondoa kero ya maji

8. Wanatumia mabilioni kulipa wabunge hewa, waliobungeni kinyume cha katiba. Hizo pesa zingesaidia kuondoa kero ya maji

Kwa hakika Watanzania tumechoka na Ujinga, Ukosefu wa maono, Ubinafsi na kukosewa heshima na serikali hii ya CCM.

Wametufikisha katika hatua sasa ya kutufanya tuamke, tusimame, tupambane nayo kwa hali na mali, kwa jasho na machozi kwa kuwa sasa imegeuka kuwa serikali dhalimu, isiyotosheleza haja zetu!

Sasa tunatangaza kuanza maandamano yasiyo na kikomo, kuitaka serikali hii ilete maji, kama haitoleta maji tutayafuata kwa Mawaziri, wao hawakosi maji

Kama haitoleta maji tutayafuata Ikulu, huko nasikia yako mengi hayakatiki.

Haiwezekani tukaendekeza upumbavu huu

Kama hamuwezi kutatua shida ya maji ondokeni, Tokeni madarakani. Hamna legitimacy tena ya kuitwa serikali au viongozi.

Serikali gani nyinyi, hamuwezi chochote. Nyambaafu!

Failure wakubwa nyinyi!.
1668681039920.png
 
Kabla ya kuwaza hayo
Jiulize wewe kama mwananchi unafursa ya kuanzisha kampuni kubwa ya kusambaza maji mijini na vijijini je umefanya hivyo au your talent is for waste haya matatizo ya maji ni fursa sie wamiliki wa visima vidogo tunaouzia watu maji tunatamani shida iendelee na pia tunatamani kutambulika ili tupate mikopo mikubwa tusambaze maji kwa watu wengi ikiwezekana mji mzima hii ndio maana ya kuwa mwananchi serikali ituweke sera na kubadili sheria za kuzibeba mamlaka mbalimbali za maji inazomiliki kama vile kwenye mitandao ya simu na redio iweke uwanja sawa iseme ruksa watu binafsi kusambaza maji safi ila kampuni zisajiliwe na zilipe kodi tumalize hili tatizo kwa watanzania ndani ya mwaka maji yatasambaaa kila kijiji.
1668681279929.png
 
Hivi hii serikali ya CCM iko madarakani kwa Uhalali upi?

Miaka 60 ya Uhuru imepiga marktime na kufanya mambo mengi yasiyo ya maana na kuacha mengi ya maana.

1. Hivi Wakati Serikali ya CCM inavumilia ufisadi wa EPA , Rada Meremeta, Kagoda, Richmondi Ndege ya Rais, hizo pesa zisingeweza kusaidia kuondoa kero ya maji kwa wananchi?

2. Hivi ma V8, Mamisafara makubwa, maposho manene wanayolipana yasingeweza kisaidia kuondoa shida ya maji kwa wananchi?

3. Wanakimbiza Mwenge, Wanalipa wastaafu hadi asilimia 80% ya mishahara ya viongozi walioko madarakani, hizo pesa zisingeweza kuondoa kero ya maji ya wananchi?

4. Tumezunguukwa na maziwa makubwa, tuna mito mikubwa, tuna bahari. Hizi serikali za CCM toka mwaka 1961 zimeshindwaje kutatua kero ya maji kwa wananchi?

5. Wanafanya mamiradi makubwa kabla ya kusolve matatizo ya maji, wanajenga uwanja wa ndege Chato, Daraja la kupita baharini Dar, Wakati wananchi hawana maji

6. Wanawalipa Syimbion, shilingi bilioni 300 kwa mkataba wa kihuni ulioingiwa tena kiujanjaujanja wakati mkataba wa awali ulikuwa umeshaisha!

7. Walihonga watu waunge mkono juhudi, ili majimbo yao yawe wazi kisha zitumike pesa za umma kurudia tena chaguzi. Mapesa haya ya wananchi yangesaidia kuondoa kero ya maji

8. Wanatumia mabilioni kulipa wabunge hewa, waliobungeni kinyume cha katiba. Hizo pesa zingesaidia kuondoa kero ya maji

Kwa hakika Watanzania tumechoka na Ujinga, Ukosefu wa maono, Ubinafsi na kukosewa heshima na serikali hii ya CCM.

Wametufikisha katika hatua sasa ya kutufanya tuamke, tusimame, tupambane nayo kwa hali na mali, kwa jasho na machozi kwa kuwa sasa imegeuka kuwa serikali dhalimu, isiyotosheleza haja zetu!

Sasa tunatangaza kuanza maandamano yasiyo na kikomo, kuitaka serikali hii ilete maji, kama haitoleta maji tutayafuata kwa Mawaziri, wao hawakosi maji

Kama haitoleta maji tutayafuata Ikulu, huko nasikia yako mengi hayakatiki.

Haiwezekani tukaendekeza upumbavu huu

Kama hamuwezi kutatua shida ya maji ondokeni, Tokeni madarakani. Hamna legitimacy tena ya kuitwa serikali au viongozi.

Serikali gani nyinyi, hamuwezi chochote. Nyambaafu!

Failure wakubwa nyinyi!.
Acha porojo, toa Ratiba ya maandamano.
 
Hivi hii serikali ya CCM iko madarakani kwa Uhalali upi?

Miaka 60 ya Uhuru imepiga marktime na kufanya mambo mengi yasiyo ya maana na kuacha mengi ya maana.

1. Hivi Wakati Serikali ya CCM inavumilia ufisadi wa EPA , Rada Meremeta, Kagoda, Richmondi Ndege ya Rais, hizo pesa zisingeweza kusaidia kuondoa kero ya maji kwa wananchi?

2. Hivi ma V8, Mamisafara makubwa, maposho manene wanayolipana yasingeweza kisaidia kuondoa shida ya maji kwa wananchi?

3. Wanakimbiza Mwenge, Wanalipa wastaafu hadi asilimia 80% ya mishahara ya viongozi walioko madarakani, hizo pesa zisingeweza kuondoa kero ya maji ya wananchi?

4. Tumezunguukwa na maziwa makubwa, tuna mito mikubwa, tuna bahari. Hizi serikali za CCM toka mwaka 1961 zimeshindwaje kutatua kero ya maji kwa wananchi?

5. Wanafanya mamiradi makubwa kabla ya kusolve matatizo ya maji, wanajenga uwanja wa ndege Chato, Daraja la kupita baharini Dar, Wakati wananchi hawana maji

6. Wanawalipa Syimbion, shilingi bilioni 300 kwa mkataba wa kihuni ulioingiwa tena kiujanjaujanja wakati mkataba wa awali ulikuwa umeshaisha!

7. Walihonga watu waunge mkono juhudi, ili majimbo yao yawe wazi kisha zitumike pesa za umma kurudia tena chaguzi. Mapesa haya ya wananchi yangesaidia kuondoa kero ya maji

8. Wanatumia mabilioni kulipa wabunge hewa, waliobungeni kinyume cha katiba. Hizo pesa zingesaidia kuondoa kero ya maji

Kwa hakika Watanzania tumechoka na Ujinga, Ukosefu wa maono, Ubinafsi na kukosewa heshima na serikali hii ya CCM.

Wametufikisha katika hatua sasa ya kutufanya tuamke, tusimame, tupambane nayo kwa hali na mali, kwa jasho na machozi kwa kuwa sasa imegeuka kuwa serikali dhalimu, isiyotosheleza haja zetu!

Sasa tunatangaza kuanza maandamano yasiyo na kikomo, kuitaka serikali hii ilete maji, kama haitoleta maji tutayafuata kwa Mawaziri, wao hawakosi maji

Kama haitoleta maji tutayafuata Ikulu, huko nasikia yako mengi hayakatiki.

Haiwezekani tukaendekeza upumbavu huu

Kama hamuwezi kutatua shida ya maji ondokeni, Tokeni madarakani. Hamna legitimacy tena ya kuitwa serikali au viongozi.

Serikali gani nyinyi, hamuwezi chochote. Nyambaafu!

Failure wakubwa nyinyi!.
Wewe si mpiga pambio wa chui imekuwaje tena?
 
Mkwere ana msemo wake.. Anasemaga Watanzania huwa wanaongea tu.. Hawafanyi kitu.. Wataongea weeeh wakichoka wanaenda makwao kulala..
 
Back
Top Bottom