Wito wa mpito kwa DPP: Wakili aliyemwandaa ACP Kingai aondolewe jopo la Mashtaka la akina Mbowe

Wakili wa Serikali; unayatambuaje Maelezo yako?
Shahidi; nayatambua kwa mwandiko wangu, sahihi ya Adam na sahihi yangu

Ameihakikishia mahakama mbele ya Mtukufu Jaji kwamba yale maelezo ni yake mwenyewe (ACP Kingai; mkamataji)!
yake ndiyo si likuwa anamhoji mtuhumiwa anaandika na mtuhumiwa anasaini kwamba kilichoandikwa ni sawa sasa hapo kosa liko wapi? mbowe anaenda kula mvua za kutosha gaidi mkubwa mbwa huyu
 
Wakili wa Serikali; unayatambuaje Maelezo yako?
Shahidi; nayatambua kwa mwandiko wangu, sahihi ya Adam na sahihi yangu

Ameihakikishia mahakama mbele ya Mtukufu Jaji kwamba yale maelezo ni yake mwenyewe (ACP Kingai; mkamataji)!
Means maelezo Yale aliyatunga mwenyewe from his head or cooked from his head ànd not from the suspect. Do you mean that?
 
yake ndiyo si likuwa anamhoji mtuhumiwa anaandika na mtuhumiwa anasaini kwamba kilichoandikwa ni sawa sasa hapo kosa liko wapi? mbowe anaenda kula mvua za kutosha gaidi mkubwa mbwa huyu
Mbwa maaaaaaàa yako not Mbowe
 
Means maelezo Yale aliyatunga mwenyewe from his head or cooked from his head ànd not from the suspect. Do you mean that?
syo kweli maelezo alitoa mtuhumiwa yakakndikwa na akasaini huyo haruki hapo maelezo yake hayo mtuhumiwa maana alisaini
 
Tuache yote ila hilo la dawa la kulevya ni aibu kubwa; Hivi serikali inawetegemeaje hawa watu wakati wanawavua nguo Hivi kila siku?
... in short apart from ugaidi na uhujumu uchumi walikuwa wamepanga pia kuwabambika dawa za kulevya (kesi nzito nzito za maisha au 30 yrs) ili wakichomoa kwenye shtaka hili wanaswe kwenye shtaka lingine. Nadhani mwandaa script (charge sheet) alikuja kusahau kuingiza dawa za kulevya given the urgency and the prevailing pressure!
 
yake ndiyo si likuwa anamhoji mtuhumiwa anaandika na mtuhumiwa anasaini kwamba kilichoandikwa ni sawa sasa hapo kosa liko wapi? mbowe anaenda kula mvua za kutosha gaidi mkubwa mbwa huyu
Stupid, sentensi hiyo ina maana maelezo yale are cooked by Kingai and not extracted from the suspect. Stupid hujui lolote
 
syo kweli maelezo alitoa mtuhumiwa yakakndikwa na akasaini huyo haruki hapo maelezo yake hayo mtuhumiwa maana alisaini
Soma alivyoulizwa na wakili wa serikali. Wakili framed a wrong question, a misleading one for the anticipated response
 
Mkitaka kutunga uongo ni lazima waongo wote mkusanyike pamoja sehemu moja, hamuwezi kutunga uongo kwa kutumia simu ambazo nazo zimechanganyikiwa kwa uongo wa kila aina na ni kila siku.
Madawa ya kulevya yameingizwa ili kukazia uwezo wa kukata miti kuanzia Dar mpaka Mbeya, kwani bila bangi hauwezi hata kufika Kimara.
 

Unasahauje jaman? Hii nchi ngumu sana
 
Mzee mipango ya dhulma huwa haifanikiwi hata huyo kingai angekesha kusoma makabrasha ya ushahidi angechemka tuu.
 
yake ndiyo si likuwa anamhoji mtuhumiwa anaandika na mtuhumiwa anasaini kwamba kilichoandikwa ni sawa sasa hapo kosa liko wapi? mbowe anaenda kula mvua za kutosha gaidi mkubwa mbwa huyu
Mijadala ya great thinkers nakushauri uwe unasoma tu bila kuchangia kitu. Maana hapo ndipo unapochemka kuuficha ujinga wako....

Yani hata logic ndogo tu kwenye hoja ya jamaa hujaielewa? Kwani shuleni ulienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…