Wito wa mpito kwa DPP: Wakili aliyemwandaa ACP Kingai aondolewe jopo la Mashtaka la akina Mbowe

Wito wa mpito kwa DPP: Wakili aliyemwandaa ACP Kingai aondolewe jopo la Mashtaka la akina Mbowe

Yaani hiki ni kituko cha mwaka. Unakata miti ili kuzuia njia! Kigai kweli hana akili huyu.
Ni wazi hajui umbali wa kutoka Dar mpaka Mbeya, alidhani sawa na kutoka Kinondoni Mkwajuni mpaka Magomeni Mapipa, au alitegemea kwamba ukivuta bangi unakuwa na spidi ya kufanya kazi bila kuchoka. Lakini njia yote haina watu wala magari ambayo tayari yako barabarani! Wote hao watakaa wanaitazama! Hii ni wanaccm tu ndio watakubaliana nayo.
 
Ni wazi hajui umbali wa kutoka Dar mpaka Mbeya, alidhani sawa na kutoka Kinondoni Mkwajuni mpaka Magomeni Mapipa, au alitegemea kwamba ukivuta bangi unakuwa na spidi ya kufanya kazi bila kuchoka. Lakini njia yote haina watu wala magari ambayo tayari yako barabarani! Wote hao watakaa wanaitazama! Hii ni wanaccm tu ndio watakubaliana nayo.
Hii kesi itamvua sana nguo Samia maana alishaingilia maana naona mkwamo mbele wa hii kesi. Namsubiri sana Sirro siku yake.
 
Nani kasema anajua Sheria. This is common sense, instinctive. You use your intuition man!
Mtu mwenye common sense huwa hahamaki na kutukana, hutoa hoja ili ampiku mshindani wake.
Naomba tu na mimi usinitukane.
 
Mwongo mwongoze ili akudanganye vizuri harafu umbanie humo humo! By Agrey Mwanry (Sukuma ndani)
Kwa kweli Mawakili wa Serikali na Mashahidi wake wamebanwa.
 
Mtu mwenye common sense huwa hahamaki na kutukana, hutoa hoja ili ampiku mshindani wake.
Naomba tu na mimi usinitukane.
Kuna wengine description yao inayowafit Ni hiyo, Ni lugha hiyo, you can not describe him or her differently

Chilwa ukiandika vitu vya ajabu, nonsensical, tutakupa "salutation" inayokistahili
 
Kama hahusiki hata chembe mbona aliiambia BBC swahili kuwa Mbowe ni gaidi na wana ushahidi wa kutosha na mbaya zaidi akadanganya dunia kuwa wale washtakiwa wenzake tayari walishahukumiwa kwa ugaidi?
Kwani na wewe unayeiongelea kesi ya Mbowe umehusika kumpeleka aliko?!!

Rais anapewa tu "briefings" za mengi yanayoendelea nchini....
 
Soma alivyoulizwa na wakili wa serikali. Wakili framed a wrong question, a misleading one for the anticipated response
Ungemwandikia kwa lugha anayoielewa huyo Iboya2021. Kumchanganyia na lugha ya Malkia unampoteza maana atakuja na explosion nyingine...

Huyu Iboya2021 ni empty set. Ni kichwa cha kuku kilichotengwa na kiwiliwili. Ni robot linaendeshwa kwà nguvu ya umeme wa Betri...!
 
Kwani na wewe unayeiongelea kesi ya Mbowe umehusika kumpeleka aliko?!!

Rais anapewa tu "briefings" za mengi yanayoendelea nchini....
Hapo juu umeongelea suala la Rais kutokuhusika hata "chembe" kwa kesi zilizopo mahakamani:

Unaelewa maana ya Rais kutokuhusika hata "chembe" kwa kesi zilizopo mahakamani?

Unaelewa kama Rais alikuwa hahusiki hata "chembe" kwa kesi ya Freeman Mbowe iliyopo mahakamani angepaswa kujibu vipi alipoulizwa na BBC juu ya kesi hiyo ambayo tayari ilikuwa mahakamani?Alipojibu kuwa Mbowe ni gaidi alikuwa sahihi?
 
Hapo juu umeongelea suala la Rais kutokuhusika hata "chembe" kwa kesi zilizopo mahakamani:

Unaelewa maana ya Rais kutokuhusika hata "chembe" kwa kesi zilizopo mahakamani?

Unaelewa kama Rais alikuwa hahusiki hata "chembe" kwa kesi ya Freeman Mbowe iliyopo mahakamani angepaswa kujibu vipi alipoulizwa na BBC juu ya kesi hiyo ambayo tayari ilikuwa mahakamani?Alipojibu kuwa Mbowe ni gaidi alikuwa sahihi?
Kwani wewe unahusika hata CHEMBE na kesi hiyo unayoiongelea?!!
 
yake ndiyo si likuwa anamhoji mtuhumiwa anaandika na mtuhumiwa anasaini kwamba kilichoandikwa ni sawa sasa hapo kosa liko wapi? mbowe anaenda kula mvua za kutosha gaidi mkubwa mbwa huyu
ma-Gay mna tabu
 
Halafu pia alijichanganya sana pale wakili msomi Mtobesya alipomchanganya na vifungu vya sheria kisha akamuuliza kuwa alichukua maelezo kwa mujibu wa vifungu vya sheria au alitumia tu uzoefu, halafu ACP Kingai akajichanganya na kusema kuwa alitumia tu uzoefu kwa sababu alishajua kama akisema kuwa alitumia kifungu cha sheria ataambiwa akitaje wakati hakijui.

Kisha wakili msomi Mtobesya akakaa chini fasta kwa sababu alishajua kuwa amemaliza jambo lake vizuri.
Duuh, that's too bad...

Kama alivyosema Lissu, kesi humalizwa na kujichanganywa kwa namna hii...

Kiukweli kabisa, HAPA HAKUNA KESI...!
 
Kwani wewe unahusika hata CHEMBE na kesi hiyo unayoiongelea?!!
Mimi ni Rais?Labda nikukumbushe kuwa hapa tunazungumzia juu ya mihimili kuwa huru na kutokuingiliana katika maamuzi hasa mhimili wa utawala.

Halafu unanilinganisha mimi na Rais?Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?
 
nyie jipeni matumaini tu hizo ni hoja mrenda mrenda sana mbowe lazima ale mvua yaani kumbe ni kweli jamaa ni gaidi na aliznza zamani
Huyu nadhani Yuko kwenye payroll ya wanaolipwa kuandika chochote hata kama ni Cha hovyo mradi paymaster wake aone kaandika utetezi gani!
 
Mimi ni Rais?Labda nikukumbushe kuwa hapa tunazungumzia juu ya mihimili kuwa huru na kutokuingiliana katika maamuzi hasa mhimili wa utawala.

Halafu unanilinganisha mimi na Rais?Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?
Wewe unaiongelea kesi iliyoko mahakamani....

Umeniambia Rais ameongelea juu ya ugaidi uliousema.....

Rais naye ni raia wa Tanzania pamoja na majukumu yake makubwa.....

Sote tulisikiliza yale maongezi na ndugu Kikeke...unaweza kusema lolote juu yake.....

Una ushahidi kuwa Rais anahusika hata chembe na kesi ya Mbowe?!!!
 
Back
Top Bottom