Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
-
- #21
Umesomeka mkuu vizur SanaMkuu hawa hawaridhiki ukianza pekua simu atataka mpaka umwekee walinzi huko nnje na haitoshi atataka mpaka kuona ukimfumania utafanya nini mkuu mwanake akiona husikii uchungu analiwa voda anatoa na tigo kukukomoa. mbinu nzuri ya kumshinda ni kumwacha huru ila unamwambia siku nikikukamata na kosa aina hii ni hakuna msamaha over....
Wivu muhimu Liverpool VPN ...hunogesha penz
Yeah a typical women[emoji122]Binafsi napenda mwanaume mkali yani awe ananicontrol yeye ndo aniamulie cha kufanya huwa naenjoy sana mwanaume mpole mpole mimi ndo niwe mfanya maamuzi hapana kwakwel
Ila Lau kwako kipenz ningekuwa na wivu Sana mbona BP,sheli,kisukari na madudu mengine yangehamia kwangu hahahahWivu muhimu Liverpool VPN ...hunogesha penz
πππππβ€Ila Lau kwako kipenz ningekuwa na wivu Sana mbona BP,sheli,kisukari na madudu mengine yangehamia kwangu hahahah
Hatar Sana my β€οΈπππππβ€