Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #21
Umesomeka mkuu vizur SanaMkuu hawa hawaridhiki ukianza pekua simu atataka mpaka umwekee walinzi huko nnje na haitoshi atataka mpaka kuona ukimfumania utafanya nini mkuu mwanake akiona husikii uchungu analiwa voda anatoa na tigo kukukomoa. mbinu nzuri ya kumshinda ni kumwacha huru ila unamwambia siku nikikukamata na kosa aina hii ni hakuna msamaha over....