Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Bila kusahau kaipa Roma taji la uropa conference
 
Pep ni kocha mzuri sana, tatizo nyinyi washabiki wake maandazi muna mu overate sana na ndio mana munawa offend watu wengine, Eti Pep ni G.O.A.T Goat gani ndani ya miaka 10 iliyopita akiwa kwenye peak yake huku akifundisha timu bora zenye nyenzo zote amebeba Champion League mara 1?
Kuna mpuuzi mwengine nilikutana nae kwenye twitter majuzi analeta pumba kuwa Pep ni mvumbuzi wa mambo mengi kwenye game likiwemo stail ya tiki taka nilitamani kumzaba kibao kabisa.
 
Ni nan .wingine anacheza tik tak football?
Morhino ,klopp ,Carlo [emoji23][emoji23][emoji23]

Morhino -bus parking football

Klopp -gengen pressing football

Pep -tik tak football (more possession)

Carlo -total football (pressing and direct attacking)

Hii inverted midifilder anayocheza stone unajua Nan kaanzisha ...

Zinchenko nafasi anayocheza pale arsenal unaiona ile system,ni pep yule ....

Huenda nabishana na mbumbumbu wa football,....

Natamani niwe nabishana na kina ambangile wanaojua football [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Apo n kasemiro au casemiro tunaye mjua cc united
80? [emoji3][emoji3][emoji3]
Kaka ww n shabiki wa tim gani au ndo hiyo hiyo city
 
Hivi net spend ndo thamani ya kikosi au huelewi inapatikanaje. Mtu anaenunua wachezaji kila msimu net spend yake inaweza kuwa nzuri sababu anaweza kuwauza muda wowote kwa bei nzuri tu. Huyu katumia zaidi ya 1.6b ukichanganya na mishahara ya wachezaji wakati akirithi timu yenye De Bruyne Sterling Kompany Yaya Toure David Silva Aguero hakuna timu nyingine duniani inaweza kukupa hyo ela ukipewa hicho kikosi. Unazungumzia man utd kumnunua maguire kwa 80 lakini unasahau beki zote za guardiola jumla ya bei ni zaidi ya million 400 ndani ya kipindi cha miaka 7 tu. Hapo usisahau kughushi bei za wachezaji kwa kutaja bei feki na kutoa bonus za uongo na ukweli ili kukwepa sheria. Kwa mfano Halaand imeandikwa analipwa 350 kumbe kiuhalisia analipwa 800 plus huko kwa kudanganyia eti bonus ya appearance sijui sijui goli 10 kwa msimu sijui vimasharti vya kijinga hata martial anatimiza. Sometimes mtu ananunuliwa kwa 50 halafu timu inapewa kiwanja uarabuni( moja ya kesi 115 za ligi). Pep ni fraud mzee kataa hukubali huyu jmaa ni sell out tu lakini ana bahati anaendelea kupata timu nzuri tu na zinazomsikiliza tu na ziko vizuri ila vinginevyo aibu ingemkuta. Halafu wewe unazungumiza maguire kuflop lakini unasahau alivomleta stones mara ya kwanza aliflop kampani akamsave ule msimu msimu unaofuata sheikh daddy anamkabidhi ela nyingine akamchukue laporte na diaz( 63 + 65) leo hii kalvin philips kaflop lakini sababu aliongezwa wakati rodri yupo na stones kaongezea nguvu.
 
Apo n kasemiro au casemiro tunaye mjua cc united
80? [emoji3][emoji3][emoji3]
Kaka ww n shabiki wa tim gani au ndo hiyo hiyo city
Casemiro kasajiliwa kutoka Madrid 70million with £10madds , total £80million ...hujui hata timu yako inasajili wachezaji bei gan [emoji23]
 
Nini kilimfukuza barca?
Nini kilimtoa bayern.
Huyu jamaa anaenda tim ambazo ziko form kwa muda muafaka aende akaichukue ata monaco aifufue achukue uefa na ligi.
Unapojitafuta n lazma kuiludisha tim utatumia gharama kubwa hebu linganisha izo tim zako za waarabu na RM nan katumia pesa nyingi na kwa nn.
PEP n Kocho wa kawaida sema n muoteaji mzuri kwanza m nilikua na mshangaa kama msimu uliopita ilikuaje alitolewa uefa kwa ya aina ya kukosi alicho kua nacho hata fainali hakupaswa kua vile wala hakutakifa kupoteza fainali.
Utasema n laws za football, basi ndo hizo hizo zimemfanya achukue treble
 
Usimtaje ferguson kwa huyo sell out wewe. Achukue treble akiwa na academy players 7+ nd aje aongee meza moja na babu.
 
M najua n 60 na 10 ad ons kama nimekosea nipo ubungo njoo uniuwe
 
Nyie man UTD Hao ni mchezaji gani mlishawahi kumuuza hata Kwa £60m[emoji23][emoji23]..

Wachezaji wote mnaonunua Kwa gharama wanatoka free ...

Kuhusu kesi hizo ni haters tu ndio maana watu wenye akili timamu walishaachana na hizo tetes ushahidi hakuna ....

Bonus ...nambie Kuna timu gani haitoi bonus [emoji23],pale city Kuna bonus ndio tofauti na mshahara ...goal ,assist ,man of the match ....wote wanapewa bonus ....

Kama mshahara wa haaland ni 350k per week ,na kila week anafunga magoli zaid ya 3 ,MOTM yeye ,kwanin bonus asipate nyingi na kukusanya zaidi ya 800k Kwa week ....

Wewe ni mjinga kama unafikili timu hazitoi bonus nje ya mshahara,umechelewa kujua mpira , Liverpool,united ,Chelsea bonus kote zipooo sema ndio zinatofautina ...



Kuhusu pesa nishasema hakuna mtu ambaye hatumii pesa .....

Timu zote zinatumia pesa [emoji23]
 
Wewe hapa umeongopa haaland hajakulia city jpo baba ake alicheza hapo. Halafu ambacho hujui kuhusu haaland alikuwa mali ya Raiola sio dort na ndo maan solkjaer alikataa usajili wa haaland kipindi anaenda dortmund sababu mchezaji hawezi kuwa mali ya wakala hata siku moja.
 
Usimtaje ferguson kwa huyo sell out wewe. Achukue treble akiwa na academy players 7+ nd aje aongee meza moja na babu.
Huyo Babu farguson anajua joto la pep ,[emoji23][emoji23] pigiwa mpira mpaka mtu anatetemeka hajui la kufanya .....

Huyo farguson ni overrated ukija kwenye tactics pep ni anga zingine kabisa mzee [emoji23]
 
Mau Utd n GIANT club sio FEADER club.
Inanunua ma sta sio kuuza mastaa w hiyo city yako ime muuza nani 100
 
Huyo Babu farguson anajua joto la pep ,[emoji23][emoji23] pigiwa mpira mpaka mtu anatetemeka hajui la kufanya .....

Huyo farguson ni overrated ukija kwenye tactics pep ni anga zingine kabisa mzee [emoji23]
Pep fainal kama hakuchafua gaguro si jui manake kuna mda najua mlango ulifungua accidentally hasa ile ya Demarco
 
OLG alimkataa haaland? Unaakili wewe [emoji23],,huyo OLG analalamika mpaka leo board nzima ya united ilishindwa kumsupport kuhusu kumsajili haaland ...

Kwanza hakuna timu ambayo haaland anachukia kama united ,hata baba yake haaland kina Roy kean ndio waliomaliza career yake ya football,haipend united kudadekii hata kucheza Kwa 900k Kwa week [emoji23]
 
Wewe nd hujui unachosema kabisa. Watu tumeona inverted centre back kwa jaap hynckees ambayo alikuwa akiicheza Dante enzi hizo barca anakula 7 unakuja zungumzia pep miaka hii.
 
Mau Utd n GIANT club sio FEADER club.
Inanunua ma sta sio kuuza mastaa w hiyo city yako ime muuza nani 100
Nyie ni looser tu ,hakuna timu linechanganyikiwa kama united ..[emoji23][emoji23][emoji23]kina pogab wote wananunuliwa Kwa pesa kibao ,lukaku mapesa kibao ...wanaondoka free ...

Sterling,Jesus ,zinchenko wote Hao tumeuza Kwa pesa nzuri ,....

Kina buzun ,lavia hawajacheza hata EpL kutoka tu academy na kuuza £12m kila mmoja ....

Nitajie mchezaji hat mmoja wa united mliyeuza hata £40m baada ya kucheza united hivi karibun[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe nd hujui unachosema kabisa. Watu tumeona inverted centre back kwa jaap hynckees ambayo alikuwa akiicheza Dante enzi hizo barca anakula 7 unakuja zungumzia pep miaka hii.
Cheki huyu kolooo dunia imejua tik tak football kupitia Barcelona ya pep ...[emoji23][emoji23]acha kulinganisha pep na hizo takataka za makocha mzee ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…