Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Hayo majinga united yanatumia pesa kila namna ,lakin masikin ya Mungu [emoji23][emoji23][emoji23]mpaka huruma ....hakuna wanachoambulia masikin ya Mungu ,wanaanza kumpanda pep et ndio anatumia pesa nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]

Sasa pep anavotumia pesa na kuwatesa ulaya ,wanachanganyikiwa ...


Endelea kuchanganyikiwa mpaka mkome [emoji23][emoji23][emoji23]pep nyoosha hizo pimbii mpaka zilie meeeee kama mbuzi ....
Anawatesa kwa kauefa kamoja wakati madrid alichukua uefa 5 kwenye miaka 7 unajua mpira kweli wewe?
 
Wewe si mtoto wa juzi tulia tukuelekeze sisi wakongwe wa mpira. Mashtaka ya mpira sio kama mwizi wa kuku anashtakiwa hapo hapo Blatter moja ya makosa yaliyomtoa fifa ni rushwa ya mwaka 88 kabla hata hajawa rais wa fifa.
Hakuna lolote ,tunajiamin ,tuna documents za kutosha ,tunawanasheria wa kutosha ...
Leta hizo kesi uchwara zinazopaishwa na Hao viraka wa united [emoji23]
 
Anawatesa kwa kauefa kamoja wakati madrid alichukua uefa 5 kwenye miaka 7 unajua mpira kweli wewe?
Wewe ndio hujui mpira ...

Mara united ni timu kubwa tajiri dunian ...hapo hapo city ndio wanatumia pesa nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]

Mpaka nawaonea huruma msikin ya Mungu ,Hao grazers mpaka Sasa hawajui la kufanya pesa wanazo ila Kuna vilaza hawajui kuzitumia ...aisee ....kosa vyote ila sio akili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ndio hujui mpira ...

Mara united ni timu kubwa tajiri dunian ...hapo hapo city ndio wanatumia pesa nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]

Mpaka nawaonea huruma msikin ya Mungu ,Hao grazers mpaka Sasa hawajui la kufanya pesa wanazo ila Kuna vilaza hawajui kuzitumia ...aisee ....kosa vyote ila sio akili [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa kuwa timu tajiri ni sawa na kumlamba miguu mwarabu atoe hela zake za mfukoni sisi ela tunajitafutia wenyewe glazers haeki hata 100
 
Sisi Liverpool hatumchukii Pep...
Liverpool tunaamini tungekuwa na bajeti Sawa na Man city wasingeshinda hata charity shield..
Ubingwa wa pep ni uzembe wa Liverpool kwenye Ku spend
 
Nini kilimfukuza barca?
Nini kilimtoa bayern.
Huyu jamaa anaenda tim ambazo ziko form kwa muda muafaka aende akaichukue ata monaco aifufue achukue uefa na ligi.
Unapojitafuta n lazma kuiludisha tim utatumia gharama kubwa hebu linganisha izo tim zako za waarabu na RM nan katumia pesa nyingi na kwa nn.
PEP n Kocho wa kawaida sema n muoteaji mzuri kwanza m nilikua na mshangaa kama msimu uliopita ilikuaje alitolewa uefa kwa ya aina ya kukosi alicho kua nacho hata fainali hakupaswa kua vile wala hakutakifa kupoteza fainali.
Utasema n laws za football, basi ndo hizo hizo zimemfanya achukue treble
Pep hajawahi fukuzwa hakuna team duniani inamfukuza PEP, yeye anaondoka mwenyewe mkataba ukiisha .
 
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.

Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.

Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Bila kumsahau Frank Rjikard.
 
Mishahara yao je?

Hakuna timu Pep kaenda ambayo haikushinda makombe miaka 3 kabla na baada ya Pep. Man city was on the way up hata kabla ya ujio wa Pep. Ni kama Steve Karr na GSW.

Mou alishinda UCL na Porto na aliposepa Porto imepoteana kabisa, vile vile Inter imebaki kuhangaika tu Serie A.

Fergie alifanya hadi Anderson a-shine wakati hata Tukuyu stars angekosa namba.

Wenger literally built Arsenal na kushinda invincible.

Pep is good but not the best. Fergie, Wenger, Mou ni bora zaidi in their prime.
Mimi ni Barca fan na hiki unachosema nakazia 100%. Wengi wanasema Barca ya Pep ni tishio while Frank Rjikard aliunda ile timu ya Barca ikiwa ya moto, Pep akaja kuiendeleza tu.

Pep alimfanya Messi kuwa False 9, akamtoa Etoo, akamtoa Ibrahimovic n.k hawa top strikers ktk nyakati zao.

Timu ilipoanza kuyumba, akaona bora aachie ngazi. Akaenda Bayern ambapo tayari wana makombe, na kwa Man City tayari walikuwa na ufalme wao wameanza kuujenga pale EPL, City ya akina Toure, Da Silva, Jesus, Kun kun Aguero, Vincent Kompany, wakaja akina Balotel n.k kwanza ile Man City ilikuwa ya moto ina watu kuliko hii.
 
Akanji £17million

Alvarez £15miilion

Halaand £60million

Jumla £92million

Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....

Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..

Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy

Kdb kasajiliwa na mancin £70million

Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....

Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m [emoji23]

Hicho ndio kikosi cha man city .....

Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii[emoji23][emoji23][emoji23]

Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united [emoji23][emoji23]

Msimu tu umeoisha

Casemiro £80million

Antony £100million

Jumla £180m

Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii [emoji23]

Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city [emoji23][emoji23][emoji23]

Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4

Sancho £80 m

Antony £100m

Pogba £108m

Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwezi sikia wanasema ......

Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa [emoji23][emoji23][emoji23].....


United ni Moja ya timu inayotumua pesa [emoji23] lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA [emoji23][emoji23][emoji23]ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100[emoji23][emoji23][emoji23] lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia [emoji23][emoji23][emoji23].....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....

KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....

Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi [emoji23]

Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]£100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa [emoji23] lakin hawawezi kusema Hilo .......


Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....

Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii [emoji23][emoji23].... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus [emoji23].....

Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep [emoji23][emoji23][emoji23]wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....


Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep [emoji23],mpaka mkono unatetemeka ,[emoji23][emoji23][emoji23]hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep [emoji23].....

Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima [emoji23]....

Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....

Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin [emoji23],kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya [emoji23]....
Una hoja ila post kama mtu mzima, achana na emoj, emoj ni nyingi sana.
 
Wakatu mnasema pep angekuwa timu ndogo kama burnely,hata huyo farguson mpeleken timu ndogo kama Southampton....

Kama mnasema pep anataka timu kubwa ,mwambien klopp aende Norwich city ,..

Carlo ancelot alikuwa everton alifanya nin ?

issue ni kuwa hapa tunaongelewa tactics kwenye football uwe na pesa au usiwe na pesa ....

Huyo klopp hapewi pesa kusajili wachezaji ?

Ten hag pesa si kapewa ?

Lampard pesa katumia sanaa ..

Arteta pesa kapewa ..

Wote pesa wanapewa pesa ila utofauti unakuja kwenye kuchagua wachezaji na kuwatumia ...

Ukinambia man city anatumia pesa lazima nirudi kwenye kikosi kuona wachezaji wamesajiwa Kwa kiasi gani ,linganisha na kikosi cha team zingine ....

Ukinambia city anatumia pesa wakati huo huo Chelsea inasajili kina fofana Kwa £80m ,Enzo £106m ,madueke ,sterling ,.....man UTD inatumia pesa kama zile , Liverpool kanunua Nunez Kwa 100m ,,,harafu unakuja kusema man city anatumia pesa kwa kumnunua haaland kwa £60m , Alvarez £17m,akanji£17m,,Phillips £45m ....lazima nikuone kilaza .....

Vinginevyo unakuwa na chukua binafsi na sio kingine ....

Unavosema pep aende timu ndogo ,wambie kina Carlo ,morhno ,klopp ,ten hag ,waende ku manage Luton ,au burnely huko tuone kama wataenda

Vitu vingine vinachekesah aisee ...

Katika watu ambao huwezi nambia ni morhnoo ,kafukuzwa united ,kafukuzwa spurs ,timu zote kubwa mo kapita lakin hana tactics, dressing room tu inamshinda kumanage ...
 
Hakika hizi nyundo cjui nan mwingne atasogeza pua yake hapa
Akanji £17million

Alvarez £15miilion

Halaand £60million

Jumla £92million

Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....

Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..

Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy

Kdb kasajiliwa na mancin £70million

Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....

Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m [emoji23]

Hicho ndio kikosi cha man city .....

Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii[emoji23][emoji23][emoji23]

Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united [emoji23][emoji23]

Msimu tu umeoisha

Casemiro £80million

Antony £100million

Jumla £180m

Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii [emoji23]

Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city [emoji23][emoji23][emoji23]

Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4

Sancho £80 m

Antony £100m

Pogba £108m

Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwezi sikia wanasema ......

Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa [emoji23][emoji23][emoji23].....


United ni Moja ya timu inayotumua pesa [emoji23] lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA [emoji23][emoji23][emoji23]ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100[emoji23][emoji23][emoji23] lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia [emoji23][emoji23][emoji23].....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....

KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....

Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi [emoji23]

Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]£100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa [emoji23] lakin hawawezi kusema Hilo .......


Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....

Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii [emoji23][emoji23].... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus [emoji23].....

Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep [emoji23][emoji23][emoji23]wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....


Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep [emoji23],mpaka mkono unatetemeka ,[emoji23][emoji23][emoji23]hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep [emoji23].....

Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima [emoji23]....

Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....

Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin [emoji23],kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya [emoji23]....
 
Nimegundua watu wengi wana wivu mkubwa sana na Pep, hawataki kukubali. Wameshikilia msimamo wao kuwa anasajili wachezaji wazuri, hapohapo timu zao nao zinasajili wazuri lakini mafanikio hakuna.

Ukiangalia hapo kwenye takwimu, toka Pep aende uingereza Man Utd. na Chelsea wametumia pesa nyingi kuliko Man city. Man City pesa waliyotumia inafanana na Arsenal, lakini Pep na City yake wanaambiwa kwa sababu wanatumia pesa nyingi kusajili.

Thomas Partey alikuwa mchezaji muhimu kwa Atletico Madrid kuliko Rodri, leo hii Arsenal wanaachana na Partey. Huku Rodri akizidi kuwa bora. Ingekua vice versa, Pep kamchukua Partey halafu Arsenal wakamchukua Rodri bado kuna watu wangesema Pep anachukua walio bora.

Man Utd wameenda kutumia pesa nyingi kumnunua Maguire, City wanaenda kumnunua Ruben Dias. Hadi hapa shida sio pesa.

Chelsea wametumia pesa nyingi kuwanunua Enzo, Mudryk, Joao Felix. Hawa wote wame-flop, lakini hawa hawa angewapata Pep naamini wasingeflop na story ingebadilika kuwa Pep anachukua wachezaji walio wazuri.

View attachment 2663658
Chuki ya pep ni kwa Africa nzima. Hapendi wachezaji weusi. Huwa anasajili ili tu abalance lawama. Lakini kwa ufundi wa soka na mbinu Pep ni mkali. Pia hataki player lonya.
 
Nimegundua watu wengi wana wivu mkubwa sana na Pep, hawataki kukubali. Wameshikilia msimamo wao kuwa anasajili wachezaji wazuri, hapohapo timu zao nao zinasajili wazuri lakini mafanikio hakuna.

Ukiangalia hapo kwenye takwimu, toka Pep aende uingereza Man Utd. na Chelsea wametumia pesa nyingi kuliko Man city. Man City pesa waliyotumia inafanana na Arsenal, lakini Pep na City yake wanaambiwa kwa sababu wanatumia pesa nyingi kusajili.

Thomas Partey alikuwa mchezaji muhimu kwa Atletico Madrid kuliko Rodri, leo hii Arsenal wanaachana na Partey. Huku Rodri akizidi kuwa bora. Ingekua vice versa, Pep kamchukua Partey halafu Arsenal wakamchukua Rodri bado kuna watu wangesema Pep anachukua walio bora.

Man Utd wameenda kutumia pesa nyingi kumnunua Maguire, City wanaenda kumnunua Ruben Dias. Hadi hapa shida sio pesa.

Chelsea wametumia pesa nyingi kuwanunua Enzo, Mudryk, Joao Felix. Hawa wote wame-flop, lakini hawa hawa angewapata Pep naamini wasingeflop na story ingebadilika kuwa Pep anachukua wachezaji walio wazuri.

View attachment 2663658
Kocha Bora ni klopp tu Bas!!hao wengine no pesa tu!!
 
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.

Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.

Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Barcelona na Bayern Munich kulikua na oil money???
 
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.

Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.

Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734

Hall of fame huwezi kuwa inducted wakati bado upo kazini unafundisha. Hata pep akistafu atakuwa inducted.

Pia ferguson hakuwa na bajeti ndogo. Enzi za ferguson manchester united ndio ilikuwa timu namba moja kwa utajiri EPL na pia ndio timu iliyokuwa na kikosi cha gharama sana EPL. Ferguson alikuwa akimtaka mchezaji yeyote EPL anamnunua na hata mshahara anampa offer nono ya mshahara mkubwa sana. Hao kina rooney , ferdinand, hawakwenda man utd kwa bahati mbaya
 
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.

Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.

Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734

Hivi hawa walienda man utd kwa pesa ndogo sio? Berbatov, Rio, veron, carrick , rooney, Nisteroly !! Hawa wote kwa kipindi kile hela walizosajiliwa zilikua kubwa tatizo unazifananisha na kipindi hiki
 
Mishahara yao je?

Hakuna timu Pep kaenda ambayo haikushinda makombe miaka 3 kabla na baada ya Pep. Man city was on the way up hata kabla ya ujio wa Pep. Ni kama Steve Karr na GSW.

Mou alishinda UCL na Porto na aliposepa Porto imepoteana kabisa, vile vile Inter imebaki kuhangaika tu Serie A.

Fergie alifanya hadi Anderson a-shine wakati hata Tukuyu stars angekosa namba.

Wenger literally built Arsenal na kushinda invincible.

Pep is good but not the best. Fergie, Wenger, Mou ni bora zaidi in their prime.

Unajua anderson alikuja kwa shingap pale man utd?? Wewe mpira unaonekana hujuiii. Anderson man utd wametoa pesa ndefu sana kipindi kile then unasema hana namba hata tukuyu stars!!
 
SAF has entered the chat
 

Attachments

  • IMG_5331.jpeg
    IMG_5331.jpeg
    15 KB · Views: 2
Back
Top Bottom