Anawatesa kwa kauefa kamoja wakati madrid alichukua uefa 5 kwenye miaka 7 unajua mpira kweli wewe?Hayo majinga united yanatumia pesa kila namna ,lakin masikin ya Mungu [emoji23][emoji23][emoji23]mpaka huruma ....hakuna wanachoambulia masikin ya Mungu ,wanaanza kumpanda pep et ndio anatumia pesa nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa pep anavotumia pesa na kuwatesa ulaya ,wanachanganyikiwa ...
Endelea kuchanganyikiwa mpaka mkome [emoji23][emoji23][emoji23]pep nyoosha hizo pimbii mpaka zilie meeeee kama mbuzi ....
Hakuna lolote ,tunajiamin ,tuna documents za kutosha ,tunawanasheria wa kutosha ...Wewe si mtoto wa juzi tulia tukuelekeze sisi wakongwe wa mpira. Mashtaka ya mpira sio kama mwizi wa kuku anashtakiwa hapo hapo Blatter moja ya makosa yaliyomtoa fifa ni rushwa ya mwaka 88 kabla hata hajawa rais wa fifa.
Wewe ndio hujui mpira ...Anawatesa kwa kauefa kamoja wakati madrid alichukua uefa 5 kwenye miaka 7 unajua mpira kweli wewe?
Sasa kuwa timu tajiri ni sawa na kumlamba miguu mwarabu atoe hela zake za mfukoni sisi ela tunajitafutia wenyewe glazers haeki hata 100Wewe ndio hujui mpira ...
Mara united ni timu kubwa tajiri dunian ...hapo hapo city ndio wanatumia pesa nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka nawaonea huruma msikin ya Mungu ,Hao grazers mpaka Sasa hawajui la kufanya pesa wanazo ila Kuna vilaza hawajui kuzitumia ...aisee ....kosa vyote ila sio akili [emoji23][emoji23][emoji23]
Daa kweli haha ngoj tumuacheMnabishana na mtu kila akiandika sentensi moja, anachanganya na Emoji....
Pep hajawahi fukuzwa hakuna team duniani inamfukuza PEP, yeye anaondoka mwenyewe mkataba ukiisha .Nini kilimfukuza barca?
Nini kilimtoa bayern.
Huyu jamaa anaenda tim ambazo ziko form kwa muda muafaka aende akaichukue ata monaco aifufue achukue uefa na ligi.
Unapojitafuta n lazma kuiludisha tim utatumia gharama kubwa hebu linganisha izo tim zako za waarabu na RM nan katumia pesa nyingi na kwa nn.
PEP n Kocho wa kawaida sema n muoteaji mzuri kwanza m nilikua na mshangaa kama msimu uliopita ilikuaje alitolewa uefa kwa ya aina ya kukosi alicho kua nacho hata fainali hakupaswa kua vile wala hakutakifa kupoteza fainali.
Utasema n laws za football, basi ndo hizo hizo zimemfanya achukue treble
Bila kumsahau Frank Rjikard.Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.
Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.
Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Mimi ni Barca fan na hiki unachosema nakazia 100%. Wengi wanasema Barca ya Pep ni tishio while Frank Rjikard aliunda ile timu ya Barca ikiwa ya moto, Pep akaja kuiendeleza tu.Mishahara yao je?
Hakuna timu Pep kaenda ambayo haikushinda makombe miaka 3 kabla na baada ya Pep. Man city was on the way up hata kabla ya ujio wa Pep. Ni kama Steve Karr na GSW.
Mou alishinda UCL na Porto na aliposepa Porto imepoteana kabisa, vile vile Inter imebaki kuhangaika tu Serie A.
Fergie alifanya hadi Anderson a-shine wakati hata Tukuyu stars angekosa namba.
Wenger literally built Arsenal na kushinda invincible.
Pep is good but not the best. Fergie, Wenger, Mou ni bora zaidi in their prime.
Una hoja ila post kama mtu mzima, achana na emoj, emoj ni nyingi sana.Akanji £17million
Alvarez £15miilion
Halaand £60million
Jumla £92million
Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....
Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..
Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy
Kdb kasajiliwa na mancin £70million
Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....
Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m [emoji23]
Hicho ndio kikosi cha man city .....
Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united [emoji23][emoji23]
Msimu tu umeoisha
Casemiro £80million
Antony £100million
Jumla £180m
Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii [emoji23]
Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4
Sancho £80 m
Antony £100m
Pogba £108m
Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwezi sikia wanasema ......
Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa [emoji23][emoji23][emoji23].....
United ni Moja ya timu inayotumua pesa [emoji23] lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA [emoji23][emoji23][emoji23]ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100[emoji23][emoji23][emoji23] lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia [emoji23][emoji23][emoji23].....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....
KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....
Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi [emoji23]
Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]£100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa [emoji23] lakin hawawezi kusema Hilo .......
Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....
Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii [emoji23][emoji23].... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus [emoji23].....
Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep [emoji23][emoji23][emoji23]wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....
Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep [emoji23],mpaka mkono unatetemeka ,[emoji23][emoji23][emoji23]hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep [emoji23].....
Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima [emoji23]....
Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....
Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin [emoji23],kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya [emoji23]....
Akanji £17million
Alvarez £15miilion
Halaand £60million
Jumla £92million
Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....
Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..
Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy
Kdb kasajiliwa na mancin £70million
Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....
Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m [emoji23]
Hicho ndio kikosi cha man city .....
Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united [emoji23][emoji23]
Msimu tu umeoisha
Casemiro £80million
Antony £100million
Jumla £180m
Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii [emoji23]
Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city [emoji23][emoji23][emoji23]
Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4
Sancho £80 m
Antony £100m
Pogba £108m
Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwezi sikia wanasema ......
Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa [emoji23][emoji23][emoji23].....
United ni Moja ya timu inayotumua pesa [emoji23] lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA [emoji23][emoji23][emoji23]ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100[emoji23][emoji23][emoji23] lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia [emoji23][emoji23][emoji23].....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....
KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....
Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi [emoji23]
Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]£100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa [emoji23] lakin hawawezi kusema Hilo .......
Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....
Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii [emoji23][emoji23].... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus [emoji23].....
Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep [emoji23][emoji23][emoji23]wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....
Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep [emoji23],mpaka mkono unatetemeka ,[emoji23][emoji23][emoji23]hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep [emoji23].....
Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima [emoji23]....
Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....
Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin [emoji23],kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya [emoji23]....
Chuki ya pep ni kwa Africa nzima. Hapendi wachezaji weusi. Huwa anasajili ili tu abalance lawama. Lakini kwa ufundi wa soka na mbinu Pep ni mkali. Pia hataki player lonya.Nimegundua watu wengi wana wivu mkubwa sana na Pep, hawataki kukubali. Wameshikilia msimamo wao kuwa anasajili wachezaji wazuri, hapohapo timu zao nao zinasajili wazuri lakini mafanikio hakuna.
Ukiangalia hapo kwenye takwimu, toka Pep aende uingereza Man Utd. na Chelsea wametumia pesa nyingi kuliko Man city. Man City pesa waliyotumia inafanana na Arsenal, lakini Pep na City yake wanaambiwa kwa sababu wanatumia pesa nyingi kusajili.
Thomas Partey alikuwa mchezaji muhimu kwa Atletico Madrid kuliko Rodri, leo hii Arsenal wanaachana na Partey. Huku Rodri akizidi kuwa bora. Ingekua vice versa, Pep kamchukua Partey halafu Arsenal wakamchukua Rodri bado kuna watu wangesema Pep anachukua walio bora.
Man Utd wameenda kutumia pesa nyingi kumnunua Maguire, City wanaenda kumnunua Ruben Dias. Hadi hapa shida sio pesa.
Chelsea wametumia pesa nyingi kuwanunua Enzo, Mudryk, Joao Felix. Hawa wote wame-flop, lakini hawa hawa angewapata Pep naamini wasingeflop na story ingebadilika kuwa Pep anachukua wachezaji walio wazuri.
View attachment 2663658
Kocha Bora ni klopp tu Bas!!hao wengine no pesa tu!!Nimegundua watu wengi wana wivu mkubwa sana na Pep, hawataki kukubali. Wameshikilia msimamo wao kuwa anasajili wachezaji wazuri, hapohapo timu zao nao zinasajili wazuri lakini mafanikio hakuna.
Ukiangalia hapo kwenye takwimu, toka Pep aende uingereza Man Utd. na Chelsea wametumia pesa nyingi kuliko Man city. Man City pesa waliyotumia inafanana na Arsenal, lakini Pep na City yake wanaambiwa kwa sababu wanatumia pesa nyingi kusajili.
Thomas Partey alikuwa mchezaji muhimu kwa Atletico Madrid kuliko Rodri, leo hii Arsenal wanaachana na Partey. Huku Rodri akizidi kuwa bora. Ingekua vice versa, Pep kamchukua Partey halafu Arsenal wakamchukua Rodri bado kuna watu wangesema Pep anachukua walio bora.
Man Utd wameenda kutumia pesa nyingi kumnunua Maguire, City wanaenda kumnunua Ruben Dias. Hadi hapa shida sio pesa.
Chelsea wametumia pesa nyingi kuwanunua Enzo, Mudryk, Joao Felix. Hawa wote wame-flop, lakini hawa hawa angewapata Pep naamini wasingeflop na story ingebadilika kuwa Pep anachukua wachezaji walio wazuri.
View attachment 2663658
Barcelona na Bayern Munich kulikua na oil money???Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.
Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.
Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.
Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.
Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Pep angepewa timu kama Arsenal yenye Ufinyu wa bajeti kwenye matumizi yake - basi angekuwa kocha wa kawaida kama Roberto De Zebri.
Anabahatika kufanya kazi katika nyakati ambazo oil money inawekezwa kwenye soka.
Kimsingi kwangu sioni kama ni kocha bora kuliko Sir Alex Farguson au Arsene Wenger. (These guys wali uheshimisha mpira wa miguu pasi na kutumia oil money, ndio maana ni makocha pekee kuwa inducted kwenye EPL hall of fame).
View attachment 2663734
Mishahara yao je?
Hakuna timu Pep kaenda ambayo haikushinda makombe miaka 3 kabla na baada ya Pep. Man city was on the way up hata kabla ya ujio wa Pep. Ni kama Steve Karr na GSW.
Mou alishinda UCL na Porto na aliposepa Porto imepoteana kabisa, vile vile Inter imebaki kuhangaika tu Serie A.
Fergie alifanya hadi Anderson a-shine wakati hata Tukuyu stars angekosa namba.
Wenger literally built Arsenal na kushinda invincible.
Pep is good but not the best. Fergie, Wenger, Mou ni bora zaidi in their prime.