Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Kamuulize fergie mwenyewe kuhusu hilo
 
Sikuizi kila team ina wachezaji kale ka porto si kalibahatisha tu
 
Tuanze na ake akanji stone wate ni average players kabisa
 
Mkataba ni Siri,wewe uliona wapi huo mkataba??
 
Natamani Gadiola apate timu ya Taifa kwani hadi sasa kwenye vilabu hadaiwi chochote. Wanaobisha kuwa si kocha bora ipo siku watakubali tu hasa akiweza kuchukua world cup maana ndiyo kikombe pekee kilichobakia mwamba anadaiwa...
Achukue tu kombe la dunia
 
Unajua anderson alikuja kwa shingap pale man utd?? Wewe mpira unaonekana hujuiii. Anderson man utd wametoa pesa ndefu sana kipindi kile then unasema hana namba hata tukuyu stars!!

Hata Hazard kaenda RM kwa gharama kubwa. Gharama sio ishu but he was bang average ila Fergie alijua kumtumia.
 
Kumbe Kdb alisajiliwa na Mancini?
 
Kocha Bora ni klopp tu Bas!!hao wengine no pesa tu!!
Klopp hatumii pesa?
Angaalia hawa aliowasajili tokea ameenda liver
1)Ederson
2)Robertson
3)Van dijk
4)matip
5)l
6) konate
7)wijnaldum
8) Chamberlain
9)Thiago
10)mane
11)salah
12)naby keita
13)fabinho
14)minamino
15)diogo jota
16)luiz diaz
17) Darwin Nunez
18)Cody gakpo

Pale liver first eleven mchezaji ambaye hajamsajili ni Trent tu. Waliobaki wote kaingia sokoni
 
Umeandika uongo. Usifanye wengine tulikua hatufatilii. Rijkaard alitengeneza barca kupitia ronaldinho, deco, etoo. Pep alitengeneza barca kupitia xavi, iniesta na Messi.

Pep kwenye beki alikuta kuna partnership ya Puyol na Marquez. Akatengeneza yake ya Puyol na pique, na baadae kidogo ikawa pique na mascherano

Kiungo chini alikuta kuna Yaya toure, akamtosa na kumtambulisha busquets. Pep Barca aliamini sana la masia tofauti na rijkaard ambae aliwatumia sana wa kununua(ronaldinho, bommel, edmilson, giuly, gudjohnsen, etoo, deco, Henry)
ndio unaona pep pia alimtambulisha pia Pedro na akawa first eleven mwanzo mwisho.

Mimi ni utd fan
 
Sisi Liverpool hatumchukii Pep...
Liverpool tunaamini tungekuwa na bajeti Sawa na Man city wasingeshinda hata charity shield..
Ubingwa wa pep ni uzembe wa Liverpool kwenye Ku spend
Unataka liver aspend vipi? Kanunua wachezaji wazuri wengi tu

Allison, van dijk, thiago alcantara, fabinho, mo salah, sadio mane, Darwin Nunez, luiz diaz,Cody gakpo, benteke, diogo jota.

unafikiri hapo city Bernardo wakati ananunuliwa alikuwa kama alivyo sasa?gundogan wengi walikua soka limeisha kutokana na kusumbuliwa na majeruhi. Rodri hakuwa mzuri sana pale atletico kuliko partey
 
Si kwasababu man city haina legend timu ya juzi hapo hahaha. Sisi hatupingi mtu kutumia ela ila uwizi wa kulipa maela mengi ya wachezaji afu unaandika unalipa sawa na wenzio nd hatutaki. Apinge kwanza mashtka 115
Kutumia pesa kunahitaji akili. Mimi ni man utd, angalia pesa tulizotumia kuwanunua.
Lukaku
Pogba
Maguire
Anthony
Sancho

Wote hao wamekua wabovu toka waje utd.
 
We unajua kwa nn Manchester city inachunguzwa kwa kukiuka sheria za usajili za FIFA financial fair play we una amini kweli city ametumia hela hyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sahihi kabisa ndio maana Bayern's Munich walimtimua aliposhindwa kuchukua UEFA champions league.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Muongo wakati anabeba ligi kuu na uefa wachezaji ambao hakuwasajili yeye ni hawa;-firminho, henderson,milner,trent,lallana, hao aliwakuta!

Wakati hayo yakifanyika;-alikua anauza na kununua ILI kubalansi kitabu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…