Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Wivu kwa Pep Guardiola unatokana na nini?

Muongo wakati anabeba ligi kuu na uefa wachezaji ambao hakuwasajili yeye ni hawa;-firminho, henderson,milner,trent,lallana, hao aliwakuta!

Wakati hayo yakifanyika;-alikua anauza na kununua ILI kubalansi kitabu!!
Firmino na milner wameenda kipindi cha klopp (2015)

Nimeweka list ya wachezaji wengi wazuri ambao klopp amewasajili, maana inataka kuonekana klopp huwa hasajil

Kuna timu inasajili tu na haiuzi?
 
Ni wapumbavu na mazuzu pekee ndio yatapinga hili, Manchester united ndio wana wivu hadi nyesi linawabana
 
Akanji £17million

Alvarez £15miilion

Halaand £60million

Jumla £92million

Hapo tumeuza zinchenko ,Jesus na sterling .....

Zinchenko alisajiliwa Kwa £1million ,kauzwa arsenal ..

Foden,palmer ,lewis ,Hawa wote ni academy

Kdb kasajiliwa na mancin £70million

Ake ,stone ,rodri ,walker ,Laporte ,gundo ,bernado silva ,ederson ....hao ni wachezaji ambao usajili wa kila mmoja haukufika hata £60 million ....

Kama huyo bernado silva mnayemuona katoka Monaco Kwa £40m [emoji23]

Hicho ndio kikosi cha man city .....

Lakin watu wanasema anatumia pesa nyingii[emoji23][emoji23][emoji23]

Nikasema unitajie top 15 player epl waliosajiliwa Kwa pesa nyingi ,utakutana na mchezaji mmoja tu wa man city grealish....ilaa Sasa united [emoji23][emoji23]

Msimu tu umeoisha

Casemiro £80million

Antony £100million

Jumla £180m

Kama man city anatumia pesa kununua makombe basi united anatumia pesa kufelii [emoji23]

Ukifuatilia club kubwa yenye pesa ,sijui na vitu utatajuwa united ,ila ukija kwenye matumizi wanaisakizia man city [emoji23][emoji23][emoji23]

Katika top 10 ya wachezaji walionunuliwa Kwa bei kubwa epl huwezi kosa wachezaji wa united 4

Sancho £80 m

Antony £100m

Pogba £108m

Hayo yote ni magarasa ya united kutumia pesa nyingi huku wakitoka na zero trophies [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huwezi sikia wanasema ......

Msimu umeoisha chelsea katumia £600million kununua sterling,Enzo ,mud,cucurela ,fofana,madueke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wameishia nafasi ya 12th kwenye league..,,,hayo magarasa yote hakuna yanachoisaidia timu ...hakuna mtu anayesema kuwa hizo ni pesa [emoji23][emoji23][emoji23].....


United ni Moja ya timu inayotumua pesa [emoji23] lakin hakuna wanachoambulia zaidi ya kupoteza hela ,AKILI YA PESA HAWANA [emoji23][emoji23][emoji23]ndio maana wananunua wachezaji wa YouTube clip (Antony) Kwa pound million 100[emoji23][emoji23][emoji23] lakin hakuna mtu anayeweza kukuambia [emoji23][emoji23][emoji23].....ni Kwa sababu hayashindi kombe lolote ....

KAMA UNASEMA MAN CITY ANATUMIA PESA NYINGI NJOO NA DETAILS ZA HAYO MATUMIZI tubishane hoja Kwa hoja .....

Hakuna kocha ambaye hatumii pesa ,wala sijui kubana matumizi [emoji23]

Klopp aliwahi kusema "I will not spend £80millon for player " .....kamuulize NUNEZ kanunuliwa Kwa ngapi [emoji23][emoji23][emoji23]£100million ,,,,na hiyo ni Liverpool ambayo watu wanasema haitumii pesa [emoji23] lakin hawawezi kusema Hilo .......


Watu ni wajinga tu wanajificha kwenye kivuli cha pesa ,huyo mo hakuna timu yenye akili timamu inaweza mchukua morhno kuwa kocha ,ana mbinu za kizamani hataki kubadilika ,ndio maana hata Madrid hakuifikisha popote ....

Timu yeyote kubwa psg ,buyern ,Madrid , haziwezi sajili outdated kocha kama morhno kwenye modern football ambayo pep kashaibadilii [emoji23][emoji23].... respect to pep....anaenda na wakati ...hayupo kizamani kama mo muda wote ni kupark bus [emoji23].....

Huyo Wenger mnayemsema hana CL hata Moja ,ila Bado mnamuweka kwenye anga Moja na pep [emoji23][emoji23][emoji23]wtf,,arsenal ya invisible imeshindwa kuchukua CL ,harafu mnasema ujinga gani ....


Huyo Alex farguson kapigwa final mbili za CL na pep [emoji23],mpaka mkono unatetemeka ,[emoji23][emoji23][emoji23]hivi nyie watu ni wajinga kiasi gan mpaka mnalinganisha farguson na pep [emoji23].....

Farguson anajua moto wa pep ,kamuuliza , na pep Bado anatembeza fimbo mpaka Sasa balani ulaya Hao kina farguson washastafu na kawagonga mpaka wananyoosha mikono juu ,kama ni boxing basi farguson alipigwa ko na pep mpaka kustafu ngumi na kulazwa hospital mazima [emoji23]....

Pep yupo dunia yake kwenye ulimwengu wa football....

Mnasema anatumia pesa ni kocha gani hahitaji pesa kupata mafanikio , Carlo alivokuwa Everton alifanya nin [emoji23],kaenda Madrid Tena yenye pesa na kila kitu umeona alichofanya [emoji23]....
Huu uzi mods waufunge umemaliza kila kitu!
 
Alitengeneza njia kivipi Mancini kaondoka City lini na City imemnunua KDB lini?
Mancin si kaondoka 2014 pellegain kaingia 2015,na ndio kdb kaja..

Txiki ndio kila kitu kwenye usajili Toka 2014 mancin anaingia mgogoro na nae , kdb alikuwa kwenye radar za man city ...

Kdb Yuko Wolfsburg anaiharibu buyern munich ya pep tkix yupo kule anamcheki ,mancin anaondoka 2014 ,Manuel pellegrain anaingia 2015 txiki anamleta kdb ,,,

Ndio maana nasema pale city watu wanampa sifa pep tu ,ila huyu mnyama akiondoka city (Txiki) ndio anguko litakapoanzia ...
 
Nilikua sijui bwana, kwaiyo 2015 kocha wa Man city alikua Mancini? Na ndo alimnunua KDB? oh waooo!! Siku zote nilidhani ni Pellegrini....mpaka hapa nadhani umeanza kuishabikia city 2020.
Kuna ubaya?
 
Sisi Liverpool hatumchukii Pep...
Liverpool tunaamini tungekuwa na bajeti Sawa na Man city wasingeshinda hata charity shield..
Ubingwa wa pep ni uzembe wa Liverpool kwenye Ku spend

Tatizo la Liverpool sio ku spend bali ni spending mbovu, Unalipaje 60m kwa keita? unalipaje 80 kwa nunez? na bado munajiona hamu spend
 
Duu mwanzo nikajua unataka kuongea kitu cha maan dah hahahaha amka usingizini bayern ilikuwa imetoka kumkanda barca goli 7 nusu fainali ikaenda kubeba uefa na kukamilisha treble ya kijerumani ndipo mzee yule akastaafu akampisha pep we unaongea nn utakuwa umeingia juzi kweny hii uefa aliochukua city kushabiki mpira.

unaowaona hao wapuuzi walivyo hivyo mkuu, ni watu wa ovyo sana.
 
Chuki ya pep ni kwa Africa nzima. Hapendi wachezaji weusi. Huwa anasajili ili tu abalance lawama. Lakini kwa ufundi wa soka na mbinu Pep ni mkali. Pia hataki player lonya.

dah unatia aibu mkuu, watu weusi bana ovyo kabisa mambo yetu
 
Mara zote kwenye maisha mwenye5 mafanikio huwa anachukiwa sana! Pep ni kocha ambaye kila klabu ingependa kumpata hapa duniani! Wivu, wivu, wivu, mwenzao nanazungumza uwanjani! Hawezi kujali jjinga wa machinga mitaani! Mmoja wa makocha bora kabisz duniani! Kule Ujerumani aliikuta Bayern timu ya kawaida tu, lakini misimu mitatu aliyokaa pale hali ilikuwa balaa, ni makombe tu!

Dah wewe bore tuku ignore tu, si kwa utombo huo
 
Mmh! Kabla hajaja epl siwalisema anafundisha ligi dhaifu hawezipata mafanikio ligi ngumu kama epl kulikon tena?
 
Mmh! Kabla hajaja epl siwalisema anafundisha ligi dhaifu hawezipata mafanikio ligi ngumu kama epl kulikon tena?
Watu weng fatilia wanaompinga sana Pep amewasurubu vikali team zao (Ikiwemo mzee wao Fergie karbia kufa na presha[emoji23]) .. Hata kama ni ww utampenda mtu anaye kusurubu kila mara kweli?

Wao wamejificha kwny hoja nyepes sana sik iz lkn hao wote ni haters wakubwa kwa sbb wamesurubiwa bila huruma na team za Pep.
 
Mtu anakuja na hoja nyepes eti Pep apewe Arsenal tuone kama anaweza kuipa mafanikio... Pep sio kocha wa kariba ya kuifundisha Arsenal ana standards zake.

Mbona hawasemi khs Fergie na Wenger kua wamekaa team moja tu hawajatafuta changamoto pengne.

Yan hawa weng wanakua hawatak kukubal ubora wa pep kwa sbb katembeza kichapo cha bila huruma kwa team zao pendwa.

Wkt Kuna tetes za pep kuja England babu yao Fergie alisema pep won't find it easy in the PL lkn leo hii pep kageuza ligi ya England kua ya wakulima kua ya team moja.

Kama ni kuspend pesa Man U wame spend sana hela mbn hawabebi chochote cha maana tena?
 
Back
Top Bottom