Mayor Quimby
JF-Expert Member
- Mar 13, 2021
- 4,950
- 10,977
- Thread starter
- #21
Mimi sio mtu wa kujichanganya nina mshikaji mwingine ninae share nae updates na anawauzia washikaji ambao nishawatema.
Sijali kwa sababu mimi na yeye tumeshibana ikifika mahala mjomba hapa na zama awezi kuniacha wala mimi siwezi kumuacha so nimeamua kumchukulia kama mtu mmbea tu.
What is your experience ongeeni tujifunze hayo ni mambo ya maisha na wengine tujifunze.
Sijali kwa sababu mimi na yeye tumeshibana ikifika mahala mjomba hapa na zama awezi kuniacha wala mimi siwezi kumuacha so nimeamua kumchukulia kama mtu mmbea tu.
What is your experience ongeeni tujifunze hayo ni mambo ya maisha na wengine tujifunze.