Wivu wa mchepuko unataka kunitoa roho

Wivu wa mchepuko unataka kunitoa roho

🎵🎶Wanaume kama mabinntiiiii 🎶🎶🎶
Dume zima unagopa kukosa msaada wa pesa ya mwisho wa mwezi toka kwa bibi ajuza.Acha Upambavu huo na kuhatatisha maisha yako pamoja na ya familia.
Yan vi hela vya nauli tena toka kwa mwanamke ndio vimekufungia kwenhe cage hiyo ya umalaya na mama mtu mzima??
Very strange vijana wa now days
 
🎵🎶Wanaume kama mabinntiiiii 🎶🎶🎶
Dume zima unagopa kukosa msaada wa pesa ya mwisho wa mwezi toka kwa bibi ajuza.Acha Upambavu huo na kuhatatisha maisha yako pamoja na ya familia.
Yan vi hela vya nauli tena toka kwa mwanamke ndio vimekufungia kwenhe cage hiyo ya umalaya na mama mtu mzima??
Very strange vijana wa now days
mwongeze makwenzi
 
Sikia wewe fadhila sio lazima zilipwe mbona Harmonizer kagoma kulipa fadhila na anamvimbia Dimondi🐒
 
Ukishaona dalili za kupenda kupitiliza, anza kusepa fasta! Mchepuko unabaki hivyo, usiupe nafasi ya mke..shauri yako!
 
Miaka mitatu nyuma nilipata semina ya kikazi Morogoro nikakutana na Mama mmoja mjane ambae ki ranki kazini ni senior kwangu yupo vizuri kiuchumi ana nyumba zake mbili na usafiri na ana mtoto mmoja wa kike ambae nae kaolewa

Nikajikuta tumeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa vile huku nyumbani wife alikua amejifungua nilikua napata muda mwingi wa kuruka moro faster kupiga gemu kila weekend nakurud mjini chap bila mtu yeyote kujua kua nimeenda moro

Tatizo linakuja wife karecova na maisha yamerudi kawaida ule muda wa kuruka moro faster kupiga gemu nakurud mjini haupo tena kutokana na majukumu ya kazi na familiar, nikilala nyumbani asubuhi nikimcheki mchepuko kwa salama unanuna eti umelala nyumbani kwako ukiwa unanyanduana saivi unanisalimia yaan tafrani

Kuhusu garama za hotel mama anagaramia akanambia mshahara wangu kwa Sasa haufai kuspend hivo niutumie kujijenga na familiar yangu na kuhusu afya tulipima tupo saafi na kinachoniuma mchepuko ulikua na jamaa yake kabla hatujaanza mahusiano kwa utamu wa penzi lilivonoga akampiga chini jamaa yake

Shida inakuja najiona kama mtumwa kwenye hili penzi nataka kutoka lakini nikiwaza fadhila zake na kila mwezi akipata mshahara alikua ananitumia nauli ya kwendea kazini kwangu na mengi mengi alonisaidia moyo unasita najikuta nipo dilemma cjui nishike ipi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Mpe talaka mke wako umuoe huyo bibi
 
[emoji444][emoji445]Wanaume kama mabinntiiiii [emoji445][emoji445][emoji445]
Dume zima unagopa kukosa msaada wa pesa ya mwisho wa mwezi toka kwa bibi ajuza.Acha Upambavu huo na kuhatatisha maisha yako pamoja na ya familia.
Yan vi hela vya nauli tena toka kwa mwanamke ndio vimekufungia kwenhe cage hiyo ya umalaya na mama mtu mzima??
Very strange vijana wa now days
Mkuu mbona umenifokea ivi kama wewe ndo baba mzazi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wa sikuhizi mnapenda kitonga na huyo sio kwamba unampenda vile anakuhonga na hapo siunadate na mtu anayekuzaa kama ana mjukuu juu. Vijana hamna aibu aisee, kwanza unalipiwaje guest
 
Miaka mitatu nyuma nilipata semina ya kikazi Morogoro nikakutana na Mama mmoja mjane ambae ki ranki kazini ni senior kwangu yupo vizuri kiuchumi ana nyumba zake mbili na usafiri na ana mtoto mmoja wa kike ambae nae kaolewa

Nikajikuta tumeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa vile huku nyumbani wife alikua amejifungua nilikua napata muda mwingi wa kuruka moro faster kupiga gemu kila weekend nakurud mjini chap bila mtu yeyote kujua kua nimeenda moro

Tatizo linakuja wife karecova na maisha yamerudi kawaida ule muda wa kuruka moro faster kupiga gemu nakurud mjini haupo tena kutokana na majukumu ya kazi na familiar, nikilala nyumbani asubuhi nikimcheki mchepuko kwa salama unanuna eti umelala nyumbani kwako ukiwa unanyanduana saivi unanisalimia yaan tafrani

Kuhusu garama za hotel mama anagaramia akanambia mshahara wangu kwa Sasa haufai kuspend hivo niutumie kujijenga na familiar yangu na kuhusu afya tulipima tupo saafi na kinachoniuma mchepuko ulikua na jamaa yake kabla hatujaanza mahusiano kwa utamu wa penzi lilivonoga akampiga chini jamaa yake

Shida inakuja najiona kama mtumwa kwenye hili penzi nataka kutoka lakini nikiwaza fadhila zake na kila mwezi akipata mshahara alikua ananitumia nauli ya kwendea kazini kwangu na mengi mengi alonisaidia moyo unasita najikuta nipo dilemma cjui nishike ipi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Fumbaf sako.
Nikionaga mwanaume analilia pesa ya mwanamke nakuona kama shoga flani.
 
Miaka mitatu nyuma nilipata semina ya kikazi Morogoro nikakutana na Mama mmoja mjane ambae ki ranki kazini ni senior kwangu yupo vizuri kiuchumi ana nyumba zake mbili na usafiri na ana mtoto mmoja wa kike ambae nae kaolewa

Nikajikuta tumeingia kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa vile huku nyumbani wife alikua amejifungua nilikua napata muda mwingi wa kuruka moro faster kupiga gemu kila weekend nakurud mjini chap bila mtu yeyote kujua kua nimeenda moro

Tatizo linakuja wife karecova na maisha yamerudi kawaida ule muda wa kuruka moro faster kupiga gemu nakurud mjini haupo tena kutokana na majukumu ya kazi na familiar, nikilala nyumbani asubuhi nikimcheki mchepuko kwa salama unanuna eti umelala nyumbani kwako ukiwa unanyanduana saivi unanisalimia yaan tafrani

Kuhusu garama za hotel mama anagaramia akanambia mshahara wangu kwa Sasa haufai kuspend hivo niutumie kujijenga na familiar yangu na kuhusu afya tulipima tupo saafi na kinachoniuma mchepuko ulikua na jamaa yake kabla hatujaanza mahusiano kwa utamu wa penzi lilivonoga akampiga chini jamaa yake

Shida inakuja najiona kama mtumwa kwenye hili penzi nataka kutoka lakini nikiwaza fadhila zake na kila mwezi akipata mshahara alikua ananitumia nauli ya kwendea kazini kwangu na mengi mengi alonisaidia moyo unasita najikuta nipo dilemma cjui nishike ipi

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Duh sasa hapa patamu mzeya....sasa fanya hivi nipe mie nikamgegede atakusahau bila shaka.
 
Wanaume wa sikuhizi mnapenda kitonga na huyo sio kwamba unampenda vile anakuhonga na hapo siunadate na mtu anayekuzaa kama ana mjukuu juu. Vijana hamna aibu aisee, kwanza unalipiwaje guest
Ah wee lilia bahati bwana ndio bahati yake wacha alelewe kuna raha yake
 
Acha ndoa yake ife kisa kuhongwa, sipendi mitoto ya kiume ilelewe ni hatari kwa taifa
hatari kivipi tena wakati hii inakuwa nzuri kwa upande wenu wanawake ambao kadri miaka invyoenda mnataka kuwa na power. sasa huoni hapo kuwa mchepuko anapata power?
 
Back
Top Bottom