Wivu wa Wassira kwa Warioba hadi kwenye Katiba Mpya. Wapinzani hatumaanishi Katiba ni mali ya Mzee Warioba

Mzee Wasira ana Chuki Binafsi mbona kuna Mapendekezo ya Nyalali mbona kuna Tume ya Jaji Kisanga?

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Kwa kuwa siyo mtihani wa lugha yuko sahihi. Ni lugha za mitaani!
 
Wanapoyaita madaraja majina au stendi za mabasi unakuta ni yao? Logically hii katiba itaitwa kwa "nickname" ya warioba maana yeye pamoja na wahusika wengine ndio wamesimamia utekelezaji wake.
 
Wasira anataka waite Katiba ya Wasira
 
WASSIRA anatamani SANA tena SANA VYEO hivi
1.Urais
2.Uwaziri Mkuu
3.Katibu Mkuu ccm
4.SPIKA
5.Basi hata UBUNGE
 
Huyu mzee wa Gombe asituzengue ,kwani tukisema Tume ya Nyalali au Bunge la Sitta au Makinda kwani wao ndio wamiliki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…