Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

Wizara husika imchunguze Pastor Dominick (kiboko ya wachawi)

dume30

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2013
Posts
549
Reaction score
530
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa (staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha (MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
 
Hii Serikali ipo makini kwa maslahi yke tu, ukiisema vibaya mtandaoni watakutafita kwa mamilioni wakumalize yaani wapo makini kulinda vibarua vyao kuliko mambo ya kishenzi yanayotokea kwa raia

1. Jamaa cha kwanza amejichubua hadi vidole anaficha na gloves kuficha sugu za mkorogo

2. Maombi yke ni wachawi na wanaologa tu utasema mganga

3. Ndevu kapaka rangi na nywele kapiga wey

4. Kazi yake ni kukwanbia mama yako anakuloga jamaa ni msanii na tapeli kabisa

5. Instagram yake akiweka post utaona ina likes 10,000+ kumbe likes zenyewe ananunua ukiaangalia waliolikes utona ni robots accounts
 
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
 
Naomba kuwasilisha hoja/ mjadala juu ya huyu kiboko ya Wachawi, Serikali inapaswa kumchunguza kupitia wizara husika kabla hatujafika hatua ya Mackenzie wa Kenya, wanaanzaga taratibu baadae yatakua makubwa.

1. Mahubiri yake na maombi ni chonganishi(ni kama ramli), anagombanisha ndugu bila ushahidi.

2. Simu zake za wagonjwa ni za mchongo wanapangwa(staged miracles).

3. Mamlaka husika zichunguze miamala ya account zake kuna element za utakatishaji fedha(MUHIMU SANA)

4. Radio times 100.5 kama wanaweza wasijali pesa za kurushia matangazo wasikilize kinachofanyika kisha waamue kuendelea kutangaza ama wanawe mikono kama pilato kwa kukwepa hatia ya siku za usoni.
Wajinga ndiyo waliwao
. Sidhani kama anawalazimisha
 
Back
Top Bottom