Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe sio mtu wa kwanza hapa kumjadili kwa mabaya au mazuri FURAHAWewe kwanini ulikua unafuta text?
Tumekesha sana pale hata jana nilikuwepo ila nyoka kama nyoka furaha umeshalipwa lakini pesa yako au unakamata maspikaKilaza wewe unaekubali kudanganya watu waende kwa mkongo kukesha Christmas wapigwe pesa ?????
Jana tulikuwa na vikao vya kufunga kanisa , nasikia unamdai pesa zako za media ndio ujanja kuanzisha uzi hapaJana mlikesha wapi kama si uongo?
Mimi ndo nalipwa na Kiboko au wewe?