Ccm ------ sana mda wenu wa ufala unaisha k nyie
usirudie tena kutoa ushauri huu . hao ndio wanaosababisha matatizo yote. tutumie akili zetu tulete maendeleo yetu. hao watu wa nje ni wabaya kuliko hata maccmTanzania kweli bado. Yaani mambo ya muhimu kama haya ya kupata mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu wenye vigezo badala kupewa kipaumbele kwa kutenga fungu kubwa zaidi, ikiwa ni hata kwa kuomba msaada wafadhili kutoka nje wawasaidie, serikali wao wanaelekeza nguvu yao katika mambo mengine yasiyo hata na tija kubwa kwa taifa., mfano.safari za mheshimiwa nje ya nchi akisindikizwa na timu yake ya watu wapatao 60 hivi.
Sina hakika mpaka sasa safari zake za nje zimefikia ngapi na zimegharimu kiasi gani cha mapesa ya walipakodi. Kama mtakumbuka vizuri gazeti la M.wa.na.ha.li.si miaka minne iliyopita lilishawahi kuanika uozo huu.
Kwa kukumbushia kidogo,Kwa viwango vya serikali, watu wanaosafiri kwenye msafara wa rais hulipwa kiasi cha kati ya dola 350 na 500 (Sh. 600,000 kwa siku). Sasa zidisha mara jumla ya idadi yao: halafu zidisha na siku wanazokaa huko nje: gharama za hoteli na usafiri:na jumla ya safari zote: HAKIKA UTACHOKA.
Mshinga kubali kataa bado tz ni maskini sana. Jumlisha na viongozi wabovu serikalini kwanzia chini mpaka ngazi za juu, Na hayo ndio yanayosababisha tuwe tegemezi, ingawa tu matajiri sana wa rasirimali.usirudie tena kutoa ushauri huu . hao ndio wanaosababisha matatizo yote. tutumie akili zetu tulete maendeleo yetu. hao watu wa nje ni wabaya kuliko hata maccm
nikubali nini? nikatae nini? kama na wewe unaona suluhisho la matatizo ya tanzania ni misaada hauna kabisa tofauti na viongozi unaowaita wabovu , sasa wewe na kikwete mtakuwa na tofauti ipi maana wote mnaamini kupata misaada na baba rizi ashatembeza sana bakuli karibu nchi zote amezifikia kuomba asaidiwe.Mshinga kubali kataa bado tz ni maskini sana. Jumlisha na viongozi wabovu serikalini kwanzia chini mpaka ngazi za juu, Na hayo ndio yanayosababisha tuwe tegemezi, ingawa tu matajiri sana wa rasirimali.