Huyu alisema JPM yuko ofisini anapiga kazi, na anatusalimia, tena aliongea mbele ya madhabahu ya Mungu...
Usimuamini mpumbavu km huyu
Huyu angepumzika tu au kama vipi angepumzishwa kama anakomaa.
Kabakiza uhalali upi babu kijana huyu aliyekomaa na kiwi kichwani?