Wizara ya Afya: Hali iliyopo ni mafua ya kawaida

Huyu alisema JPM yuko ofisini anapiga kazi, na anatusalimia, tena aliongea mbele ya madhabahu ya Mungu...
Usimuamini mpumbavu km huyu

Huyu angepumzika tu au kama vipi angepumzishwa kama anakomaa.

Kabakiza uhalali upi babu kijana huyu aliyekomaa na kiwi kichwani?
 
Jamani jamani hayo sio mafua ya kawaida we tangu nizaliwe nimeumwa mafua mara ngapi? Ila mafua haya balaa balaa homa lake sio la mchezo mwili unaumwa kama umebebeshwa misumari mgongo balaa ,visigino kiuno mama yanguu mtakuja kusema hapa khah
Utotoni usiku mmoja nilishawahi kupita makaburini ugenini bila kujua kama ni makabulini ila nilipoambiwa kuwa pale nimakaburini nilikuwa napita huku naona kama watu wananifuata huku wamevaa sanda. Hebu jiulize tatizo lilikuwa ni mimi kujua ama tatizo lilikuwa yale makaburi. Mafua kidogo + propaganda za media + hofu= corona
 
Jamani jamani hayo sio mafua ya kawaida we tangu nizaliwe nimeumwa mafua mara ngapi? Ila mafua haya balaa balaa homa lake sio la mchezo mwili unaumwa kama umebebeshwa misumari mgongo balaa ,visigino kiuno mama yanguu mtakuja kusema hapa khah
Hujawahi kurogwa wewe..?
Hebu usitupigie kelele huumwi koona tulia.
 
Za kuambiwa nachanganya na zako

Au siyo

Ova
sio wote wanaoweza kuchanganya serikali ni wajibu wake kutoa taarifa sahihi kwa uma na kama hawawezi basi wasiadhibu na kukemea wale wenye kupinga maana usipotoa taarifa sahihi utakaribisha taarifa zisizo sahihi. Mimi najuwa hii ni corona lakini muhimu wizara yanye wajibu kuwa wa kweli hii ni afya za watu na corona sio hatari sana kama ilivyoanza na ni ugonjwa dunia nzima sio kwamba ni sisi tu.
 
Hofu

Ova
 
Braza mvuvi sijasema ni corona au bwana ommy ila nilichoandika hapo juu mafua haya balaa homa lake
 
Kama mlipuko huu wa mafua ni wa kawaida mbona TFF imewaruhusi simba kuarisha mechi yao na kagera sugar??
 
Kifupi wao ndio wajinga sisi the commonmwananchi ni welevu sana kuliko wanavyofikiria na kujielewa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…