the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,907
Kwenye hyo pcb ya a level tatizo ni hyo phy kibaya zaidi pia hapo hapo ulipoomba ww kulikuwa na a level wenzako waliofanya vyema kukuzidi.
dah ndio maana mwaka huu majesh nilipeleka mifugo na kilimo,mifugo nimepata kilimo bado majibu,nawaombei her ndg zangun,hata mimi ndoto yangu ilikuwa co watakaokosa sio mwisho wa maisha mnajipanga ndg zangun ndio maisha ye2 bongo