nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Mkuu una taaluma ya udaktari?Corona unaweza kumpima mtu usiione kwenye vipimo mpaka umpime tena wakati mwingine.
Hao hawakupaswa waachwe wandelee na shughuli zao, hao walipaswa wawe monitored closely huku wakiwa wamewekwa kwenye karantini maalum.
Kitendo cha kuwaachia waingie mtaani wanaweza kusambaza virusi kama wanavyo