Wizara ya Afya, mnawaachiaje watu wenye dalili ya Corona waendelee na shughuli zao?

Wizara ya Afya, mnawaachiaje watu wenye dalili ya Corona waendelee na shughuli zao?

Missile of the Nation,
Wako busy kupambana na kina mbowe hadi kufikia kutunga uongo kuwa chadema wamekopa pesa ya kuwakomboa toka precisionair, watatoa wapi nafasi ya kushughulikia mambo nyeti ya Taifa?
 
Tanzania ndio nchi pekee dunia nzima unakuta mtu mmoja anataaruma zote,utakuta mtu kasomea kiswahili lakini anajua mpk maswala ya Medicine,afya ya jamii n.k ebu tuwaache wataaramu wafanye kazi zao we are too much politicians.

Kama vipimo vimeonyesha negative na wataaramu wamejiridhisha no need of karanteen.
 
Cdm kila kitu siasa? Unafikiri wizara ya afya wapuuzi kama unavyowachukulia? Nchi haiwezi kuendeshwa kwa mihemko
PUMBAVU, PUMBAVU na PUMBAVU tena mara ya tatu.

Unakuta hata Knowledge ya Medicine huijui unekalia tu siasa!

By profession mimi ni daktari na namuunga mkono huyu mtoa mada!

Hivi virusi COVID19 vina incubation period ya siku 6-14, ndipo mtu anaweza kuonesha dalili.

Kwa interval hiyo ya siku kumi na nne,mtu hata kama ana ugonjwa huo still vipimo vinaweza vikamuonesha kuwa negative,na ndio chanzo cha kuweka watu quarantine kwa siku hizo na kisha kufanya regular medical checkup na screenings ya huyo virus.

Katika hili la wizara ya afya ni kweli kuna sehemu wamepwaya na hata sielewi kwa nini!

Naomba Ndugu zangu tuache itikadi za vyama katika hili la COVID19.
KIFO HAKINA CHAMA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Issue hapa ninayoiona ni usalama wa nchi na fursa za kiuchumi hasa Utalii na mengine. Endapo tukatangaza kumshuku mtu kuwa anao tayari utavuta tension duniani kote kuwa Bongo tayari kumeshakucha Corona.

Kwa hiyo, maamuzi hayo yamefanywa kwa kufikilia sn pia eneo hilo. Ingawa hoja ya kuongeza umakini na serikali kujipanga vzr kwa kuandaa maeneo ya kuwahifadhi hao suspects, vifaa tiba, maeneo ya vipimo nk ni muhimu sn viwe tayari tayari maana sisi sio kisiwa kischoingilika. Mungu atunusuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hii taarifa na ile ya Aga Khan zinafanana hadi maneno. Inaonyesha kuna maelekezo fulani kutoka kwa namba 1 namna ya kukanusha endapo mtu kakutwa na Corona. huu ni upuuzi mjue. tutapukutika aisee. Tena bora uanze na yeye mwenyewe namba 1.
 
Issue hapa ninayoiona ni usalama wa nchi na fursa za kiuchumi hasa Utalii na mengine. Endapo tukatangaza kumshuku mtu kuwa anao tayari utavuta tension duniani kote kuwa Bongo tayari kumeshakucha Corona. Kwa hiyo, maamuzi hayo yamefanywa kwa kufikilia sn pia eneo hilo. Ingawa hoja ya kuongeza umakini na serikali kujipanga vzr kwa kuandaa maeneo ya kuwahifadhi hao suspects, vifaa tiba, maeneo ya vipimo nk ni muhimu sn viwe tayari tayari maana sisi sio kisiwa kischoingilika. Mungu atunusuru

Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo taarifa ni maelekezo ya mtu flani. Corona haifichiki.
 
Ilipaswa Waweke kalantini kwa Muda si chini ya siku 14 ili Kujilizisha kwa kuangalia dalili, Kama wanavyofanya Wenzetu sio kutegemea tu vipimo maana kirusi chenyewe bado taarifa zake hazipo za kutosha.

Wizara ya Afya kwa hili wametuangusha sana !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni heri ithibitike kuwa ipo ili watu waanze kutumia akili. Rais mzima anasema hata usiku msipigane mabusu na patakuwa na raha tu halafu anasema eti tunapambana na corona? Naona sasa wana show zao za kusalimiana kwa miguu!
Aisee ile speech nilijiskia aibu kwa niaba yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom