Wizara ya Afya na ninyi toeni hiyo PDF, najua mumenipiga kibuti kama TAMISEMI

Wizara ya Afya na ninyi toeni hiyo PDF, najua mumenipiga kibuti kama TAMISEMI

Dx and Rx

JF-Expert Member
Joined
Jul 16, 2017
Posts
1,323
Reaction score
3,143
Mwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi.

Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili, mrejesho wao kidogo ulikuwa unaumiza ila nilipiga moyo konde na nikaamua kukaa kimya bila kutuma maombi mengine kwa mwaka huo(2021).

Mwaka huu pia hadi sasa nimefanya maombi 7 ya kazi Serikalini Tamisemi (washanipiga kibuti) na Afya (kibuti ni kwa 99.9%), Taasisi 1 ya Binafsi tayari washanipiga kibuti, maombi mengine 4 ni kupitia Ajira portal juzi juzi ingawa kule ni sawa na kujaribu kupita tundu la Sindano. Ombi la 8 linalifanya muda si mrefu kuanzia sasa.

Japo kuna ushindani ila ninapoona classmate wangu wanauula kiulaini na wengine niliowaacha darasani wanauula, moyo unauma sana, sijui nakwama wapi, sijui mchawi ni nani.

Imagine classmate anapata kibarua kiulaini taasisi binafsi na hapo hapo ananyakuliwa na Tamisemi kiulaini
 
[emoji23] [emoji23] mzee hakuna kukata tamaa ila serikali itoe mitaji kwa wasomi kuliko kuwacha wakiwa na huzuni.
Niliona poll moja kule LinkedIn inauliza hivi.

Yuo would prefer?
1. Job security
2. Good retirement package

Kwa mazingira yetu ya Bongo unaenda na namba ngapi hapo juu
 
Jitoe kafara usiogope jera wala polisi....fanya kitu cha hatari (risk taking) kabla huu mwaka haujapinduka.
Risk taking nzuri ile ambayo haitatingisha hali yako na za wengine, ngoja nindelee kupambana
 
Mwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi.

Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili, mrejesho wao kidogo ulikuwa unaumiza ila nilipiga moyo konde na nikaamua kukaa kimya bila kutuma maombi mengine kwa mwaka huo(2021).

Mwaka huu pia hadi sasa nimefanya maombi 7 ya kazi Serikalini(Tamisemi(washanipiga kibuti) na Afya(kibuti ni kwa 99.9%)), Taasisi 1 ya Binafsi tayari washanipiga kibuti, maombi mengine 4 ni kupitia Ajira portal juzi juzi ingawa kule ni sawa na kujaribu kupita tundu la Sindano. Ombi la 8 linalifanya muda si mrefu kuanzia sasa.

Japo kuna ushindani ila ninapoona classmate wangu wanauula kiulaini na wengine niliowaacha darasani wanauula, moyo unauma sana, sijui nakwama wapi, sijui mchawi ni nani.

Imagine classmate anapata kibarua kiulaini taasisi binafsi na hapo hapo ananyakuliwa na Tamisemi kiulaini
Usikate tamaa mwamba .....I remember nlipitia situation kama yako japo tofauti niliapply mara nyingi kdg almost > 100 😃🙌 ni kama utani ivi ila amini hivyo...........ila siku nimesema sitoapply tena, ajira ilikuja yenyewe kutokana na jitihada za nyuma.

Usiogope interview za utumishi Mzee , tulikua almost 400 na tuliobahatika ,tukatoboa.( na hii ndio ilikua interview yangu ya mwisho na kusema sitoapply wala kwenda interview yoyote Ile ) USIOGOPE,usikate tamaa mwamba ndo life.
 
Usikate tamaa mwamba .....I remember nlipitia situation kama yako japo tofauti niliapply mara nyingi kdg almost > 100 [emoji2][emoji119] ni kama utani ivi ila amini hivyo...........ila siku nimesema sitoapply tena, ajira ilikuja yenyewe kutokana na jitihada za nyuma.

Usiogope interview za utumishi Mzee , tulikua almost 400 na tuliobahatika ,tukatoboa.( na hii ndio ilikua interview yangu ya mwisho na kusema sitoapply wala kwenda interview yoyote Ile ) USIOGOPE,usikate tamaa mwamba ndo life.
Hongera sana mkuu, hizi za utumishi sijui kama naweza hata kuitwa. Maana kiuhalisia najiona sitoshi ndio maana matumaini yalikuwa Tamisemi pasipokuwa na Interview
 
Bongo bila koneksheni kutoboa ni majaliwa ya Mungu
 
Back
Top Bottom