Wizara ya Afya na ninyi toeni hiyo PDF, najua mumenipiga kibuti kama TAMISEMI

Wizara ya Afya na ninyi toeni hiyo PDF, najua mumenipiga kibuti kama TAMISEMI

Hao wizara ya afya wamezingua sana, ajira walitangaza tangu mwezi wa nne hadi leo kimya hawataki kutoa majina
 
subiria mkeka wa wizara, unaweza toboa, ingawa haujulikani unatoka lini.

Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Usikate tamaa never never mim nmeingiaa enterview tulikua 750 utumishi nkawa wa pili kwa kupata 75 lakini kwenye practical nkashindwa kutoboa sababu nilivaa casual Mkuu never give up ipo sku tu utapata na bahati nzuri umesona afya lakin pia jaribu kufuta mtu akupe miongozo kuna mahali unaweza ikawa unakosea in Application process
 
Sio kweli
Koneksheni ina nafasi kubwa sana kila sehemu mkuu.
Fikiria hadi kwenye kupewa huduma, kwa wale wanaofahamiana na mtoa huduma wanapata huduma haraka tena ya kuridhisha sio kama wewe ambaye hufahamiki
 
Usikate tamaa never never mim nmeingiaa enterview tulikua 750 utumishi nkawa wa pili kwa kupata 75 lakini kwenye practical nkashindwa kutoboa sababu nilivaa casual Mkuu never give up ipo sku tu utapata na bahati nzuri umesona afya lakin pia jaribu kufuta mtu akupe miongozo kuna mahali unaweza ikawa unakosea in Application process
Sawa mkuu ngoja tusubiri.

Huko Utumishi ulizinguliwa nini utupe uzoefu, nina application 4 zipo pending naweza kuitwa hata mojawapo
 
Mwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi.

Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili, mrejesho wao kidogo ulikuwa unaumiza ila nilipiga moyo konde na nikaamua kukaa kimya bila kutuma maombi mengine kwa mwaka huo(2021).

Mwaka huu pia hadi sasa nimefanya maombi 7 ya kazi Serikalini Tamisemi (washanipiga kibuti) na Afya (kibuti ni kwa 99.9%), Taasisi 1 ya Binafsi tayari washanipiga kibuti, maombi mengine 4 ni kupitia Ajira portal juzi juzi ingawa kule ni sawa na kujaribu kupita tundu la Sindano. Ombi la 8 linalifanya muda si mrefu kuanzia sasa.

Japo kuna ushindani ila ninapoona classmate wangu wanauula kiulaini na wengine niliowaacha darasani wanauula, moyo unauma sana, sijui nakwama wapi, sijui mchawi ni nani.

Imagine classmate anapata kibarua kiulaini taasisi binafsi na hapo hapo ananyakuliwa na Tamisemi

Mwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi.

Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili, mrejesho wao kidogo ulikuwa unaumiza ila nilipiga moyo konde na nikaamua kukaa kimya bila kutuma maombi mengine kwa mwaka huo(2021).

Mwaka huu pia hadi sasa nimefanya maombi 7 ya kazi Serikalini Tamisemi (washanipiga kibuti) na Afya (kibuti ni kwa 99.9%), Taasisi 1 ya Binafsi tayari washanipiga kibuti, maombi mengine 4 ni kupitia Ajira portal juzi juzi ingawa kule ni sawa na kujaribu kupita tundu la Sindano. Ombi la 8 linalifanya muda si mrefu kuanzia sasa.

Japo kuna ushindani ila ninapoona classmate wangu wanauula kiulaini na wengine niliowaacha darasani wanauula, moyo unauma sana, sijui nakwama wapi, sijui mchawi ni nani.

Imagine classmate anapata kibarua kiulaini taasisi binafsi na hapo hapo ananyakuliwa na Tamisemi kiulaini
Ukimya umekua mwingi sana, something unfa
 
Imefikia takribani miezi miwili tangu tarehe ya mwisho kufanya maombi ya kazi za Wizara ya Afya. Kitaa kigumu, ninasubiri ahueni kama ikitokea kupata hizi kazi. Wizara fanyeni mambo.
 
Back
Top Bottom