Andrew Goldberg
Member
- Sep 13, 2019
- 68
- 136
subiria mkeka wa wizara, unaweza toboa, ingawa haujulikani unatoka lini.Bongo bila koneksheni kutoboa ni majaliwa ya Mungu
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
subiria mkeka wa wizara, unaweza toboa, ingawa haujulikani unatoka lini.Bongo bila koneksheni kutoboa ni majaliwa ya Mungu
Sio kweliBongo bila koneksheni kutoboa ni majaliwa ya Mungu
Aiseee...Naimani sio muda mrefu watatoaHao wizara ya afya wamezingua sana, ajira walitangaza tangu mwezi wa nne hadi leo kimya hawataki kutoa majina
Usikate tamaa never never mim nmeingiaa enterview tulikua 750 utumishi nkawa wa pili kwa kupata 75 lakini kwenye practical nkashindwa kutoboa sababu nilivaa casual Mkuu never give up ipo sku tu utapata na bahati nzuri umesona afya lakin pia jaribu kufuta mtu akupe miongozo kuna mahali unaweza ikawa unakosea in Application processsubiria mkeka wa wizara, unaweza toboa, ingawa haujulikani unatoka lini.
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Huku ni vigumu sana ila wautoe sasa ili tuelekeze akili kwinginesubiria mkeka wa wizara, unaweza toboa, ingawa haujulikani unatoka lini.
Sent from my SM-G9550 using JamiiForums mobile app
Sawa mkuu ngoja tusubiri.Usikate tamaa never never mim nmeingiaa enterview tulikua 750 utumishi nkawa wa pili kwa kupata 75 lakini kwenye practical nkashindwa kutoboa sababu nilivaa casual Mkuu never give up ipo sku tu utapata na bahati nzuri umesona afya lakin pia jaribu kufuta mtu akupe miongozo kuna mahali unaweza ikawa unakosea in Application process
Mwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi.
Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili, mrejesho wao kidogo ulikuwa unaumiza ila nilipiga moyo konde na nikaamua kukaa kimya bila kutuma maombi mengine kwa mwaka huo(2021).
Mwaka huu pia hadi sasa nimefanya maombi 7 ya kazi Serikalini Tamisemi (washanipiga kibuti) na Afya (kibuti ni kwa 99.9%), Taasisi 1 ya Binafsi tayari washanipiga kibuti, maombi mengine 4 ni kupitia Ajira portal juzi juzi ingawa kule ni sawa na kujaribu kupita tundu la Sindano. Ombi la 8 linalifanya muda si mrefu kuanzia sasa.
Japo kuna ushindani ila ninapoona classmate wangu wanauula kiulaini na wengine niliowaacha darasani wanauula, moyo unauma sana, sijui nakwama wapi, sijui mchawi ni nani.
Imagine classmate anapata kibarua kiulaini taasisi binafsi na hapo hapo ananyakuliwa na Tamisemi
Ukimya umekua mwingi sana, something unfaMwaka jana nilifanya maombi 8 ya kazi Serikalini(Tamisemi na Afya), taasisi binafsi.
Nilipigwa kibuti sehemu zote, taasisi moja tu ya binafsi ndio walinipa mrejesho wa kunikataa japo kwa usahili, mrejesho wao kidogo ulikuwa unaumiza ila nilipiga moyo konde na nikaamua kukaa kimya bila kutuma maombi mengine kwa mwaka huo(2021).
Mwaka huu pia hadi sasa nimefanya maombi 7 ya kazi Serikalini Tamisemi (washanipiga kibuti) na Afya (kibuti ni kwa 99.9%), Taasisi 1 ya Binafsi tayari washanipiga kibuti, maombi mengine 4 ni kupitia Ajira portal juzi juzi ingawa kule ni sawa na kujaribu kupita tundu la Sindano. Ombi la 8 linalifanya muda si mrefu kuanzia sasa.
Japo kuna ushindani ila ninapoona classmate wangu wanauula kiulaini na wengine niliowaacha darasani wanauula, moyo unauma sana, sijui nakwama wapi, sijui mchawi ni nani.
Imagine classmate anapata kibarua kiulaini taasisi binafsi na hapo hapo ananyakuliwa na Tamisemi kiulaini