#COVID19 Wizara ya Afya Tanzania: Usiyoyajua kuhusu chanjo ya COVID-19

#COVID19 Wizara ya Afya Tanzania: Usiyoyajua kuhusu chanjo ya COVID-19

Yako machache bado yamebakia likiwamo hili Lorenzo Samike. Yamejawa ujinga uliopitiliza. Madhara ya wazi hasi ya sera za kufikirika za awamu ile:

Nasikia unatamani kuwa choko?
 
Wizara ya Afya Wana kigugumizi cha kuandika jina la chanjo!
 
CDC definition of Vaccine: Is a product that stimulates a person’s immune system to produce immunity to a specific disease, protecting the person from that disease.Thus, The so called Covid-19 vaccine is NOT a vaccine at ALL!! because;

1). These covid-19 vaccines doesn't provide innoculated individual with protection against corona virus.

2).Covid-19 vaccines does not prevent the spread of the disease.


Therefore, Covid-19 vaccines does NOT MEET the CDC definition of Vaccine.


Watanzania AMKENI!!.
Umeeleza kitaalamu ila mburula wa JF hawataki analysis ya kitaalamu,wanakimbilia kupinga tu
Maana haya ndo Mambo muhimu ya kujiuliza.

Kwanini mtu achanjwe hii chanjo?
Jibu litakuwa ni kumkinga asiambukizwe Corona.

Je akichanjwa hataambukizwa Corona? Jibu ataambukizwa tu.
Sasa chanjo ya Nini?

Je mtu akichanjwa hawezi kufa kwa corona? Jibu anaweza kufa.

Swali kwanini uchanjwe sumu ambayo inaweza kumletea madhara au akipata madhara Serikali yake itamsaidia? Hapana serikali haitahusika check consent form inajieleza.
Sasa chanjo hi ni kwa ajili ya Nini Mburula kujikinga😀😀
 
Exactly!
Umeeleza kitaalamu ila mburula wa JF hawataki analysis ya kitaalamu,wanakimbilia kupinga tu
Maana haya ndo Mambo muhimu ya kujiuliza.

Kwanini mtu achanjwe hii chanjo?
Jibu litakuwa ni kumkinga asiambukizwe Corona.

Je akichanjwa hataambukizwa Corona? Jibu ataambukizwa tu.
Sasa chanjo ya Nini?

Je mtu akichanjwa hawezi kufa kwa corona? Jibu anaweza kufa.

Swali kwanini uchanjwe sumu ambayo inaweza kumletea madhara au akipata madhara Serikali yake itamsaidia? Hapana serikali haitahusika check consent form inajieleza.
Sasa chanjo hi ni kwa ajili ya Nini Mburula kujikinga[emoji3][emoji3]
Ifahamike tu madhara ya sasa na ya baadae yatokanayo na hii "experimental vaccines" ni makubwa sana kuliko hata ya kutokuchomwa au ya ugonjwa wenyewe.
 
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa maelezo kuhusu chanjo ya corona kama ifuatavyo, ambapo imewahakikishis wananchi kuwa chanjo iliyoletwa nchini ni salama kwani wataalamu wamejiridhisha.

View attachment 1866020
Watanyoosha maelezo tuuu.Serikali ilianza kwa kututisha kwamba chanjo ya corona ni hatari kuliko corona na sisi wananchi tulishatishika kabisa tukawa tiiii.sasa kuturejesha tena kwamba chanjo iko vizuri,inabidi mkakati mwingine utumike.Yaani Raisi SHS mwenyewe alisemee hili kwa nguvu zaidi kama wamejiridhisha kwamba kwamba hiyo chanjo iko salama.
 
Umeeleza kitaalamu ila mburula wa JF hawataki analysis ya kitaalamu,wanakimbilia kupinga tu
Maana haya ndo Mambo muhimu ya kujiuliza.

Kwanini mtu achanjwe hii chanjo?
Jibu litakuwa ni kumkinga asiambukizwe Corona.

Je akichanjwa hataambukizwa Corona? Jibu ataambukizwa tu.
Sasa chanjo ya Nini?

Je mtu akichanjwa hawezi kufa kwa corona? Jibu anaweza kufa.

Swali kwanini uchanjwe sumu ambayo inaweza kumletea madhara au akipata madhara Serikali yake itamsaidia? Hapana serikali haitahusika check consent form inajieleza.
Sasa chanjo hi ni kwa ajili ya Nini Mburula kujikinga[emoji3][emoji3]
Una kiwango gani cha elimu
 
Exactly!Ifahamike tu madhara ya sasa na ya baadae yatokanayo na hii "experimental vaccines" ni makubwa sana kuliko hata ya kutokuchomwa au ya ugonjwa wenyewe.
Una elimu gani ndugu
 
Wizara ya afya is the mess ,,yaani badala wizara ichukulie suala la afya kwa uzito wake ,inalichukulia suala hili kisiasa,,embu angalia walivyo kurupuka kuzuia mikusanyiko ile ya katiba na siku zote walikua kimya,,embu angalia suala la simba na yanga huko kigoma,,mbona halizungumziwi hilo,au simba na yanga si mikusanyiko, na lipi kusanyiko kubwa..
Hii nchi ukifuatlia Sana utakufa kwa Stress.hapa panawafaa.wapumbavu tu
 
Hii nchi ukifuatlia Sana utakufa kwa Stress.hapa panawafaa.wapumbavu tu
Waziri mkuu siku 2 zilizopita alisema tuna wagonjwa wachache halafu Waziri wa Afya akatuambia wameongezeka ni 682 sasa tufuate yapi....unatakiwa utulie uache kufuatilia vitu kwa undani, unaweza ukachangayikiwa kabisa🤣
 
Mtuambie wazi ni chanjo aina gani mmepokea. Mbona haitajwi au mmepokea ile ya Jobnson na Astrazenica??
Wekeni wazi ili tujue na kuamini uwezo wake.
Sio watu zinaanza kugandisha damu na hospitali zetu hatuna uweze wa kudhibiti tutauana !
 
Exactly!Ifahamike tu madhara ya sasa na ya baadae yatokanayo na hii "experimental vaccines" ni makubwa sana kuliko hata ya kutokuchomwa au ya ugonjwa wenyewe.
Damu ya Watanzania haitawaacha salama na kizazi Chao hawa waliojitoa ufahamu ili kuleta madhara kwa maslahi yao.
 
Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imetoa maelezo kuhusu chanjo ya corona kama ifuatavyo, ambapo imewahakikishis wananchi kuwa chanjo iliyoletwa nchini ni salama kwani wataalamu wamejiridhisha.

View attachment 1866020
Lichanjo la majaribio ya vinasaba hilo labda mkawachome ng’ombe, pumbavu kabisa.

Hiyo chanjo au utani? Yaani ukichanjwa bado utapata maambukizi na bado utaambukiza wengine, seriously? Is this a joke?!!!
 
Je ? Ni mtalamu gani angesimama na kusema chanjo haifai? Huu ni upuzi kama puuzi nyingine[emoji706]
 
Lichanjo la majaribio ya vinasaba hilo labda mkawachome ng’ombe, pumbavu kabisa.

Hiyo chanjo au utani? Yaani ukichanjwa bado utapata maambukizi na bado utaambukiza wengine, seriously? Is this a joke?!!!
A serious Joke.. na Serikali haitawajibika kwa vyovyote kutokana na madhara ya chanjo.. [emoji848]
 
Back
Top Bottom