Wizara ya Afya yadaiwa kuhusika katika ufisadi wa bilioni 4.8

Sasa shida iko wapi hapo ? Wazungu wameleta Pesa za bwelele zimepigwa na watanzania kimkakati we unalia lia nini wacha wafaidi ili siku nyingine hao mabeberu wapungunze shobo juu ya bara la Africa.
Mara nyingine ukinyamaza utaficha mengi. Kwa akili yako hiyo pesa ilitolewa bure? Ni kodi yako, watoto na wajukuu zako itakayotumika kuilipa.
 

Kama Samia akiwa Serious na kuacha Ushosti, Ummy anatakiwa kukaa pembeni immediately. Ufisadi umerudi kwa kasi, na Ummy anatajwa kwenye maeneo mengi yanayohusika na Ufisadi. Kuna jambo halipo sawa kwa Ummy na anatakiwa kuchunguzwa. Hata ishu ya NHIF na kitita chao…… kuna viashiria vya rushwa na ndio maana wizara chini ya ummy inapiga kampeni ya kuhamasisha kuwa kitita kipo sawa. Fuatilia viongozi wa wizara kwa makini kwenye media , Tv na redioni…….:

Ummy ameunda tume ya kupata maoni ya kitita. Kimsingi maoni yalitakiwa kuwa collected kabla ya kitita kuwa approved

Ipo shida Mahal tena kubwa chini ya uongozi
Wa Ummy ;

Mama anatakiwa awe serious na maslahi ya vinginevyo asigombee tena , anazidi kudidimiza nchi. Nchi imekuwa ya kihuni kila mtu anajipigia , ule uangalizi wa resourves za nchi haupo tena . Ni siasa hadi kwenye mambo ya msing

Ummy
Has to
Step
Down
 
Anajua sana kusukuma kete na ufisadi

Vyombo vya ulinzi na
usalama, mkiachia nchi hawa wanasiasa bila ya action

Tunarudi kwenye UFISADI MKUBWA zaidi ya ufisadi wa JK
Kinga yao hawa mafisadi ni kumsifia sn maza na kurudisha return kwa maza walichochuma
 

Ila Biteko kamjibu ,

Jamaa hataki unafika. Kila kinachoonekana sasa ni nguvu ya JPM . Na mama hadi sasa hajaweza kukamilisha project nyingi za JPM.

JPM meant a lot kwa watanzania na alimaanisha mengi sana HASA ukiangalia uelekeo wa nchi kwa sasa.

JPM kaacha nchi petrol one liter ni 1700 now ni 3160.

JPM kaacha dola ni 2200 , now ni 2700

JPM kaacha hakuna shida ya upatikanaji wa dola, now kupata dola ni dili na utoe shiling nyingi

JPM kaacha miundombinu inakaribia kumalizika. Mwaka wa 3 sasa hakuna barabara hata moja iliyofunguliwa

JPM kaacha nchi haina tozo za miamala, now tozo ni kila kwenye muamala wa simu

JPM aliwapiga burn DP world kwasababu hawaku meet term za recruitement , JPM alitaka nafasi za ajira ziwe 60% by 40% na some of the highest positions za management zishikwe na watanzania; mama
Kawapokea bila terms zozote kuweka maslahi ya taifa Mbele. Tangu DP world waje, wametangaza kazi ngapi? Moja tu tena kama geresha

Huu upuuzi wa kuingiza mchele wa virutubisho pasipokuwa na msingi JPM asingeruhusu. Hatuna shida ya mchele wala virutubisho



JPM alimaanisha mengi kwa watz na hamuezi kuburial legacy yake, that man was a great man kuwahi kutokea and he will always be remembered
 
hapa ngoma droo! machanjo ya kiujanjaujanja yakakutana na maofisa wa wizara wajanjawajanja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…