Kwani ni uongo si mnatengeneza video kila siku?Kwa bahati mbaya tu siwezi kukumbuka post ambazo ulichangia na ukawa unaoinga vikali kwamba zile picha na video siyo za tanzania.
Halafu mimi nazungumzia picha na video za makaburini usiku.
Kwani ni uongo si mnatengeneza video kila siku?
Nina wasiwasi msipozika usiku Kama mlivyokuwa mnafanya awali ,tunakoelekea mtaishangaza dunia kwani mtazidiwa na idadi ya watu ya kuwazika kwa siku.
Huwa anajua kuwachachafyaKigongo aliposema watu wa zikwa usiku walikataa.... Sasa inakuwaje wanazuia kitu ambacho hakikuwepo!!?
Kigongo aliposema watu wa zikwa usiku walikataa.... Sasa inakuwaje wanazuia kitu ambacho hakikuwepo!!?