Wizara ya Afya yapiga marufuku watu kuzikwa usiku, yaagiza ndugu washirikishwe

Wizara ya Afya yapiga marufuku watu kuzikwa usiku, yaagiza ndugu washirikishwe

Mmechelewa Sana km Wizara mpk Mange aendeshe kampeni ya kuwaumbua ndiyo mnajitokeza. Kiukweli wanaitajika wakina Mange wengi ili kuipasha Moto nchi.
 
Huu uzi ni sumu kwa Bia yetu johnthebaptist magu2016 Drone Camera na buku 7 wengineo. Hebu muwatag waje hapa maana walikuwa mstari wa mbele kusema eti zile video za tanzania.

Njaa mbaya sana.
Nashukuru kwa kunitag.Pia video nilioona ni ile ya kariakoo. Halafu kwa nini mnataka kila mtu aonekane na mtazamo kama wenu.Yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na yaliyo vichwani mwenu anaonekana mganga njaa anayelipwa.

Perception mbovu sana hiyo.Nishakwambia kazi yangu haihusiani vyovyote vile na siasa.Nipo sekta binafsi,na pato langu si baya.
 
kumbu kulikuwa na kamchezo kuichafua serikali
 
Watu kuzikwa kama wanyama usiku wa manane haikubalikik nakupongeza sana mganga mkuu prof. Abel Makubi na wizara kwa ujumla uwezo wako toka ulipokua bugando ulionekana Hongera sana...

Its not over until its over...
emoji769.png


View attachment 1438546

Mmeanza kufukia kombe, tunataka kujua kwaniini mnazika usiku, nani alitoa order hi6o, na kwa sababu gani, msilindane
 
Nitoke nje ya mada.

Hatuwezi kuongozwa na wanasiasa kwenye hiki kipindi kigumu kisha tutarajie kuushinda huu ugonjwa.

Ingekuwepo kamati ya wataalamu wa afya na majanga ingekuwa heri mihemko na hisia zingepungua.

Ni kosa mawaziri, wabunge na Rais wawe ndiyo wasemaje wakuu. Hawa kazi yao ilikuwa kupokea ripoti kutoka kwa kamati ya wataalamu.

Wao wanajua walau kila kitu kuhusu magonjwa...hawana mihemko...hawana chuki...wala hawana mirengo ya kisiasa wanasimamia miiko ya kazi.
Umesema neno hata mungu kakusikia, hawa wanasiasa ni laana tul
 
Nadhani kuna mambo mengine ya hovyo yanafanywa na Serikali, wengi tukiamini yamekubaliwa au ni maelekezo ya Rais, kumbe ni maamuzi wa baadhi ya watendaji wenye akili ndogo ndani ya Serikali.

Kuwazika marehemu usiku, kwa kificho, bila kuwashirikisha ndugu, ulikuwa ni uhayawani.

Siamini kama kuna sababu yoyote ya maana inayoweza kueleweka. Mtu amekwishafariki. Mmetoa maelekezo kuwa msiba usihudhuriwe na watu zaidi ya 10, sasa kumzika usiku kuna maana gani? Hao virus nao huwa wanahitaji muda wa kulala, kiasi cha kusema watu wazike wakati virus wamelala usingizi?

Wati wengi tulilalamikia jambo hilo. Lakini majitu majinga kama yule Bia Yetu, yaliendelea kushabikia. Niliwahi kusema pia, mashabiki wajinga kama Bia Yetu, hawana msaada kwa Rais, nchi, Serikali wala CCM.

Tunampongeza Rais kwa kusitisha ule uhayawani wa kuzika watu usiku. Waliopoteza ndugu zao wana majonzi ua kuwapoteza ndugu zao, lakini pia kutokuwa na uhakika kama makaburi waliyoambiwa ndimo ndugu zao wamelala, ndimo kweli walimolala.

Tupunguze tutofautiane kwa fikra katika kuutokomeza ugonjwa huu lakini tusimame pamoja katika lengo kuu la kulitakia mema Taifa letu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi ya hao , bia yetu nk. Ni waajiriwa wapuuzeni ni bendera fuata upepo hasa
 
Jamani makofi matatu kwa korona, inamega kule kule juu, tuende tuu akili zitawapata, sisi kufa na kuzikwa tumezoea, sasa wao kifua india mafua marekani, poooo corona hiyo tuko wote hapa , corona hoyeeee
 
Hivi kuna nchi nyingine raia wake hawanathamani kama tz? Mbona tunasikia na kuona nchi nyingine raia wanaobwa samahani pale serikali inapokosea au kunapokuwa na sitofahamu. Hivi watu ambao wapendwa wao walizikwa usiku wanajisikia baada ya zuio hilo wakati wao yameshawakuta. Kwanini hatuambiwe so far watu wangapi wamezikwa usiku na sababu ilikuwa nini?
 
Sasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
.... hawakutarajia Covid-19 ingechukua vigogo kwa kasi iliyoshuhudiwa siku za hivi karibuni. Sasa wakagundua vigogo watazikwaje kimya kimya? Hakuna namna basi wakaona watengue utaratibu wa awali ili wanyonge nao wazikwe nuruni ili kupunguza malalamiko na kuepusha jamii kuhoji double standards! So, sio kwa bahati mbaya ila issue ime back-fire!
 
Hapa ndio utaona Mh.Mbowe alikuwa sahihi kwa kuwabutuwa CCM kule Bungeni.

Hadi Mkuu kaibuka tena Kule chato kulihutubia Taifa na kuongea kwa hasira akionesha kutofurahishwa na badhi ya mambo.

Sasa karibuni hivi Simba na yanga nazo zitaingia uwanjani kuleta Burudani ya Mpira.

Hongereni wakosoaji wote ,musiache kutimiza wajibu wenu kuliokoa taifa hili.

Kelele nazo zina faida yake kwa Viziwi, japo huwa hawasikii, lakini huona midomo ikicheza cheza na kubaini kuwa kuna tatizo hapa,

Hongera Mh.Mbowe, Kigogo19, Pascal Mayala, Na wengine wengi humu ndani.
 
Nashukuru kwa kunitag.Pia video nilioona ni ile ya kariakoo.
Halafu kwa nini mnataka kila mtu aonekane na mtazamo kama wenu.Yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na yaliyo vichwani mwenu anaonekana mganga njaa anayelipwa.Perception mbovu sana hiyo.Nishakwambia kazi yangu haihusiani vyovyote vile na siasa.Nipo sekta binafsi,na pato langu si baya.
Kwa bahati mbaya tu siwezi kukumbuka post ambazo ulichangia na ukawa unaoinga vikali kwamba zile picha na video siyo za tanzania.

Halafu mimi nazungumzia picha na video za makaburini usiku.
 
Tanzania itabadilika kwa kelele tu, wala si kwa binduki. Si mkuu tu hata spika wa bunge nilimsikia akipanik vibaya sana alipohojiwa kuhusu Mbowe na Company kutohodhuria vikao vya Bunge.

Kelele zitawatoa walioshimoni wote na kutapika walioyaficha. Janga kama hili unafanya mzaha.

Kweli nimeamini kuwa CCM NI WEPESI SANA, NA JANGA HILI LITAWAONDOA MADARAKANI.

CCM OUT! NNJE!
 
Back
Top Bottom