Hili limeingia kwa wazito ndio maana sasa wanafunguka!wizara mlichelewa sana kutoa agizo hili..
Nashukuru kwa kunitag.Pia video nilioona ni ile ya kariakoo. Halafu kwa nini mnataka kila mtu aonekane na mtazamo kama wenu.Yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na yaliyo vichwani mwenu anaonekana mganga njaa anayelipwa.Huu uzi ni sumu kwa Bia yetu johnthebaptist magu2016 Drone Camera na buku 7 wengineo. Hebu muwatag waje hapa maana walikuwa mstari wa mbele kusema eti zile video za tanzania.
Njaa mbaya sana.
Mmeanza kufukia kombe, tunataka kujua kwaniini mnazika usiku, nani alitoa order hi6o, na kwa sababu gani, msilindaneWatu kuzikwa kama wanyama usiku wa manane haikubalikik nakupongeza sana mganga mkuu prof. Abel Makubi na wizara kwa ujumla uwezo wako toka ulipokua bugando ulionekana Hongera sana...
Its not over until its over...
View attachment 1438546
Umesema neno hata mungu kakusikia, hawa wanasiasa ni laana tulNitoke nje ya mada.
Hatuwezi kuongozwa na wanasiasa kwenye hiki kipindi kigumu kisha tutarajie kuushinda huu ugonjwa.
Ingekuwepo kamati ya wataalamu wa afya na majanga ingekuwa heri mihemko na hisia zingepungua.
Ni kosa mawaziri, wabunge na Rais wawe ndiyo wasemaje wakuu. Hawa kazi yao ilikuwa kupokea ripoti kutoka kwa kamati ya wataalamu.
Wao wanajua walau kila kitu kuhusu magonjwa...hawana mihemko...hawana chuki...wala hawana mirengo ya kisiasa wanasimamia miiko ya kazi.
Wengi ya hao , bia yetu nk. Ni waajiriwa wapuuzeni ni bendera fuata upepo hasaNadhani kuna mambo mengine ya hovyo yanafanywa na Serikali, wengi tukiamini yamekubaliwa au ni maelekezo ya Rais, kumbe ni maamuzi wa baadhi ya watendaji wenye akili ndogo ndani ya Serikali.
Kuwazika marehemu usiku, kwa kificho, bila kuwashirikisha ndugu, ulikuwa ni uhayawani.
Siamini kama kuna sababu yoyote ya maana inayoweza kueleweka. Mtu amekwishafariki. Mmetoa maelekezo kuwa msiba usihudhuriwe na watu zaidi ya 10, sasa kumzika usiku kuna maana gani? Hao virus nao huwa wanahitaji muda wa kulala, kiasi cha kusema watu wazike wakati virus wamelala usingizi?
Wati wengi tulilalamikia jambo hilo. Lakini majitu majinga kama yule Bia Yetu, yaliendelea kushabikia. Niliwahi kusema pia, mashabiki wajinga kama Bia Yetu, hawana msaada kwa Rais, nchi, Serikali wala CCM.
Tunampongeza Rais kwa kusitisha ule uhayawani wa kuzika watu usiku. Waliopoteza ndugu zao wana majonzi ua kuwapoteza ndugu zao, lakini pia kutokuwa na uhakika kama makaburi waliyoambiwa ndimo ndugu zao wamelala, ndimo kweli walimolala.
Tupunguze tutofautiane kwa fikra katika kuutokomeza ugonjwa huu lakini tusimame pamoja katika lengo kuu la kulitakia mema Taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
.... hawakutarajia Covid-19 ingechukua vigogo kwa kasi iliyoshuhudiwa siku za hivi karibuni. Sasa wakagundua vigogo watazikwaje kimya kimya? Hakuna namna basi wakaona watengue utaratibu wa awali ili wanyonge nao wazikwe nuruni ili kupunguza malalamiko na kuepusha jamii kuhoji double standards! So, sio kwa bahati mbaya ila issue ime back-fire!Sasa wakati zoezi linaendelea wao walikuwa wapi?..
Ina maana wazikaji walijiamulia Tu kuzika usiku?
Kwa bahati mbaya tu siwezi kukumbuka post ambazo ulichangia na ukawa unaoinga vikali kwamba zile picha na video siyo za tanzania.Nashukuru kwa kunitag.Pia video nilioona ni ile ya kariakoo.
Halafu kwa nini mnataka kila mtu aonekane na mtazamo kama wenu.Yaani mtu akiwa na mawazo tofauti na yaliyo vichwani mwenu anaonekana mganga njaa anayelipwa.Perception mbovu sana hiyo.Nishakwambia kazi yangu haihusiani vyovyote vile na siasa.Nipo sekta binafsi,na pato langu si baya.