Wizara ya Ardhi imulikeni Mtwara Mjini

Wizara ya Ardhi imulikeni Mtwara Mjini

mahwelu

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2013
Posts
322
Reaction score
253
Wanajamii forum nawasalim,

Naiomba wizara ya Ardhi na Maendeleo Ya Makazi waumulike Manispaa ya Mtwara. Mimi ni mhanga katika ufisadi ambao unaendelea pale ofisi ya ardhi jirani ma BOT. Nilikuwa nahitaji kulipia kiwanja changu. Lakini kila nikipewa control number inasoma jina ambalo silo la kwangu. Nimefuatilia zaidi ya mara nne naambiwa mpaka wizarani wawezeshe ndipo mtaa wetu eneo la ligula ndipo litaweza kuhudumiwa vyema.

Juzi nilipofika ofisini nikaambiwa ya kwamba kuna mfanyakazi wa ambaye ndiye alikuwa mtaalam lakini ametumbuliwa. Kwamaana bila yeye maeneo mengi waliobaki hawawezi kuyatambua.

So kinachotokea ni kwamba pale nje ya ofisi yao kama unaenda shule ya rahaleo huyo jamaa hukaa. Ukiwa pale ndani wanakuambia umuone huyo jamaa umpeleke site, kisha akirudi anatoa data za site yako ndipo unapewa control number. Unalazimika kumlipa 10,000/= posho na usafiri juu yako. Juzi nilisita nikataka nisome mchezo. Jamaa yuko very busy. Anachukuliwa anarudi anaenda anarudi kiasi imekuwa biashara yake. Mfano mtu site unadaiwa 16,000/= unalazimika kumlipa jamaa 10,000/= plus 1000*2 bodaboda kwenda site na hawabadilishi chochote kwenye data ya kiwanja. Mwaka ujao process itakuwa the same.

Wakuu nimejaribu kuwauliza takukuru mtwara it seems ni mchezo ambao wanaujua kwani wanasema baada ya jamaa kutumbuliwa, hajaajiriwa mtu mwingine kwenye nafasi husika. Issue ni kwamba kwanini mwananchi aingie gharama hii?

Waziri Lukuvi na makamishna wako Mtwara, tutatulie hii kitu kwani wapo wanaotaka kuchukua nafasi ya kuvunjwa kwa bunge na focus ya uchaguzi kuwaumiza wanyonge.

N i hayo tu....
 
Mtwara mjini achaneni na chadema ,safari hii chagueni ccm mtaona mabadiliko
 
Mtwara mjini achaneni na chadema ,safari hii chagueni ccm mtaona mabadiliko
Mtwara mjini haiongozwi na chadema. Lakini pili wizara ya ardhi haisimamiwi na mwanachadema ni suala la kitaifa na sio la kichama.
 
Wanajamii forum nawasalim,

Naiomba wizara ya Ardhi na Maendeleo Ya Makazi waumulike Manispaa ya Mtwara. Mimi ni mhanga katika ufisadi ambao unaendelea pale ofisi ya ardhi jirani ma BOT. Nilikuwa nahitaji kulipia kiwanja changu. Lakini kila nikipewa control number inasoma jina ambalo silo la kwangu. Nimefuatilia zaidi ya mara nne naambiwa mpaka wizarani wawezeshe ndipo mtaa wetu eneo la ligula ndipo litaweza kuhudumiwa vyema.

Juzi nilipofika ofisini nikaambiwa ya kwamba kuna mfanyakazi wa ambaye ndiye alikuwa mtaalam lakini ametumbuliwa. Kwamaana bila yeye maeneo mengi waliobaki hawawezi kuyatambua.

So kinachotokea ni kwamba pale nje ya ofisi yao kama unaenda shule ya rahaleo huyo jamaa hukaa. Ukiwa pale ndani wanakuambia umuone huyo jamaa umpeleke site, kisha akirudi anatoa data za site yako ndipo unapewa control number. Unalazimika kumlipa 10,000/= posho na usafiri juu yako. Juzi nilisita nikataka nisome mchezo. Jamaa yuko very busy. Anachukuliwa anarudi anaenda anarudi kiasi imekuwa biashara yake. Mfano mtu site unadaiwa 16,000/= unalazimika kumlipa jamaa 10,000/= plus 1000*2 bodaboda kwenda site na hawabadilishi chochote kwenye data ya kiwanja. Mwaka ujao process itakuwa the same.

Wakuu nimejaribu kuwauliza takukuru mtwara it seems ni mchezo ambao wanaujua kwani wanasema baada ya jamaa kutumbuliwa, hajaajiriwa mtu mwingine kwenye nafasi husika. Issue ni kwamba kwanini mwananchi aingie gharama hii?

Waziri Lukuvi na makamishna wako Mtwara, tutatulie hii kitu kwani wapo wanaotaka kuchukua nafasi ya kuvunjwa kwa bunge na focus ya uchaguzi kuwaumiza wanyonge.

N i hayo tu....
Vile viwanja vya Mangamba walivyojenga wananchi ambavyo airport inataka kuwapora kihuni vimefikia wapi? Maana nilisikia Meneja wa uwanja kasimamishwa kazi kwa kuiba hela za bikoni
 
Back
Top Bottom