NaughtyGuy
JF-Expert Member
- Nov 10, 2017
- 1,747
- 1,939
Simkubali pili2 ila why watu wanashindwa kutofautisha comedy na mambo ya serious. Mtoa uzi we mbele huwezi kaa hata sekunde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tofauti ni kiingereza tu ambako wengi wakisoma INTERNATIONAL SCHOOL huishia kuwa ma DJ akiwemo MC PILIPILIkwani ameongea uongo kuna tofauti kati ya st kayumba na intanational school acha upotoshaji wewe
Na ndio mafundi wa maiki na spika na amplifier nk anazotumia yeye kama MC.li MC BWEGE TU HILOHao wa Veta ndy mnawaita kwa ajili ya plumbing kwenye vibanda vyenu, wiring, mosonry, carpenter etc
Hapo penye nyekundu mmmmmm naona mtani wangu mhaya unataka kujitutumua kuonyesha umesoma mashule ya kizungu wakati hata la saba hukumaliza pale shule ya serikali ya msingi ya kyabukobakwani ameongea uongo kuna tofauti kati ya st kayumba na intanational school acha upotoshaji wewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndio mafundi wa maiki na spika na amplifier nk anazotumia yeye kama MC.li MC BWEGE TU HILO
mkuu na wewe umesoma VETA nn??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] tabu iko palepaleNa ndio mafundi wa maiki na spika na amplifier nk anazotumia yeye kama MC.li MC BWEGE TU HILO
Simkubali pili2 ila why watu wanashindwa kutofautisha comedy na mambo ya serious. Mtoa uzi we mbele huwezi kaa hata sekunde
Binafsi naiheshimu sana sanaa kwani ni ubunifu ambao mtu anajigundua nao kisha anautumia kwa kujitafutia ridhiki huyu mchekeshaji maarufu kama MC pili pili nimemuona kwenye video moja inayozunguka mitandaoni akimuuliza bi harusi amesoma wapi, kisha akajibiwa kwamba amesoma chuo cha usimamizi wa fedha IFM halafu kwa kejeli akasema mtu aliyesomaVETA hawezi kujifananisha na huyu mtu kasomea ufund, ni kwamba hajui kama veta ni mamlaka ya elimu ya ufundi Tanzania iliyo chini ya wizara ama?
Hakuishia hapo alienda kwenye harusi nyingine akasema amesoma tu shule ya maana kwani mtoto aliyesoma sinza mapambano hawezi kuwa na muonekano wa hivi...rai yangu kwako kabla mamlaka husika haijakuchuulia hatua unapojitaftia ridhiki usitoe matamko ya dharau na kebehi kwa taasisi za serikali....kuna vyuo na taasisi nyingi tu za elimu ambazo mamlaka inapingana nazo kwani hazijasajiliwa ungeweza kuzitolea mfano
Safi sana mkuukwani ameongea uongo kuna tofauti kati ya st kayumba na intanational school acha upotoshaji wewe
Ushauri mzuri sana!Binafsi naiheshimu sana sanaa kwani ni ubunifu ambao mtu anajigundua nao kisha anautumia kwa kujitafutia ridhiki huyu mchekeshaji maarufu kama MC pili pili nimemuona kwenye video moja inayozunguka mitandaoni akimuuliza bi harusi amesoma wapi, kisha akajibiwa kwamba amesoma chuo cha usimamizi wa fedha IFM halafu kwa kejeli akasema mtu aliyesomaVETA hawezi kujifananisha na huyu mtu kasomea ufund, ni kwamba hajui kama veta ni mamlaka ya elimu ya ufundi Tanzania iliyo chini ya wizara ama?
Hakuishia hapo alienda kwenye harusi nyingine akasema amesoma tu shule ya maana kwani mtoto aliyesoma sinza mapambano hawezi kuwa na muonekano wa hivi...rai yangu kwako kabla mamlaka husika haijakuchuulia hatua unapojitaftia ridhiki usitoe matamko ya dharau na kebehi kwa taasisi za serikali....kuna vyuo na taasisi nyingi tu za elimu ambazo mamlaka inapingana nazo kwani hazijasajiliwa ungeweza kuzitolea mfano
Huwezi kumkubari kila mtu kwenye industry/sanaa/kazi au fani yoyote. Mfano, Messi10 na CR7 ktk fani ya mpira wa miguu. Wapo wanaomkubali CR7 lakini hawamkubali Messi10.MC Pilipili si mchekehaji ni mpuuzi tu, tena ni mtu anayelazimisha watu kucheka hata kama hakuna kicheko. Akamatwe tu na kunyongwa.