Dede 01
JF-Expert Member
- May 12, 2024
- 1,182
- 2,248
Tangu zamani vitabu vya fasihi andishi vinavyotumika ni vilevile si kwenye somo la kiswahili wala English.
Vitabu kama 'The black hermit' na vyakina Ngoswe na kilio chetu ni vya zamani sana. Serikali ibadilishe vitabu na ilete vitabu vipya.
Haiwezekani mimi nisome vitabu hivyo na wajukuu zangu nao wasome vitabu hivyo hivyo, competence inakuwa zero.
Au ninyi mnasemaje wakuu?
Vitabu kama 'The black hermit' na vyakina Ngoswe na kilio chetu ni vya zamani sana. Serikali ibadilishe vitabu na ilete vitabu vipya.
Haiwezekani mimi nisome vitabu hivyo na wajukuu zangu nao wasome vitabu hivyo hivyo, competence inakuwa zero.
Au ninyi mnasemaje wakuu?