Wizara ya Elimu kuliko kuboresha utekelezaji wa mtaala huu mbovu ni bora mngeelekeza juhudi zenu kuandaa mtaala mpya

Wizara ya Elimu kuliko kuboresha utekelezaji wa mtaala huu mbovu ni bora mngeelekeza juhudi zenu kuandaa mtaala mpya

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2019
Posts
9,863
Reaction score
20,806
Naendelea kuona jinsi mtaala mbovu unavosababisha janga la ukosefu wa ajira nchini!

Kila mwaka graduates wanalundikana mtaani tena wakiwa wamekata tamaa kabisa hata huko kunakoitwa kujiajiri wanashindwa kwa kukosa mitaji ikumbukwe bado Wana deni la bodi ya mikopo!!unaweza vuta picha ya hali ya unyonge waliyonayo!!

Chakushanganza bado serikali kupitia wizara ya elimu eti wanakuja na kalenda ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mtaala huo huo mbovu usiozalisha ajira hapa kwetu yaani uozo unaboreshewa namna uwe uozo bora. Hadi najiuliza hivi watunga sera ya elimu yetu wamelala? Ina Maana hawapo dynamic kuendana na mahitaji ya nyakati za sasa?

Vuta picha kwamfano: kozi za ualimu hapa nchini zinazalisha walimu kibao kila mwaka na hawaajiriwi sasa kwanini kozi hiyo isifutwe zikaletwa kozi nyingine ambazo zinaweza zalisha ajira nchini wahitimu wakajiajiri?

Kwanini muendelee kuzalisha wahitimu wale wale ambao hawana impact yoyote kwa jamii???ikumbukwe wahitimu hao wanakopeshwa fedha ambazo hawarudishi kwakukosa ajira.

Ifike hatua ya kuangalia mazingira na kuleta kozi ambazo zinaendana na jamii yetu na zile ambazo haziajiri zifutwe kwa muda ili kuokoa jahazi la ajira nchini!

Elimu ya sekondari mtaala iliopo ufutwe uletwe wenye tija ambao utaendana na hali ya mazingira yetu ili uzalishe ajira nchini! Kuwekwa mvinyo uleule kwenye chombo kipya haubadili ladha ya mvinyo!

Inasikitisha Sana kwa hali inavoendelea hapa nchini!!
 
Kuhusu mtaala wa elimu: Kuna haja ya kuchukua bold measures na bila kuogopa mtu ili kuiokoa elimu, mambo machache ambayo naona bora yafanyiwe kazi haraka ni:

1. Utaratibu wetu wa kupata waalimu wa shule za msingi na sekondari- Shule nyingi za msingi zinapata waalimu kutoka wahitimu wa form four. Wahitumu wengi wanaochukuliwa kwenda colledge za ualimu ni wale waliopata daraja la 3 na nne. Kwa maana kwamba hawakuwa na alternative nyingine. Wengi wao wakishamaliza masomo yao kwenye vyuo hivi vya ualimu wanarudi na kupangiwa kazi ndani ya halmashauri mbali mbali za wilaya, manispaa, na majiji. Hakuna regular trainings, promotion ni shida, etc. Imekuwa ngumu sana kwa watu wa aina hii kutupa matokeo. Ni vyema sasa kwa sababu tuna vyuo vingi vikuu - waalimu wa shule za msingi wakaajiriwa graduates... inaweza kusaidia.

2. Tuache political interference- kumekuwepo sana na uingiliaji wa viongozi wa kisiasa kwenye masual ya elimu. Mfano mdogo tu Joseph Mungai alibadilisha mitaala ya elimu kwa kuondoa baathi ya masomo na kupiga marufuku michezo shuleni. Hayati Magufuli aliagiza kwa vitisho somo la Historia ya Tanzania liingizwe kwenye mitaala. Kama nia ni kufahamu historia ya Tanzania ingewezza kuwepo topic moja kubwa kwenye somo la uraia na ikatosha

3. Nimesikia juzi Prof. Mkenda anataka kuboresha mitaala, nikajiuliza hivi hii wizara haina wataalam wa elimu mpaka kila kitu wasubiri maelekezo ya wanasiasa? Wizara naamini ina idara inashughulikia haya mambo na ina wataalamu wa kutosha. Viongozi wa kisiasa lazima waweze kuzungumzia na kutolea maagizo resolutions za wataalamu wa elimu ndani ya wizara
 
Finland wana mfumo bora wa elimu duniani, tunashindwa nn kujifunza huko?
 
Kuhusu mtaala wa elimu: Kuna haja ya kuchukua bold measures na bila kuogopa mtu ili kuiokoa elimu, mambo machache ambayo naona bora yafanyiwe kazi haraka ni:

1. Utaratibu wetu wa kupata waalimu wa shule za msingi na sekondari- Shule nyingi za msingi zinapata waalimu kutoka wahitimu wa form four. Wahitumu wengi wanaochukuliwa kwenda colledge za ualimu ni wale waliopata daraja la 3 na nne. Kwa maana kwamba hawakuwa na alternative nyingine. Wengi wao wakishamaliza masomo yao kwenye vyuo hivi vya ualimu wanarudi na kupangiwa kazi ndani ya halmashauri mbali mbali za wilaya, manispaa, na majiji. Hakuna regular trainings, promotion ni shida, etc. Imekuwa ngumu sana kwa watu wa aina hii kutupa matokeo. Ni vyema sasa kwa sababu tuna vyuo vingi vikuu - waalimu wa shule za msingi wakaajiriwa graduates... inaweza kusaidia.

2. Tuache political interference- kumekuwepo sana na uingiliaji wa viongozi wa kisiasa kwenye masual ya elimu. Mfano mdogo tu Joseph Mungai alibadilisha mitaala ya elimu kwa kuondoa baathi ya masomo na kupiga marufuku michezo shuleni. Hayati Magufuli aliagiza kwa vitisho somo la Historia ya Tanzania liingizwe kwenye mitaala. Kama nia ni kufahamu historia ya Tanzania ingewezza kuwepo topic moja kubwa kwenye somo la uraia na ikatosha

3. Nimesikia juzi Prof. Mkenda anataka kuboresha mitaala, nikajiuliza hivi hii wizara haina wataalam wa elimu mpaka kila kitu wasubiri maelekezo ya wanasiasa? Wizara naamini ina idara inashughulikia haya mambo na ina wataalamu wa kutosha. Viongozi wa kisiasa lazima waweze kuzungumzia na kutolea maagizo resolutions za wataalamu wa elimu ndani ya wizara
Asante kwa mchango wako!!
 
Mfumo wa elimu ni kama conglomerated system yenye nyanja nyingi sana, suala la kubadilisha si suala la siku moja ama mwezi, ni suala la kuhitaji muda.

Wala msije kuwaza kuwa hawawazi kama ninyi, jaribu kujiweka pale kwenye nafasi ya wafanya maamuzi halafu jiulize wanashindwa wapi. Mtaala una tafsiri kubwa, na lazima kama nchi tujikite katika kuboresha tafsiri zote.

Tunapaswa kujua, ili kurekebisha mtaala, ni lazima

1. walimu waliopo wawe ni "educated teachers" na si wale "trained teachers", ndio mana colleges zikapewa hadhi ya educational colleges na si training colleges....kwanini?

Lengo ni kuwafanya, walimu waliopo leo wa switch kwenda kwenye mtaala mpya, na wakaweza ku cope kwa muda mfupi (zingatia hili, si mwezi wala mwaka, nu muda zaidi) wanaopaswa kutoa hiyo elimu wanapaswa kuwa competent na demands za ulimwengu.

2. Elimu ni biashara, moja kati ya mihimili ya biashara inayotegemewa nchini, je, mtaala mpya utaathiri vipi mfumo wa biashara wa elimu uliopo?


3. Tunataka wahitimu waweje? dunia inataka nini kwa sasa, je tumeainisha kila daraja, kwa sababu mtaala uliopo unataka "responsible citizen" [emoji16] bado umeakisi kutengeneza watumishi wa uma (waajiriwa), tunabadili ili uweje?

4. Uchumi wa Serikali na wananchi wake, unaweza kumudu gharama za mtaala mpya? [emoji4] Kama ndivyo, sawa.


CHANGAMOTO

Leo tu, licha ya rasilimali tulizo nazo, tumeshindwa kununua tuu madawati, na badi maslahi ya walimu yapo nyuma, je kwa ulimwengu wa sayansi na teknolojia, itakuwa rahisi kuwepo shuleni kwa facilities za kumtengeneza mtoto aendane na ulimwengu mpya?
 
Kwa hapa tulipofikia, nadhani tungeiboresha mitaala ya ufundi stadi katika nyanja mbalimbali! tungeanzisha mitaala ya kilimo bora na cha kisasa, tungeanzisha mitaala ya biashara na ujasiriamali, mitaala katika ubunifu na sanaa ya maigizo kama wenzetu wa Marekani, Uturuki, Korea Kusini, nk!

tungeanzisha mitaala ya michezo na tungejenga academy za kutosha, na zenye mafungamano na nchi/vilabu vikubwa vya soka na michezo mingine duniani!

Kimsingi hii mitaala ya sasa inakera na kuchefua. Maana inazalisha wasomi tegemezi na wasio na manufaa makubwa ya kimaendeleo katika jamii.
 
Mfumo wa elimu ni kama conglomerated system yenye nyanja nyingi sana, suala la kubadilisha si suala la siku moja ama mwezi, ni suala la kuhitaji muda.

Wala msije kuwaza kuwa hawawazi kama ninyi, jaribu kujiweka pale kwenye nafasi ya wafanya maamuzi halafu jiulize wanashindwa wapi. Mtaala una tafsiri kubwa, na lazima kama nchi tujikite katika kuboresha tafsiri zote.

Tunapaswa kujua, ili kurekebisha mtaala, ni lazima

1. walimu waliopo wawe ni "educated teachers" na si wale "trained teachers", ndio mana colleges zikapewa hadhi ya educational colleges na si training colleges....kwanini?

Lengo ni kuwafanya, walimu waliopo leo wa switch kwenda kwenye mtaala mpya, na wakaweza ku cope kwa muda mfupi (zingatia hili, si mwezi wala mwaka, nu muda zaidi) wanaopaswa kutoa hiyo elimu wanapaswa kuwa competent na demands za ulimwengu.

2. Elimu ni biashara, moja kati ya mihimili ya biashara inayotegemewa nchini, je, mtaala mpya utaathiri vipi mfumo wa biashara wa elimu uliopo?


3. Tunataka wahitimu waweje? dunia inataka nini kwa sasa, je tumeainisha kila daraja, kwa sababu mtaala uliopo unataka "responsible citizen" [emoji16] bado umeakisi kutengeneza watumishi wa uma (waajiriwa), tunabadili ili uweje?

4. Uchumi wa Serikali na wananchi wake, unaweza kumudu gharama za mtaala mpya? [emoji4] Kama ndivyo, sawa.


CHANGAMOTO

Leo tu, licha ya rasilimali tulizo nazo, tumeshindwa kununua tuu madawati, na badi maslahi ya walimu yapo nyuma, je kwa ulimwengu wa sayansi na teknolojia, itakuwa rahisi kuwepo shuleni kwa facilities za kumtengeneza mtoto aendane na ulimwengu mpya?
Nashukuru kwa mchango wako ndugu yangu!!!
 
Kwa hapa tulipofikia, nadhani tungeiboresha mitaala ya ufundi stadi katika nyanja mbalimbali! tungeanzisha mitaala ya kilimo bora na cha kisasa, tungeanzisha mitaala ya biashara na ujasiriamali, mitaala katika ubunifu na sanaa ya maigizo kama wenzetu wa Marekani, Uturuki, Korea Kusini, nk!

tungeanzisha mitaala ya michezo na tungejenga academy za kutosha, na zenye mafungamano na nchi/vilabu vikubwa vya soka na michezo mingine duniani!

Kimsingi hii mitaala ya sasa inakera na kuchefua. Maana inazalisha wasomi tegemezi na wasio na manufaa makubwa ya kimaendeleo katika jamii.
Tatizo wazir wa elimu anawaza posho na malupulupu.
 
Mfumo wa elimu ni kama conglomerated system yenye nyanja nyingi sana, suala la kubadilisha si suala la siku moja ama mwezi, ni suala la kuhitaji muda.

Wala msije kuwaza kuwa hawawazi kama ninyi, jaribu kujiweka pale kwenye nafasi ya wafanya maamuzi halafu jiulize wanashindwa wapi. Mtaala una tafsiri kubwa, na lazima kama nchi tujikite katika kuboresha tafsiri zote.

Tunapaswa kujua, ili kurekebisha mtaala, ni lazima

1. walimu waliopo wawe ni "educated teachers" na si wale "trained teachers", ndio mana colleges zikapewa hadhi ya educational colleges na si training colleges....kwanini?

Lengo ni kuwafanya, walimu waliopo leo wa switch kwenda kwenye mtaala mpya, na wakaweza ku cope kwa muda mfupi (zingatia hili, si mwezi wala mwaka, nu muda zaidi) wanaopaswa kutoa hiyo elimu wanapaswa kuwa competent na demands za ulimwengu.

2. Elimu ni biashara, moja kati ya mihimili ya biashara inayotegemewa nchini, je, mtaala mpya utaathiri vipi mfumo wa biashara wa elimu uliopo?


3. Tunataka wahitimu waweje? dunia inataka nini kwa sasa, je tumeainisha kila daraja, kwa sababu mtaala uliopo unataka "responsible citizen"
emoji16.png
bado umeakisi kutengeneza watumishi wa uma (waajiriwa), tunabadili ili uweje?

4. Uchumi wa Serikali na wananchi wake, unaweza kumudu gharama za mtaala mpya?
emoji4.png
Kama ndivyo, sawa.


CHANGAMOTO

Leo tu, licha ya rasilimali tulizo nazo, tumeshindwa kununua tuu madawati, na badi maslahi ya walimu yapo nyuma, je kwa ulimwengu wa sayansi na teknolojia, itakuwa rahisi kuwepo shuleni kwa facilities za kumtengeneza mtoto aendane na ulimwengu mpya?
Nashukuru kwa mchango wako ndugu yangu
 
Naendelea kuona jinsi mtaala mbovu unavosababisha janga la ukosefu wa ajira nchini!

Kila mwaka graduates wanalundikana mtaani tena wakiwa wamekata tamaa kabisa hata huko kunakoitwa kujiajiri wanashindwa kwa kukosa mitaji ikumbukwe bado Wana deni la bodi ya mikopo!!unaweza vuta picha ya hali ya unyonge waliyonayo!!

Chakushanganza bado serikali kupitia wizara ya elimu eti wanakuja na kalenda ya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mtaala huo huo mbovu usiozalisha ajira hapa kwetu yaani uozo unaboreshewa namna uwe uozo bora. Hadi najiuliza hivi watunga sera ya elimu yetu wamelala? Ina Maana hawapo dynamic kuendana na mahitaji ya nyakati za sasa?

Vuta picha kwamfano: kozi za ualimu hapa nchini zinazalisha walimu kibao kila mwaka na hawaajiriwi sasa kwanini kozi hiyo isifutwe zikaletwa kozi nyingine ambazo zinaweza zalisha ajira nchini wahitimu wakajiajiri?

Kwanini muendelee kuzalisha wahitimu wale wale ambao hawana impact yoyote kwa jamii???ikumbukwe wahitimu hao wanakopeshwa fedha ambazo hawarudishi kwakukosa ajira.

Ifike hatua ya kuangalia mazingira na kuleta kozi ambazo zinaendana na jamii yetu na zile ambazo haziajiri zifutwe kwa muda ili kuokoa jahazi la ajira nchini!

Elimu ya sekondari mtaala iliopo ufutwe uletwe wenye tija ambao utaendana na hali ya mazingira yetu ili uzalishe ajira nchini! Kuwekwa mvinyo uleule kwenye chombo kipya haubadili ladha ya mvinyo!

Inasikitisha Sana kwa hali inavoendelea hapa nchini!!
Ubunifu wa mwalimu kwishney!! Kuongozwa by remote!!
 
Back
Top Bottom