Wizara ya Elimu mfungieni Mwalimu huyu. Anaharibu wanafunzi

Wizara ya Elimu mfungieni Mwalimu huyu. Anaharibu wanafunzi

Sasa hapo ukitizama vizuri unaona mwanafunzi aliyenuna hata mmoja? Unajua watoto walikuwa wanafundishwa content gani? unajua shuleni kuna somo la Sanaa? Au Sanaa kwako ni kutengeneza ufagio tu? Unahisi mwalimu huyo kukatika mbele ya watoto huku anatabasamu namna ile Hana akili? Linda na uthamini proffesional za watu
 
Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.

Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.
View attachment 1542909
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.....uwiiii🤣🤣🤣🤣 .leo Nacheka jamani dah🤣🤣🤸🤸🤸...ualimu wa miaka hii jaman dah .nimecheka sana
 
mavideo yenu majumban
mnawaacha watoto wanaona hadi minyanduano.
na hao watt kwa uzembe wenu wazaz wengi wao washalalana tyr,
aidha hata kw kujifunza toka kwa wazaz wenyewe.
Mwl hajafany kosa lolote hapo.
swala la mziki lipo kwenye syllubus
na ni sehem ya somo.
tukumbuke mzik au kucheza kwa sasa ni burudan,
mazoez,
ajira.
ni pesa
mwl kucheza mziki namna hiyo
kaharibu nini kama sio mitazamo yenu mibovu tu.
binafsi nampongeza mwl kwa kujua kucheza vzr,
pia kuwapenda watoto na kuwa krb nao.
watoto watampenda mwl,
watapenda shule,
watafany vzr.
hayo mawazo mengine ya kingono bakini nayo wenyewe,
mwisho mnapenda sana kuwakosoa walimu
wkt mkiachiw kuwafundish watt
n mimba tu mtasambaza.
 
Ngoma na kukatika ni utamaduni wa mtanzania tangu enzi za nyuma. Wakurya na wamasai ndio hawajabobea huko lakini wakijifunga kanga viunoni utakubali
 
alafu uno lenyewe sio la kiume kabisa , huyu ni wa kumtia mitama mirefu kama ya Adam Mchomvu.
 
Wana stress hao...acha wayakate mauno tu hakuna namna [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu mna majungu!

Yaani mpaka kukata viuno imekuwa kosa la kimaadili siku hizi?

Asante Mungu kuna sheria za nidhamu kazini, vinginevyo hawa waswahili wangetumaliza kwa maneno na uzandiki!
Mmh mkuu...kuna jinsi ya ukataji kiuno. Mwanaume unajilegeza kukata kiuno mbele ya watoto haipendezi.
Viuno Kama hivyo vina mahala pake
 
  • Thanks
Reactions: amu
Back
Top Bottom