Wizara ya Elimu mfungieni Mwalimu huyu. Anaharibu wanafunzi

Sa huyo mwalimu anachezaje mziki jamani, na wewe unachezaga hivyo?
 
Kwani hapo hakuna viongozi wanaoweza kumchukulia hatua hadi Wizara ya Elimu???.
 

Kwenye muziki sawa, ndombolo au sebene sawa watanzania hatujui sanaa, hana kosa huyo sisi wote iwe mtakuja au kwa mpalange viuno ndio msingi acheni unafiki, Kama hamjui viuno kwa mwanaume haachwi na demu never kikubwa shoo kali na wazungu wa kutosha, kila mauno msidhani ni Utopolo, stamina ya pumping indicator mojawapo ya wazi ni mauno kwa mwanaume.
 
Uwiiii!! Kuna katoto hadi kamekaa chini kwa kucheka uno la ticha. Lol
 
Hata na mie nimecheka mbaya mana ticha anajua kunyonga bana. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wanawake tukasome.
Jana nilicheka nikakumbuka na Leo ikabidi nije Tena..dah ..kwakweli tukasome..alinichosha zaidi alipogeukia ubaoniπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
 
Jana nilicheka nikakumbuka na Leo ikabidi nije Tena..dah ..kwakweli tukasome..alinichosha zaidi alipogeukia ubaoniπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£
Mi ndo nimeiona saa hii basi imenivunja mbavu kwa kweli. 🀣🀣

Nadhani alipogeukia pale ubaoni kuna kahisia fulani alikapata bana mana kama uno ndo lilizidi kasi vile. πŸ™ˆ Hahahaaaaa. Lol.
 
Mi ndo nimeiona saa hii basi imenivunja mbavu kwa kweli. 🀣🀣

Nadhani alipogeukia pale ubaoni kuna kahisia fulani alikapata bana mana kama uno ndo lilizidi kasi vile. πŸ™ˆ Hahahaaaaa. Lol.


πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†Nadhan asumani aliamka kbs🀭🀭
 
Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.

Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.

Mwalimu wa mziki....au hujui mziki ni somo kama masomo mengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…