Wizara ya Elimu mfungieni Mwalimu huyu. Anaharibu wanafunzi

Mleta mada ni mpuuzi fulan wa kiwango cha sgr na pumbavu anaye waza ngono
Shenzi kabisa
 
Tatizo watu wazima mmehusisha hayo mauno na mambo ya chumbani wakati mwenzenu anafundisha dance... shauri yenu!!!

Hapana sio wote Chief!

Binafsi nimeangalia hao watoto wa kike wanavyofurahi nakawaza wakitoka hapo nao watafanya hivyo hivyo!

Imagine alipogeukia ubaoni sijui hisia zake zikampeleka kashika nini maana nyonga ndio ilizidi kuwa Lainiiii! [emoji2296][emoji2296]
 
🎶mafuta ya taa mafuta ya taa mafuta ya taa
yamemwagika yamemwagika yamemwagika
Mpaka chini mpaka chini mpaka chiini🎶🎶
 
Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.

Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.

Kama lawama labda ziende kwa utandawazi uliopo maana hakuna cha ajabu alichokifanya huyo mwalimu kisichoweza kufanywa na hao watoto wanaomshangilia,kilichowapa burudani ni mtu aliyefanya hicho kitendo ila kuhusu watoto wa kizazi hiki tukiri tu huyo jamaa hana maajabu mbele yao labda ukakasi uwe ni juu yake binafsi na mwenendo wake kimaadili....hivi hatuyashuhudii zaidi ya haya yakifanywa na hawa watoto tena mbele ya kadamnasi aghalabu katika mahafali na wazazi wakiwemo na hufurahia na kutunza pia....swali la kujiuliza hao watoto huutoa wapi uwezo huo mpaka kustaajabia jambo kama hili?
 
Ndomana nasemaga HAYA MA BONGO FLEVA YAMEWAHARIBU WATOTO SAHV KILA MTOTO ANATAKA AWE MONDI, GIGY MONEY, HARMONISE
etc maana ndiyo mambo wanayoyaona na kuyafuatilia muda mwingi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Zamani kukatika ilikuaga dili na sifa ila siku hizi ni upuuzi mtupuuu
 
Kuna video inasambaa mtandaoni ikimuonyesha mwalimu ambae anawafundisha wanafunzi kukatika. Matendo haya sio mazuri kwa malezi ya vizazi vyetu.

Wizara ya elimu mchukulieni Mwalimu huyu hatua stahiki.

Ni mwalimu wa sanaa ila kwa kweli ilibidi nicheke, ile video imenichekesha sijapata ona, wanaume wanapungua kwa kasi sana
 
Unamaanisha kila mtu asiyekuwa mwanafunzi ukimuona mazingira ya shule tu conclusion yako ni mwalimu ??

Ulijuaje ni mwalimu ??
Kumbe ni densa wa WCB?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…