Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,298
- 3,059
Wadau,
Kwa mujibu wa link ya Wizara ya Elimu hapa chini, kuli/kuna kongamano la Elimu linafanyika Dodoma tarehe 12-14 Mei 2023. Nimejaribu kuingia/kushiriki kwa njia ya zoom link waliyoweka kwenye website yao lakini haiko hai.
Hivyo kama kuna mdau aliyeshiriki Kongamano hilo anakaribishwa kutoa mchango na maoni yake huku JF.
www.moe.go.tz
Kwa mujibu wa link ya Wizara ya Elimu hapa chini, kuli/kuna kongamano la Elimu linafanyika Dodoma tarehe 12-14 Mei 2023. Nimejaribu kuingia/kushiriki kwa njia ya zoom link waliyoweka kwenye website yao lakini haiko hai.
Hivyo kama kuna mdau aliyeshiriki Kongamano hilo anakaribishwa kutoa mchango na maoni yake huku JF.
Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia | Ministry of Education, Science and Technology