Wizara ya Elimu, Taasisi ya Elimu. Mapendekezo yenu ya Rasimu ya mabadiliko ya Mitaala bado yana mapungufu mengi

Wizara ya Elimu, Taasisi ya Elimu. Mapendekezo yenu ya Rasimu ya mabadiliko ya Mitaala bado yana mapungufu mengi

Wadau,

Kwa mujibu wa link ya Wizara ya Elimu hapa chini, kuli/kuna kongamano la Elimu linafanyika Dodoma tarehe 12-14 Mei 2023. Nimejaribu kuingia/kushiriki kwa njia ya zoom link waliyoweka kwenye website yao lakini haiko hai.

Hivyo kama kuna mdau aliyeshiriki Kongamano hilo anakaribishwa kutoa mchango na maoni yake huku JF.

 
Back
Top Bottom