Wizara ya Elimu yaja na "Samia Schorlaship" kuinua masomo ya sayansi

Wizara ya Elimu yaja na "Samia Schorlaship" kuinua masomo ya sayansi

Sijui nani scholarship=pesa za walipa kodi.🤷‍♂️
 
Huu ni uhuni mkubwa. Rais ndiye mkuu wa board ya mikopo kwa nchi hii. Board ya mikopo ndo yenye majukumu ya udhamini ya elimu ya juu. Hizi sifa za zingine ni uhuni mtupu.
Sio kila pesa ya ufadhili wa masomo inatoka Bodi ya Mikopo, usikariri, mfano NBC wanatoa Mikopo ya Elimu ya Juu, TASAF wanatoa mikopo, kwanini mpango wa Rais kuinua masomo ya Sayansi ukukere au ndio roho za kutopenda mafanikio ya wengine
 
Profesa anaendekeza sifa za kijinga kama wale wahuni wa uvccm. Badala ya Profesa kuja na mikakati inayoeleweka kwa umma, anaingiza siasa za kijinga za kumtukuza rais. Nchi hii kuna tofauti ndogo sana kati ya aliyesoma na ambaye hajasoma.
Na ukisoma post hii unagundua inawezekana hata baadhi ya waliosoma hawajaelimika, umeacha kujadili hoja ya msingi na role ya scholarship umeshupaza kichwa na kutukuza watu. Duniani kuna George Washington Scholardhip, Mandela Scholarships, why Samia ikuwashe?
 
Mnatenga hela za walipa kodi mnazipa title nzuri as if zinakwenda kweli kusaidia walengwa lakini utekelezaji wake unaishia kusomesha watoto wenu...malengo yanakua zero
Kama mtoto wako amekomaa kusoma HKL na KLF ili awe mwalimu hapo kosa ni la nani
 
Scholarships hizo hazimaanishi watasoma Bongo tu, wanaweza kwenda abroad pia
Chawa Hamnaga akili.

'Kigezo cha atakayepatiwa ufadhili huo ambao wengi wanataka uitwe Samia Scholar ni kufaulu vizuri katika masomo ya sayansi na upo tayari kuendelea na kusoma masomo ya uhandisi,elimu tiba.Kwa sasa tunatoa udhamini huo kwa vyuo vya ndani tu,”amesema Prof.Mkenda'
 
Halafu hao Wanasayansi waende wapi baada ya kumaliza kusoma?
Inategemea na unachosomea ila mambo mengi ya sayansi hayahitaji kuajiriwa, na hata ukitaka ajira si ngumu kupata.

Nchi yetu inapotea hii ukienda chuo course za sayansi unakuta wapo 7 ama 10 darasani ukienda H kunani huko political science ama public relations wapo maelfu wanafundishwa kwenye mi hall mikubwa.

Ndio maana unaona wanafunzi wa science wanapendelewa kwenye mikopo na fursa kama hizi.

Kwa Dunia ya Sasa inapoelekea sayansi ndio Kila kitu, Mimi, wewe, watoto wetu na nchi Kwa ujumla tunatakiwa tuhimizane tusome sayansi kama tunaipenda hii nchi na tunataka mafanikio yake baadae.
 
Inategemea na unachosomea ila mambo mengi ya sayansi hayahitaji kuajiriwa, na hata ukitaka ajira si ngumu kupata.

Nchi yetu inapotea hii ukienda chuo course za sayansi unakuta wapo 7 ama 10 darasani ukienda H kunani huko political science ama public relations wapo maelfu wanafundishwa kwenye mi hall mikubwa.

Ndio maana unaona wanafunzi wa science wanapendelewa kwenye mikopo na fursa kama hizi.

Kwa Dunia ya Sasa inapoelekea sayansi ndio Kila kitu, Mimi, wewe, watoto wetu na nchi Kwa ujumla tunatakiwa tuhimizane tusome sayansi kama tunaipenda hii nchi na tunataka mafanikio yake baadae.
😄😄 Madaktari(MD) wako mtaani wanaendesha bodaboda wengine wako kwny vibanda vya m-pesa,sijui unaongelea sayansi gani hizo
 
😄😄 Madaktari(MD) wako mtaani wanaendesha bodaboda wengine wako kwny vibanda vya m-pesa,sijui unaongelea sayansi gani hizo
Madaktari wengi wameajiriwa Awamu hii, wapo wengi sababu Awamu iliopita ilikuwa haitoi ajira, ila kuendelea mbele wataisha.

Kuna sehemu kibao wanatafuta Madaktari even Leo hii ila watu hawataki kwenda, mfano Huku kwetu Kuna wilaya mpya ya mkinga unakuta hospitali nzima Ina Daktari mmoja TU, ajira zipo hakuna anaetaka kwenda, madaktari wanabembelezwa same Kwa vijiji kibao Nchi hii.
 
Madaktari wengi wameajiriwa Awamu hii, wapo wengi sababu Awamu iliopita ilikuwa haitoi ajira, ila kuendelea mbele wataisha.

Kuna sehemu kibao wanatafuta Madaktari even Leo hii ila watu hawataki kwenda, mfano Huku kwetu Kuna wilaya mpya ya mkinga unakuta hospitali nzima Ina Daktari mmoja TU, ajira zipo hakuna anaetaka kwenda, madaktari wanabembelezwa same Kwa vijiji kibao Nchi hii.
😄😄 We jamaa hivi unajua vyuo vya madaktari vinatoa wahitimu wangapi kwa mwaka?Nikuwekee hapa ajira zilizotolewa na serikali uone Kama hujaenda kuchekea chooni.

Tembelea jukwaa la ajira la hapa hapa JF uone hao ma MD wakitafuta hizo ajira na wako tayari kufanya kazi popote pale.
 
😄😄 We jamaa hivi unajua vyuo vya madaktari vinatoa wahitimu wangapi kwa mwaka?Nikuwekee hapa ajira zilizotolewa na serikali uone Kama hujaenda kuchekea chooni.

Tembelea jukwaa la ajira la hapa hapa JF uone hao ma MD wakitafuta hizo ajira na wako tayari kufanya kazi popote pale.
Mwaga data, usiandikie mate
 
Back
Top Bottom