Masanjaone
JF-Expert Member
- Nov 15, 2019
- 844
- 597
Tatizo xule mkuu! Jaribishia u- Mgonge mimba mwanao hafu ucheck picture.Hakuna tofauti..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo xule mkuu! Jaribishia u- Mgonge mimba mwanao hafu ucheck picture.Hakuna tofauti..
Mambo yanabadilika ndugu, this 21st century... mambo yanabadilika, hatukutegemea Tanzania tutawaliwe na Dikiteita, it has happened. Ngoja na hili la binti zetu libadilike...Katika hili la mabint wajawazito kuendelea na masomo nalipinga kwa nguvu zote maana sasa hii nisawa na kuhalalisha watoto wakike wasihofie momba tena bali wafanye zinaa watakavyo huu ni upuuzi wa hali ya juu kabisa hakuta kuwa na nidhamu ya kiuanzafunzi huko shulen maana hakuna cha kuhofia tena .
I think your problem is the government yielding to 'mabeberu', rest assured they will.Hiyo ya Pili ni kujazia nyama tu lkn HIYO ya kwanza kama LUGHA inapanda huwezi sema serikali imesalim amri ya mabeberu. Sijui lkn kama LUGHA inapanda.
Senti bai yuzingi tecno T301
Hahahahahahah naona unaleta ubishi ambao haupo na sasa unataka tujadili has, have na had. Unaambiwa "URT has systems" kwamba hapa uelewi maana yake nini hadi uanze kuleta story za have na had?RUDI SHULE MKUU, hiyo Barua ya kwanza iko sawa tu na ya Pili ktk Lugha au Maelezo tofauti. Na pili mbona hujaendelea na story zako za CONTINUE?Kama kabarua kadogo tu haka Umeshindwa kuelewa, mikataba utaelewa kweli wewe?Barua haijasema alternative system for dropouts imesema has a system for dropouts/to support dropouts(mwisho)
i) Tuje kwenye matumizi ya neno "has"( present ) sasahivi, sasahivi endelevu, ingelikuwa
ii) Mwandishi wa barua ametumia neno "had"(past participle) basi ungekuwa na justification ya generalization ya hizo system za QT na Ufundi.
iii) Na mwandishi angetumia "have" (past continuous tense ) basi tusingekuwa tunabishana hapa
Kama hadi hapo bado huelewi basi acha nikupuuze na niendelee na shughuli za kujenga taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajipotezea muda mwenyewe kwakutoa jua Kiingilish na kutoelewa mambo.Yaani kwamba Aya ya Mwisho hujui maana yake nini?Na unavyopenda league na serikali umekuja faster kuongopa humu eti serikali imebadili gia angani.I think your problem is the government yielding to 'mabeberu', rest assured they will.
I'm probably wasting my time arguing with a secondary school kid.
nieleweshe wewe mjuajiJibu swali kwanza,umeelewa kilichoandikwa?
Senti bai yuzingi tecno T301
Mna nini nyie waafrika ndiyo maana mnaingizwa kwenye mikataba ya kijinga kama chifu Mangungo wa Msovero."At the right time a subject will be given an opportunity to CONTINUE with her Education.
Sasa kwenda Veta, Qt ni continuation?
Binti anafukuzwa form 2 anaenda kuendelea na elimu yake Veta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu SHIDA ya watu wa humu UJUAJI mwingi sana.Yaani mtu hiyo Barua ya kwanza kashindwa kuielewa kabisa. Na wengi wanaocomment humu wamefuata tafsiri ya jamaa na sio kusoma na kuelewaAcheni ukilaza... Barua namba mbili imeongeza nyama kidogo tu ambayo haibadili chochote kwa barua ya kwanza....
Ni sawa na kusema ' nitakula chakula cha mchana'....
Alafu tena nikaongeza " nitakula chakula cha mchana , wali nyama mchicha,nk."
Hakuna tofauti. Ujumbe mkuu ni kula chakula cha mchana.
Barua zote hizo
Serikali inajitoa lawama kwamba haijawahi weka ulazima wa watoto kupimwa mimba. Na zote zinaeleza kwamba wanafunzi wanaopata mimba upo mfumo wa kuwaendeleza.
Wengi humu nimegundua hamkuwa na Walimu wazuri wa English.. Na Swali la comprehension and summary litakua liliwanyuka sana.
Humu hamna GREAT thinker, kuna wajuaji UCHWARA ambao hawajui kama HAWAJUI KITU.Sasa kama barua ya kwanza tu mtu kashindwa kuielewa, ataweza kusoma mikataba?Mna nini nyie waafrika ndiyo maana mnaingizwa kwenye mikataba ya kijinga kama chifu Mangungo wa Msovero.
Haijawahi kutokea mtoto akakatazwa kuendelea ila issue ataendeleaje kwa njia zilizoelezewa moja wapo ni MEMKWA, QT, Private candidates, Veta na ujasiriamali, ila government privileges ndiyo asahau maishani mwake. labda elimu ya juu.
Kwahili sioni kosa kwa serikali
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaelewa nini hapo kutoka barua ya kwanza?nieleweshe wewe mjuaji
Ya kwanza ilieleweka hasa ukisoma aya ya mwisho. Ila sema VILAZA wengi Tanzania so wakaona waje na simplified zaidi.Nafikiri waliona barua ya kwanza namna taarifa yao ilivyokuwa haijakamilika, wakatoa ya pili kuweka sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachambuzi UCHWARA wa JF.Umeshindwa kuchambua barua ya kwanza, utaweza kutoa maoni ya maana kweli?Me nafikiri waliamua kushuka na kujikazi wenyewe kwa beberu ila kuna karata mpya wameiona na wanataka kuicheza. Muda utasema yote
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya hii ktk Barua ya kwanza ina maana gani?Soma barua yote ndipo uchangie sio kukata kakipande na kuja kushupaza shingo humu.Kwa mara ya mwisho,
Neno "in alternative path" kwenye barua namba mbili ndio limekuja ku redirect hii continuation; mfano mtu anakuja kukuambia uende nyumbani ila kwa njia nyingine tofauti na unayoitumia siku zote "alternative way"
Mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kwanini barua ya pili iliandikwa..?
Na ndio hivyo,Watanzania wangekua vizuri ktk Lugha,barua ya kwanza ilitosha kabisa. Imeletwa ya Pili bado vichwa vizito.Unajua kwanini barua ya pili iliandikwa..?
Poor interpretation ya watanzania ndiyo ilipelekea ije barua ya pili kufanya clarification ila bado hawaelewi jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siko huko, haujanielewa unahitaji juhudi za ziada kunielewa.Hizo siasa tu kijana! Ukipata mimba mpaka unazaa ni mwaka mmoja (yaani miezi 10). Ongeza miaka 2 ya kunyonyesha miaka 3 imeishapotea. Sasa atarudi asome secondary hipi? Hapa ni kwenda veta tu, wala sio secondary zetu! Weeee kalaghabao!
Kiazi kweli wewe, katibu mkuu analazimika kutoa barua ya pili na kuifuta ile ya awali wewe unasema ziko sawa, watanzania mnashida vichwani.