Mtu analipwa FAO then anapigwa tozo huu in unyang'anyi usiovumilika katika jamii inayopitia katika mfumuko wa bei kila uchao.
Ila Mungu ni mwema atatuvusha tuliokosa wa kutuvusha zaidi kuongezewa mzigo usiokuwa na ulazima kwani kwani tunaviongozi waliozoea kuchuma kilichoiva tu kwenda kukata mbuga kwao ni mwiko.
Jitafakarini sana wanaccm wenzangu tukumbuke tunayoyapitia sio mazuri kwa nyakati zisizopenda blabla za kiuongozi