Tetesi: Wizara ya fedha na mipango haijitoshelezi.

Tetesi: Wizara ya fedha na mipango haijitoshelezi.

init

Senior Member
Joined
Mar 22, 2021
Posts
115
Reaction score
109
Yaliyo fanyika hivi karibuni;
1. Kuanzishwa kwa tozo katika miamala ya simu za mkononi.
2. Kuanzishwa kwa government levy katika miamala ya kibenki.
Yangeli tosha kabisa kumtathmini Mh Mwiguru ikiwa anamudu, kwani ameonekana kuishi katika machaguo duni siku zote.

Miongoni mwa mafanikio yaliyo fikiwa na serikali ni kuanzisha mfumo wa GePG , “Government e-Payment Gateway System”. Huu ni Mfumo wa kielektroniki unaowezesha ukusanyaji wa fedha za umma kielektroniki Serikalini. Mfumo huu umechagizwa kwa kiasi kikubwa na maendeleo ya miundombinu ya kifedha ya kidijitali. Na mafanikio yake katika mapato yameonekana.

Kukosa mipango ya muda mrefu katika ukusanyaji wa mapato na vyanzo vyake ni matokeo ya tamaa ya pesa ya haraka haraka ambayo matokeo yake ni kuwaumiza watafutaji, wawekezaji, wafanyabiashara na watumishi wa umma.

"I'm in a view that we are approaching a tremendous disrupt of digital economy; where cash payments will be a demand to almost everyone. "
 
Mwigulu sera zake ni kumnyonya Mwananchi wa chini. Inshort maskini ataendelea kuwa masikini na Tajiri kuwa Tajiri sana. Walishawaona Watanzania wajinga na ni wajinga kweli kweli. Hivi watanzania wangegomea hizi kodi kwa maandamano makubwa kabisa. Nakuambia hizi tozo zisingekuwepo.
 
Mwigulu sera zake ni kumnyonya Mwananchi wa chini. Inshort maskini ataendelea kuwa masikini na Tajiri kuwa Tajiri sana. Walishawaona Watanzania wajinga na ni wajinga kweli kweli. Hivi watanzania wangegomea hizi kodi kwa maandamano makubwa kabisa. Nakuambia hizi tozo zisingekuwepo.
Absolutely on point !! And the Vicious Cycle will go on & on.......... till they come to their senses !!
 
Mwigulu sera zake ni kumnyonya Mwananchi wa chini. Inshort maskini ataendelea kuwa masikini na Tajiri kuwa Tajiri sana. Walishawaona Watanzania wajinga na ni wajinga kweli kweli. Hivi watanzania wangegomea hizi kodi kwa maandamano makubwa kabisa. Nakuambia hizi tozo zisingekuwepo.
some years ago i came to realise that most of loyal tax payers are public servants and mid-economy citizens. So all bullshits concern them. It's just normal that wealth and rich people will try in one or other way to escape these, and It's common.
 
Inawezekana huko serikalini ndio wamepata namna ya kufidia zile nakisi za bajeti zinazojitokeza kila mara huko wizarani.

Hizi tozo mwanzo walikuwa wanatuambia mapato ni ngapi na matumizi yake yatakwenda wapi, siku hizi kimya, japo wanazidi kuzikusanya tu, sijui wana mipango gani ya siri hawa watu.
 
Inawezekana huko serikalini ndio wamepata namna ya kufidia zile nakisi za bajeti zinazojitokeza kila mara huko wizarani.

Hizi tozo mwanzo walikuwa wanatuambia mapato ni ngapi na matumizi yake yatakwenda wapi, siku hizi kimya, japo wanazidi kuzikusanya tu, sijui wana mipango gani ya siri hawa watu.
This happens when your propositions were high than what you are about to deliver. 😂
 
This happens when your propositions were high than what you are about to deliver. [emoji23]
Hizi pesa wanazokusanya ni nyingi, siamini kama hazitoshelezi mahitaji wanayozipangia, mimi naona kuna ujanja ujanja tu hapa, hasa nikiona muhusika mkuu sasa anamiliki timu ya mpira wa miguu ligi kuu, japo akiulizwa anakataa anasema yeye ni "mdau" tu.
 
Mwigulu sera zake ni kumnyonya Mwananchi wa chini. Inshort maskini ataendelea kuwa masikini na Tajiri kuwa Tajiri sana. Walishawaona Watanzania wajinga na ni wajinga kweli kweli. Hivi watanzania wangegomea hizi kodi kwa maandamano makubwa kabisa. Nakuambia hizi tozo zisingekuwepo.
Akiwanyonya anazioeleka Burundi au?
 
Huyu Mwigulu mtu wa kumlaumu hapa ni Mpango aliyemkaimisha hiyo wizara wakati Mpango anaumwa, Mpango alijua kuwa kwa wizi waliofanya na Jiwe pale aweke mtu mwenye roho mbaya kama Mwigulu Ili watz wakihoji ahakikishe tunawekwa kwenye viroba na kusema hivi viroba vya Ethiopia,Mwigulu Hana kitu kichwani kutatua kero za wananchi, Huyu mama nae ushamba unamsumbua
 
Back
Top Bottom