Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, haijui ROMA alipo

Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, haijui ROMA alipo

Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
utakua umetumwa na bashite ww
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...

Mwenyewe unajiona Bonge la mjanja,,,,we mama yako ashawai kujiteka hata siku moja,,,,ivi angekuwa ndio ndugu yako ungeongea uho utumbo,,,;;?
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
unaadika huku ukiwa umekalia kitu chenye ncha.
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...

Barbarosa;
Hivi una moyo kweli au ni weye unahusika nakupotea kwa hawa watu?? Jama kuwachukia hao wa moshi kihivyosi ubinadamu. Naona una ile roho ya kuleee kwa Kagame kabisa. Hao wa moshi walikufanya nini?? Ulikuwa wa kwanza kusema kuwa saa nane alijiteka nyara, sasa hujamleta. Haya huyu Roma naye kajiteka. Weye ni mganga wa kienyeji? Si utufumbulie basi alipo tumkamate tumchape hadi ajieleze kilichomfanya ajiteke nyara??
Jamani, penye uhai wa mtu, tuache ujuha. Si mapenzi yangu ila, nimeshtuka sana na maneno yako.
 
Ujumbe uwafikie wahusika!

Huku kwetu Muheza hatukubali dhuluma kwa namna yoyote.

Kijana wetu apatikane akiwa hai na kam kuna dhuluma yoyote itakayotendeka kwake waliohusika wajiandae wao na familia zao kulipa dhuluma hiyo.

Chezea hangine
 
Mwenyewe unajiona Bonge la mjanja,,,,we mama yako ashawai kujiteka hata siku moja,,,,ivi angekuwa ndio ndugu yako ungeongea uho utumbo,,,;;?


Sina ndugu mjinga chadema mimi!
 
now ROMA mmmmmh! who iz nexT.........
braza KALA naikumbuka collabo ynu [HASHTAG]#WAAMBIENI[/HASHTAG]
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
Eeeh!! Mkuu viroba vimepigwa marufuku utafungwa wewe pamoja na mwenzi wako
 
bashite na tale wanajua walipo mficha Ili wamtoe muda muafaka kutafuta kiki
duh vijana wa mujini kazi kubwa ni kutafuta kiki. ndio maana fahamu zimewatoka kitu uzalendo wala maadili ni ziro. kwa hiyo huyo mroma na wenzake kupotea huenda ni dili la mkuu wa mkoa kupata kiki kwa kumuibua...makubwa
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
Wacha kuedeshwa na Siasa kila wakati utaonekana mjinga ili hali naamini hata kama wewe ni mjinga ila si kwa kiwango hichi...
 
duh vijana wa mujini kazi kubwa ni kutafuta kiki. ndio maana fahamu zimewatoka kitu uzalendo wala maadili ni ziro. kwa hiyo huyo mroma na wenzake kupotea huenda ni dili la mkuu wa mkoa kupata kiki kwa kumuibua...makubwa

Yangu macho
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
Una nyege wewe.... Njoo tukutifue zitapungua
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
Jamii Forum was supposed to be home of great thinkers not utter stupidity. I pity you.
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...
We dada ubashite umekujaa kichwani
 
vyombo vyote vya ulinzi na usalama vcjue kweli,tena ndan ya darisalama? Mungu saidia hii hali isitamalaki ktk nchi yenye nadharia ya kauli ya amani na Uhuru! je watu wa kawaida itakuwaje kama akina yahe?
 
Mwakyembe kama nguli wa sheria nadhani umefika wakati sasa aangalie tasnia ya muziki ,filamu na sanaa kwa ujumla kama ni source of national income kupitia kodi na royalties.

Tunaona Hata South Africa msanii anaibuka miaka 4 anakuwa milionea eg Babes Wodumo huyu binti sasa hivi hakuna wa kumkamata ameanza mziki almost 4 yrs lakini Jay dee wetu ana album 7 bado ana unga unga mwana sababu ya mifumo
Malipo ya wasanii hayaeleweki hasa kwenye kazi zao, caller tunes, brand representation, adverts kote kuna kodi huko.
 
Back
Top Bottom