MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 28,064
- 31,401
Du!!Natamani hao waliomteka wamwachie tuwape harmorapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du!!Natamani hao waliomteka wamwachie tuwape harmorapa
mkuu bashite kahusikaje sasa wakat wizara na polisi washatoa tamko lao kuwa hawajui alipo?bashite na tale wanajua walipo mficha Ili wamtoe muda muafaka kutafuta kiki
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...