Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, haijui ROMA alipo

Wizara ya Habari, Utamaduni, sanaa na Michezo, haijui ROMA alipo

Na wale wanaowatangazaga itv kuhusu kupotea kwao,ndo ingekuwa na serikali wanawafutilia ivi ingekuwa raha sana kwani sie wote ni watanzania
 
Jamaa wanajitahidi kweli kutengeneza story. Hii nchi hii ... Mpaka 2020 tutakuwa na vi-wonder vya kutosha tu.
 
Kuhusu huku kutafuta kiki kwa kujipoteza/kujiteka kwa huyu anayejiita Roma Mkatoliki, Serikali isijihusishe wala isihangaike na hawa takataka, mkianza (Serikali) kucheza ngoma zao, swali la kujiuliza ni kipi kinafwatia?
Hivyo wapotezeeni hawa watu wa chadema wameshashindwa kila mahali, Uchaguzi wameshindwa, Bungeni hawana lao kwa maana wako 30 tu, na Uchaguzi mdogo wa Serikali za Mitaa wamekataliwa na Watanzania hata huko kwao Moshi Wachaga wamewakataa pia, wamepata Kata moja tu kati ya Kata 20, ...

We ni mk..u sana... Ungekua karibu yangu ungechezea vitasa.bashite wahedi ww
 
kuna wakati huwa ninamkumbuka waziri mkuu mstaafu mh.SUMAYE kwa haya yanayotokea mara tv imevamiwa mara flani haonekani ila kama kunakukutana huko ahela tutaoneana aibu
 
uli upate dhahabu ni lazima uichome kwa moto mkali, nafikiri kwa hili wanampaisha Roma Mkatoliki.
 
Jamani msimlaumu Bashite na Director wake kabila lao ndivyo walivyo wakishapata pesa, elimu au cheo wakawazidi wengine wanajiona mungu watu ninachowaomba siku nyingine msifanye makosa.
 
Back
Top Bottom