Wizara ya katiba na sheria imejizindulia utaratibu wa kula pesa za walipa kodi kwa kampeni ya elimu ya katiba mpya 2024/2026; waanza kuandaa mikutano

Wizara ya katiba na sheria imejizindulia utaratibu wa kula pesa za walipa kodi kwa kampeni ya elimu ya katiba mpya 2024/2026; waanza kuandaa mikutano

Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
kiufupi wameamua kutumia gharama kuchelewesha upatikanaji wa katiba, pesa ilishatumika sana sana enzi za JK, sasa wanarudia nini, kumbukumbuku zipo, sema hii nchi kila mtu akipata nafasi lazima apige na asepe, ndio kinachofanyika,

changa la macho hakuna katiba, wala nini? Wananchi mtasubiri sana
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Chawa mzee
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Aah Paskali, tuijue katiba, katiba ipi wakati ile ya midabwada CCM hawaitumii na hawataki nchi iendeshwe kikatiba! Tanzania mpaka sasa hatujui kama ni nchi inayofuata mfumo wa vyama vingi au kimoja kwani katiba ya sasa ni atakavyoamka mwenyekiti wa CCM ambaye ni Head Prefect wa wenyeviti wa vyama vingine.
"VIONGOZI MKIJIINGIZA KWENYE KUFANYA BIASHARA, MTAWASAHAU WANANCHI", J. K. Nyerere.
Eee Mungu tusaidie.
 
Katiba si kila kitu, katiba haimlazimishi mtu kuijua na kuifuata, "atakuja rais ambaye atatawala bila kufuata katiba" J. M. Kikwete, hili lilitokea baada ya JK.
Tulishuhudia viongozi wakijipa kinga ya kutoshitakiwa kinyume na katiba, kwa kifupi katiba ipo kwenye kitabu na haifuatwi nchi inakwenda kwa utashi wa CCM( Tanzania ina wenyewe na wenyewe ni CCM).
 
Hii nchi kila kitu ni drama; waziri wa katiba na sheria na watumishi wa ofisi yake tayari wameandaa kinachoitwa kampeni ya elimu ya katiba mpya na bajeti yake inalengwa kwa mwaka wa kwanza kutumia si chini ya bilioni tisa.

Watumishi wote wa ofisi yake wameshajiwekea ratiba hakuzunguka nchi nzima kwa miaka miwili kama siyo mitatu. Malipo waliyojiwekea ni kila mtumishi kulipwa 220,000 kila siku kwa kipindi chote cha kampeni

Makundi mbalimbali wataitwa kujustfy elimu hiyo vikiwemo vyama vya siasa na taasisi za kiraia.

Swali langu ; haya mambo yanajadiliwaga wapi na kupitishwa? Hii mikakati ya kutumia fedha za umma kipindi hiki ambacho kuna mdororo wa kiuchumi inawekwa na nani? Kwanini hatuoni kwamba wapo watanzania wasiopata japo mlo mmoja kwa siku?

Hizi kampeni wamexipa miaka mitatu kwa kuanzia katiba gani kampeni inafanyika miaka mitatu? Wanaotoa elimu ni wanasheria na watumishi wa umma ambao hata katiba iliyopo hawana uelewa nayo......

Tunakwenda wapi watanzania? Kwanini tusirudi mezani kujadiliana haya mambo na kuja na uelewa wa pamoja badala ya watumishi wa umma kujimegea fedha za umma ; let assume viongozi wote wa wizara na watumishi wanajilipa kwenda kwenye kampeni kazi ofisini anafanya nani?
Haya ni matumizi mabaya ya fedha za umma na ujinga, kikosi kazi kilifanya kazi gani?
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Tanzania tulilaaniwa kabla ya kuumbwa
 
Hili ni jambo jema sana, tena mimi na kampuni yangu ya PPR, tutajitolea kuwasaidia kuandaa vipindi vya redio, TV na makala za magazetini kama kwenye gazeti la Nipashe la Leo, Watanzania waijue katiba.

Ila mimi na timu yangu hatutahitaji kulipwa posho zozote.

P
Paskal hili hapana ni matumizi mabaya ya muda miaka mitatu ni mingi sana, kuna social media zinafikia watu wengi sana na kama sensa imesema nusu ya watanzania ni vijana na watoto sasa miaka mitatu ya nini nyie watu, mmeshakaa miaka zaidi ya 60 mmeshindwa kufundisha katiba hiyo miaka 3 ndio mtaongeza nini.
Tunataka kujifunza katiba mpya ya zamani hata tukijua haina tija. yapo yale ya msingi na yakawaida kila mtu anajua. kama kuiba, kuua, kubaka mbona yanaeleweka.
Nyie wazee kama hamtaki kusikia itabidi mpinduliwe tu
 
Paskal hili hapana ni matumizi mabaya ya muda miaka mitatu ni mingi sana, kuna social media zinafikia watu wengi sana na kama sensa imesema nusu ya watanzania ni vijana na watoto sasa miaka mitatu ya nini nyie watu, mmeshakaa miaka zaidi ya 60 mmeshindwa kufundisha katiba hiyo miaka 3 ndio mtaongeza nini.
Tunataka kujifunza katiba mpya ya zamani hata tukijua haina tija. yapo yale ya msingi na yakawaida kila mtu anajua. kama kuiba, kuua, kubaka mbona yanaeleweka.
Nyie wazee kama hamtaki kusikia itabidi mpinduliwe tu
Kwanza ni mawazo ya kipumbavu sn kutoea elimu kwa miaka 3, kwanini isiwe kwa miezi 2? kikosi kazi kilifanya kazi gani miezi 6 yote?
 
Aah Paskali, tuijue katiba, katiba ipi wakati ile ya midabwada CCM hawaitumii na hawataki nchi iendeshwe kikatiba! Tanzania mpaka sasa hatujui kama ni nchi inayofuata mfumo wa vyama vingi au kimoja kwani katiba ya sasa ni atakavyoamka mwenyekiti wa CCM ambaye ni Head Prefect wa wenyeviti wa vyama vingine.
"VIONGOZI MKIJIINGIZA KWENYE KUFANYA BIASHARA, MTAWASAHAU WANANCHI", J. K. Nyerere.
Eee Mungu tusaidie.
Tunaendeshwa kwa matakwa ya Rais na siyo kwa katiba ya sheria
 
Watanzania hadi leo sijui nini mnataka maana ni kitambo kirefu mmekuwa mkipiga kelele kuhusu Kariba mpya na mama akaridhia Kwa kutoa go ahead!. Leo vikao na mipango kuhusu upatikanaji wa Katiba mpya vimeanza mmerudi tena kupiga kelele kwamba ni ufujaji wa pesa. Tuwaeleweje sasa
 
Back
Top Bottom