Wizara ya Kilimo ndio wizara mbovu kuliko zote awamu hii ya sita, ni bora ifutwe tu!

Wizara ya Kilimo ndio wizara mbovu kuliko zote awamu hii ya sita, ni bora ifutwe tu!

Mtondoli

Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
70
Reaction score
174
Hii wizara ipo Kama haipo. Tunaelekea January Bei ya mbolea nikama tunanunua dhahabu, haijawahi tokea tangia uhuru.naona wanakula kiyoyozi tu hapo wizarani. Nimepita sumbawanga vijijini watu wanauziwa mbolea 150000"watu wameamua kuachana na kilimo Cha mahindi wanalima maharage kwa sababu hawawezi Tena kumudu Bei ya pembejeo.

Kama kweli wizara hii ipo Basi ni mbovu Sana na ninahisi waziri hajawahi kuwa mkulima.

Sijui kama huwa anafanya ziara kwenye mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma, wakulima wanalazimika kukopa mbolea mfuko mmoja ni gunia kumba baada ya mavuno. Eti waziri yupo, serikali ipo na bajeti ya wizara ya kilimo imetengwa ipo.

Hii wizara imekuwa mbovu kuliko zote waifute tu isiwepo maana haina umuhimu wowote kwa mkulima🕺
 
Hii wizara ipo Kama haipo. Tunaelekea January Bei ya mbolea nikama tunanunua dhahabu, haijawahi tokea tangia uhuru.naona wanakula kiyoyozi tu hapo wizarani. Nimepita sumbawanga vijijini watu wanauziwa mbolea 150000"watu wameamua kuachana na kilimo Cha mahindi wanalima maharage kwa sababu hawawezi Tena kumudu Bei ya pembejeo.

Kama kweli wizara hii ipo Basi ni mbovu Sana na ninahisi waziri hajawahi kuwa mkulima.

Sijui kama huwa anafanya ziara kwenye mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma, wakulima wanalazimika kukopa mbolea mfuko mmoja ni gunia kumba baada ya mavuno. Eti waziri yupo, serikali ipo na bajeti ya wizara ya kilimo imetengwa ipo.

Hii wizara imekuwa mbovu kuliko zote waifute tu isiwepo maana haina umuhimu wowote kwa mkulima[emoji1739]
Tatizo iliyopo kwa sasa .. ni kupiga michongo tuu.. .kila mmoja hana-promote kwa kuangalia maslahi yake binafsi....
Juzi nilikuwa namfuatilia bashe yupo kisiasa zaidi kuliko ki- mkakati wa kiuchumi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ifutwe tutakula mawe au..? Bora tu iachwe tutakula hata michembe.
 
Hii wizara ipo Kama haipo. Tunaelekea January Bei ya mbolea nikama tunanunua dhahabu, haijawahi tokea tangia uhuru.naona wanakula kiyoyozi tu hapo wizarani. Nimepita sumbawanga vijijini watu wanauziwa mbolea 150000"watu wameamua kuachana na kilimo Cha mahindi wanalima maharage kwa sababu hawawezi Tena kumudu Bei ya pembejeo.

Kama kweli wizara hii ipo Basi ni mbovu Sana na ninahisi waziri hajawahi kuwa mkulima.

Sijui kama huwa anafanya ziara kwenye mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma, wakulima wanalazimika kukopa mbolea mfuko mmoja ni gunia kumba baada ya mavuno. Eti waziri yupo, serikali ipo na bajeti ya wizara ya kilimo imetengwa ipo.

Hii wizara imekuwa mbovu kuliko zote waifute tu isiwepo maana haina umuhimu wowote kwa mkulima🕺
Serikali haiwezi kuweka ruzuku kwenye mbolea kwa sababu ndio Hali ilivyo huko Duniani,inachukua hatua za kuhakikisha viwanda vya mbolea vinavyo endelea kujengwa Dom na Mtwara vinakamilika Ili msimu ujao kuwe na nafuu ya bei.

Huko Duniani wakulima wenzenu wanajiongeza kivingone.Huu ukweli hapa chini umesababisha na wizara ya Kilimo? 👇

Screenshot_20211221-152115.png


Screenshot_20211217-232058.png
 
Hii wizara ipo Kama haipo. Tunaelekea January Bei ya mbolea nikama tunanunua dhahabu, haijawahi tokea tangia uhuru.naona wanakula kiyoyozi tu hapo wizarani. Nimepita sumbawanga vijijini watu wanauziwa mbolea 150000"watu wameamua kuachana na kilimo Cha mahindi wanalima maharage kwa sababu hawawezi Tena kumudu Bei ya pembejeo.

Kama kweli wizara hii ipo Basi ni mbovu Sana na ninahisi waziri hajawahi kuwa mkulima.

Sijui kama huwa anafanya ziara kwenye mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma, wakulima wanalazimika kukopa mbolea mfuko mmoja ni gunia kumba baada ya mavuno. Eti waziri yupo, serikali ipo na bajeti ya wizara ya kilimo imetengwa ipo.

Hii wizara imekuwa mbovu kuliko zote waifute tu isiwepo maana haina umuhimu wowote kwa mkulima🕺
Awamu ya tano ndiyo iliyoifikisha bei mbolea ktk hali hiyo, walileta mfumo hodhi wa fertilizer bulk procurement, sasa mfumo umegeuka kirusi zaidi ya Omicron mnaanza kulialia. Ndo maana Wizara iko kimyaa Na Serikali iko kimyaa pia. Wanajua chanzo cha tatizo. Vumilia msimu uishe tuanzie upya.
 
Awamu ya tano ndiyo iliyoifikisha bei mbolea ktk hali hiyo, walileta mfumo hodhi wa fertilizer bulk procurement, sasa mfumo umegeuka kirusi zaidi ya Omicron mnaanza kulialia. Ndo maana Wizara iko kimyaa Na Serikali iko kimyaa pia. Wanajua chanzo cha tatizo. Vumilia msimu uishe tuanzie upya.
Tunapovumilia tutatumia mapumbu kupandia mazao
 
Hii wizara ipo Kama haipo. Tunaelekea January Bei ya mbolea nikama tunanunua dhahabu, haijawahi tokea tangia uhuru.naona wanakula kiyoyozi tu hapo wizarani. Nimepita sumbawanga vijijini watu wanauziwa mbolea 150000"watu wameamua kuachana na kilimo Cha mahindi wanalima maharage kwa sababu hawawezi Tena kumudu Bei ya pembejeo.

Kama kweli wizara hii ipo Basi ni mbovu Sana na ninahisi waziri hajawahi kuwa mkulima.

Sijui kama huwa anafanya ziara kwenye mikoa ya kimkakati kama Rukwa, Katavi, Mbeya na Ruvuma, wakulima wanalazimika kukopa mbolea mfuko mmoja ni gunia kumba baada ya mavuno. Eti waziri yupo, serikali ipo na bajeti ya wizara ya kilimo imetengwa ipo.

Hii wizara imekuwa mbovu kuliko zote waifute tu isiwepo maana haina umuhimu wowote kwa mkulima🕺
Kwa mtazamo wangu naona maji na nishati ndiyo wabovu
 
Back
Top Bottom