Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

Wizara ya Madini imesema inafuatilia jiwe la bilioni 240 linalopigwa mnada Dubai, yasema ilipata taarifa mtandaoni

Hapa ndio naona ni Kwa nini Nyerere alitenganisha biashara na utumishi Kwa sababu ya mambo kama haya, hili jambo lazima linahusu wakubwa na wanajua sema tu wanakwepa kusema ukweli wacha majizi yatumalize mpaka siku mtanzania halisi atakapozaliwa maana Hawa waliopo ni kama nyumbu tu
 
Wizara wala serikali haina kumbukumbu zake/madini yanayotoka Tanzania Wasijiaibishe kiasi hiki.
 
Hapa ndio naona ni Kwa nini Nyerere alitenganisha biashara na utumishi Kwa sababu ya mambo kama haya hili jambo lazma linahusu wakubwa na wanajua sema tu wanakwepa kusema ukweli wacha majizi yatumalize mpaka siku mtanzania halisi atakapozaliwa maana Hawa waliopo ni kama nyumbu tu
Majangili yote yapo kwenye system
 
Angekuwepo wa jina lake hilo jiwe wangelitaga wezi na washirika wao alikuaga hana vita ndogo
 
... tulipata taarifa "kupitia mitandao ya kijamii". Mbona yule mwehu alitamani ifungiwe?
Kumbe alikuta unaoga akabeba nguo zako!, ulipomkimbiza akupatie nguo zako ukaonekana mwehu ni wewe mwenyewe!
Jiulize ni kwanini kila kona ni kicheko cha furaha eti diplomasia imefunguliwa??!

Tafakari sasa!
 
Leo wa mbunge Mkinga, Dastan Kitandula ameuliza kuhusu jiwe la Tanzania linalipigwa Dubai Uarabuni. Naibu waziri wa madini amesema nao waliona mtandaoni na wanafatilia.

=====

Dansatan Kitandula: Mheshimiwa spika, jiwe la ruby lenye uzito wa kilo 2.8 lipo kwenye maonesho kwasasa Dubai na jiwe hili linasadikika linatoka Tanzania na kwamba siku chache zijazo kutakuwa na mnada wa kuuza jiwe hili. Je kama nchi tunanufaika vipi na mnada huo?

Naibu waziri wa Madini: Ni kweli mnamo tarehe 13 April mwaka huu wizara ya madini ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwamba kuna jiwe la madini ya ruby lenye uzito wa kilo 2.8 na ambalo linadaiwa kuwa na thamani ya dola milioni 120 sawa na zaidi ya bilioni 240 ambalo limepewa jina la bald al hamal na ambalo linakwenda kuwekwa mnadani ndani ya siku 30 baada ya mfungo na jiwe hilo kudaiwa limetoka Tanzania.

Mara baada ya kupata habari hizi, wizara ya Maliasili imechukua hatua za haraka kutafuta kama habari ni za kweli na kama jiwe hili limetoka Tanzania na kwasababu jiwe hili limeshavuka mipaka lipo kwenye nchi nyingine.

Taarifa hizi sasa ambazo tunazikusanya zinahusisha nchi za Dubai na tayari tunafanya mawasiliano na ubalozi wetu kufuatilia ukweli, pia tumebaini mmiliki wa sasa wa jiwe hilo yuko nchini Marekani na mawasiliano naye tumeshafanya tangu jana.

Tutapopata nyaraka za usafirishaji kama kweli limetoka Tanzania, thamani na asili, nyaraka za mauzo tutaleta taarifa bungeni na kama ni la kwetu niwahakikishie watanzania haki yao haitapotea.

Pia, soma=> Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje

=> Mali yetu inauzwa mnada wa Dubai Madini ya Ruby

View attachment 2195200
Mbona Mh. kaitaja wizara ya maliasili tena na nchi ya Dubai 🤣 tupo serious kweli
 
shamba la Bibi Tanzania Tiss wametingwa na kuilinda ccm badala ya territory and it's property
 
Leo wa mbunge Mkinga, Dastan Kitandula ameuliza kuhusu jiwe la Tanzania linalipigwa Dubai Uarabuni. Naibu waziri wa madini amesema nao waliona mtandaoni na wanafatilia.

=====

Dansatan Kitandula: Mheshimiwa spika, jiwe la ruby lenye uzito wa kilo 2.8 lipo kwenye maonesho kwasasa Dubai na jiwe hili linasadikika linatoka Tanzania na kwamba siku chache zijazo kutakuwa na mnada wa kuuza jiwe hili. Je kama nchi tunanufaika vipi na mnada huo?

Naibu waziri wa Madini: Ni kweli mnamo tarehe 13 April mwaka huu wizara ya madini ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwamba kuna jiwe la madini ya ruby lenye uzito wa kilo 2.8 na ambalo linadaiwa kuwa na thamani ya dola milioni 120 sawa na zaidi ya bilioni 240 ambalo limepewa jina la bald al hamal na ambalo linakwenda kuwekwa mnadani ndani ya siku 30 baada ya mfungo na jiwe hilo kudaiwa limetoka Tanzania.

Mara baada ya kupata habari hizi, wizara ya Maliasili imechukua hatua za haraka kutafuta kama habari ni za kweli na kama jiwe hili limetoka Tanzania na kwasababu jiwe hili limeshavuka mipaka lipo kwenye nchi nyingine.

Taarifa hizi sasa ambazo tunazikusanya zinahusisha nchi za Dubai na tayari tunafanya mawasiliano na ubalozi wetu kufuatilia ukweli, pia tumebaini mmiliki wa sasa wa jiwe hilo yuko nchini Marekani na mawasiliano naye tumeshafanya tangu jana.

Tutapopata nyaraka za usafirishaji kama kweli limetoka Tanzania, thamani na asili, nyaraka za mauzo tutaleta taarifa bungeni na kama ni la kwetu niwahakikishie watanzania haki yao haitapotea.

Pia, soma=> Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje

=> Mali yetu inauzwa mnada wa Dubai Madini ya Ruby

View attachment 2195200
Upuuzi gani huu. Jiwe limetoka kinyemela tumejua likiwa sokoni nchi nyingine. Hapo utaweza kupata kitu? Na wakisema walikosea tu halijatoka kwetu mtaweza kufanya nini.
 
Upuuzi gani huu. Jiwe limetoka kinyemela tumejua likiwa sokoni nchi nyingine. Hapo utaweza kupata kitu? Na wakisema walikosea tu halijatoka kwetu mtaweza kufanya nini.

Washirikishe FBI au Scotland yard bila shaka wamikiki kinyemela watakubali kukaa mezani yaishe.
 
Tunanganga na jiwe la bilion 240 wakati kuna migodi himo humu ndani tena mikubwa haitupi mapato sahihi kulingana na uzalishaji wao
 
Najaribu kuunga dot dot kama zitakuja ya kua, au jiwe lilienda kipindi kile yule waziri X alivyoenda Dubai kikazi kusaini sijui mikataba ya nini?mara baada ya kuteuliwa ktk wizara ya Nishati na Madini (Ruby nalo si madini)
 
Utakuta hilo jiwe limeuzwa na mchimbaji sh laki 3 aliyenunua nae kaenda muuzia mthailand milioni 6, mthailand nae kaenda uza Dubai bilioni moja.
 
Hilo jiwe mbona dogo yapo mengi makubwa zaidi ya hayo. Sema wachimbaji wana siri kubwa Sana juu ya madini wayapatayo.
 
Leo wa mbunge Mkinga, Dastan Kitandula ameuliza kuhusu jiwe la Tanzania linalipigwa Dubai Uarabuni. Naibu waziri wa madini amesema nao waliona mtandaoni na wanafatilia.

=====

Dansatan Kitandula: Mheshimiwa spika, jiwe la ruby lenye uzito wa kilo 2.8 lipo kwenye maonesho kwasasa Dubai na jiwe hili linasadikika linatoka Tanzania na kwamba siku chache zijazo kutakuwa na mnada wa kuuza jiwe hili. Je kama nchi tunanufaika vipi na mnada huo?

Naibu waziri wa Madini: Ni kweli mnamo tarehe 13 April mwaka huu wizara ya madini ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii kwamba kuna jiwe la madini ya ruby lenye uzito wa kilo 2.8 na ambalo linadaiwa kuwa na thamani ya dola milioni 120 sawa na zaidi ya bilioni 240 ambalo limepewa jina la bald al hamal na ambalo linakwenda kuwekwa mnadani ndani ya siku 30 baada ya mfungo na jiwe hilo kudaiwa limetoka Tanzania.

Mara baada ya kupata habari hizi, wizara ya Maliasili imechukua hatua za haraka kutafuta kama habari ni za kweli na kama jiwe hili limetoka Tanzania na kwasababu jiwe hili limeshavuka mipaka lipo kwenye nchi nyingine.

Taarifa hizi sasa ambazo tunazikusanya zinahusisha nchi za Dubai na tayari tunafanya mawasiliano na ubalozi wetu kufuatilia ukweli, pia tumebaini mmiliki wa sasa wa jiwe hilo yuko nchini Marekani na mawasiliano naye tumeshafanya tangu jana.

Tutapopata nyaraka za usafirishaji kama kweli limetoka Tanzania, thamani na asili, nyaraka za mauzo tutaleta taarifa bungeni na kama ni la kwetu niwahakikishie watanzania haki yao haitapotea.

Pia, soma=> Ruby yenye thamani ya bil 276 ilisafirishwa kimagendo huko Dubai? Serikali haina taarifa ilifikaje

=> Mali yetu inauzwa mnada wa Dubai Madini ya Ruby

View attachment 2195200
Mpka linafika dubai na sasa lilipita wapi mamlaka husika zilikuwa wapiiiiiiii hadi wapate taaarifa mtandaonii🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom