Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

Wizara ya Maendeleo Norway yakanusha taarifa ya Daily News kuhusu Tanzania na mapambano dhidi ya COVID-19

M-mbabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2009
Posts
13,203
Reaction score
23,027
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

20200614_185322.jpg
 

Attachments

  • 20200614_185322.jpg
    20200614_185322.jpg
    127 KB · Views: 1
Si unajua tena news za kuchonga ili tu mtu fulani asifike ni deal-umesahau wale wa TBC? Humu JF ndio kila siku kuna stori kama hizo -"fulani amuiga fulani" ili mradi huyo fulani aonekane ni genius extra ordinary.
kweli
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660

Mara Brazil kamwiga fulani kutotangaza takwimu. Brazil huyo huyo akiamua vinginevyo baada ya kuona usiri siyo dili, kimya! Utafikiri si wao walisema.
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Mungu wabariki Wazungu
 
Wakati gazeti la Daily News la Tanzania likidai eti serekali ya Norway imeisifu mikakati ya serekali ya Tanzania katika kupambana na korona, Wizara ya Maendeleo ya Norway inasema ilitoa msisitizo kwa serekali ya Tanzania kuzingatia uwazi, ushirikishwaji katika kupashana taarifa pamoja na haki za binadamu.

Sijui Daily News mnafeli wapi ninyi watu?

Aibu!!

View attachment 1478660
Walikuwa wanamrudishia sifa na utukufu Yesu wa CCM
 
Ndiyo janja ya CCM kufanya somo la lugha ya kigeni la Kiingereza kuwa hafifu Tanzania ili watumie udhaifu huo kuwadanganya waTanzania kuwa tunasifiwa sana nje kumbe ni uwongo wa mchana kweupe.

Watanzania lazima kuwa macho na kutoamini taarifa za magazeti ya chama cha CCM na ya serikali yake. Maana wanapotosha mambo mengi na kuwatia ujinga wananchi kukubali simulizi toka vyanzo vinavyosemekana vya kuaminika kumbe ni platform za propaganda za CCM Mpya.
 
Back
Top Bottom