Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM wanagawana posho pekeeTatizo ni ccm, bila kuiondowa ccm haya hayawezi kufanyika.
Hakuna jipya uliloandika kwenye huu uzi wako ambalo halijurikani.
Dar sehemu nyingi wanategemea maji ya visima hata hiyo Dawasa hawaijui.
Ukienda Mbagala hakuna shida ya maji na hawaijui Dawasa, tatizo ni ccm.
Muarobaini wa matatizo ya nchi ni kuiondowa ccm au kuifuta kabisa kwa sababu ccm siyo chama cha siasa, bali ni kikundi cha kigaidi.