beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameomba Bunge kuidhinisha Fedha hizo kwa Mwaka 2022/23 ambapo Matumizi ya Kawaida ni Tsh. 51,462,269,000
Akiwasilisha Hoja yake Bungeni Waziri Aweso amesema "Jumla ya Bajeti ya Maendeleo ni Tsh. 657,899,338,000. Kati ya hizo, Tsh. 407,064,860,000 ni Fedha za Ndani na 250,834,478,000 ni Fedha za Nje"
Aidha, amesema Tanzania haina uhaba wa Maji, na uwekezaji zaidi katika Miundombinu unafanyika ili kukabiliana na Mabadiliko ya TabiaNchi
Akiwasilisha Hoja yake Bungeni Waziri Aweso amesema "Jumla ya Bajeti ya Maendeleo ni Tsh. 657,899,338,000. Kati ya hizo, Tsh. 407,064,860,000 ni Fedha za Ndani na 250,834,478,000 ni Fedha za Nje"
Aidha, amesema Tanzania haina uhaba wa Maji, na uwekezaji zaidi katika Miundombinu unafanyika ili kukabiliana na Mabadiliko ya TabiaNchi